Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Sasa kumbe ulikuwa hujui kwa nini ulisema kwamba wana halmashauri moja tu ya Tarime? Kwa nini ukasirike ukiwambiwa mwongo wakati umedanganya?

Nao wanachadema waliotaka marehemu apigwe risasi mbona huwataji, na walisme wapi na lini?


wameshatajwa sina haja ya kutaja.

Lakini huu uchunguzi lazima uanze ndani ya CHADEMA.
 
Mgagagigikoko,

Dude, you're so full of it! What's your motive, anyway? Go get some sleep.

Bongotz,

Hii dunia kuna watu wanafurahia wakiona fujo na migongano ikitokea kwenye jamii fulani. Kumbuka pia kuwa Tarime kuna migodi ya dhahabu. Siwezi sana kushangaa kwa nini watu wengine (ikiwemo vyombo vya habari) wanataka sana kuona ugomvi, chuki, fujo, na vurugu za kikabila na kikoo zikitokea Tarime.

Do your math.
 
Kama nilivyoahidi ni kua pole pole tunaanza kusogelea ukweli, kwa kweli ninaandika haya bila kuangalia wengine huko nyuma wamesema nini ya hii topic wamesema nini, samahani kama kuna mabayo nitakuwa ninayarudia iwapo yamesemwa tayari, huu ni uchunguzi wangu binafsi ninaendelea nao, so far nimepata yafuatayo:-

1. Familia ya marehemu ikiongozwa na kaka wa marehemu, imekataa kabisa kuzikwa kwa mwili wa marehemu leo, imedai wasubiriwe wataalamu wa binafsi kutoka Kenya, ambao wako njiani kuwasili huko Musoma.

2. Mallya ni kijana aliyewahi kuwa Mwanajeshi, na mwenye ujuzi mwingi wa kijeshi, kutokana na mafunzo mbali mbali aliyowahi kuyapata, akiwa jeshini, katika siku za mwisho za uhai wa marehemu, ndiye aliyekuwa karibu naye sana.

3. According to the dataz, Wangwe made a big political mistake, kwa sababu akifikia mahali akawa isolated na all the politicians, ambao ndio hasa aliokuwa anawahitaji katika kipindi cha kuelekea mwisho wa maisha yake, hata uwe shujaa namna gani, katika siasa za bongo sasa hivi huwezi kuji-isolate kabisa kama alivyokuwa marehemu, alikuwa haelewani na wote, kuanzia Chadema, mpaka CCM,

As the results ni kiongozi mmoja tu mkubwa wa taifa aliyejua kuhusu safari yake, naye ni Spika tu, aliyekwenda kumuaga kabla ya kuondoka. Now hata Spika, pia hakuwa na uhusiano mzuri naye kwa sababu nina video, moja ambayo Wangwe alimtukana sana Spika bungeni, ikabidi wazee wengi ndani ya bunge yaani wa upinzani mpaka wa CCM, wamuombe Wangwe aombe radhi kwa Spika pale pale kwa yale matusi kwa Spika, Wangwe akagoma na kusema kuwa yuko radhi kuiomba radhi CCM kwa kupitia kwa Mzee Malecela, lakini sio Spika binafsi,

4. Kwa kifupi, according to the dataz no body bungeni liked him, kwa sababu kuogopa matatizo kama yaliyompata, siku hizi wabunge wote wa high profile au waandishi wa habari wa high profile, pia hawasafiri betweeen Dodoma na Dar, bila ya kushauriana,

Kwa mfano, wewe ni high profile person katika siasa za bongo kama Wangwe alivyokuwa, sasa hivi, unataka kusafiri kati ya Dodoma na Dar, kwanza unawarifu wabunge muhimu sana, wao wanakupa ushauri what to do, ikiwa ni pamoja kulichukua gari lako linalojulikana sana na kuliegesha kwa kiongozi mmoja mzito, halafu unapewa shangingi kutoka Shinyanga au mkoa wowote usio karibu na pale Dodoma au Dar, ndio unasafiri nalo tena kwa kusindikizwa na magari mengine mpaka nusu ya safari, lakini huondoki tu bila kushauriana na wakulu, hili ni kosa kubwa sana lilofanywa na marehemu aliflkia mahali hakuwa na rafiki, zaidi tu ya handlers kutoka nanihiii..........!


Nitaendelea Sooon!...........
 
Tatizo lako unafikiri kuwa kuonyesha urafiki kwa Wangwe ilikuwa lazima mtu aje kuandika hapa JF wakati mgogoro wa uongozi Chadema ukiendelea. Wengine vitendo kuliko maneno ni muhimu zaidi.

Watu kama wewe ambao wanatumia siku ya majonzi kama hii kuwapaka matope wananchi wa Tarime na kuleta uchochezi usio na sababu mtaipeleka nchi yetu kubaya.

Fikiria kuhusu wafiwa na maelfu ya wakazi wa Tarime wanaolia leo kabla ya kuja kuleta maneno yake ya kichochezi na uongo hapa.

wewe ndio unachochea na staili yako ya uchochezi inaonekana wazi.

Hivi kusema uchunguzi uanze kupigwa toka CHADEMA ni uchochezi ?? wewe waja kweli kweli b

ama jana ile baada ya kusikia fununu kua hawamtaki MBOWE na mimi nikamshauri MBOWE kua kama mambo ni hivyo bora asiende ndio uchochezi huo?

Asume kama akina ZITTo wasingeomba polisi ?Na wao waliomba baada ya kunusa kitu fulani.Wewe kunihusisha na uchochezi wewe ndiyo unayasema na unajidai eti mimi ndio nayasema.

Acha unafiki wako,mimi ninayongelea toka mwanzo hasa ni
1.kama kuna fununu taarime kua hawamtaki mbowe ni bora asiende
2.Uchunguzi lazima uanzie chadema.
3.Nikagusia tofauti ya pemba na taarime.
HUO unafiki wako wakunihusisha na uchochezi ni wa kwao wewe mwenyewe na USHINDWE.
 
Tatizo lako unafikiri kuwa kuonyesha urafiki kwa Wangwe ilikuwa lazima mtu aje kuandika hapa JF wakati mgogoro wa uongozi Chadema ukiendelea. Wengine vitendo kuliko maneno ni muhimu zaidi.

Watu kama wewe ambao wanatumia siku ya majonzi kama hii kuwapaka matope wananchi wa Tarime na kuleta uchochezi usio na sababu mtaipeleka nchi yetu kubaya.

Fikiria kuhusu wafiwa na maelfu ya wakazi wa Tarime wanaolia leo kabla ya kuja kuleta maneno yake ya kichochezi na uongo hapa.

I couldn't agree more with you Kibiti. this Mkamap guy hajui anachokiongea.

Nimepitia replies zake nikagundua kuwa either anajaribu ku-politicise kifo cha Mhe.Wangwe or he just lacks enough brain kuelewa kuwa Tarime is a complex distric ambayo [ukiacha wilaya zingine zilizolewa na uongo wa CCM]-- wananchi wake ni waungwana, wanao think big, na wasiotaka kuburuzwa buruzwa kwa kukubali mambo kirahisi rahisi pasipo kuhoji. As a matter of fact, ndio walikuwa watu wa kwanza kuionyesha nchi kuwa mageuzi sio kitu kibaya [Ref. uchaguzi mkuu wa kwanza '95/hotuba ya Mchonga kwenye viwanja vya sabasaba/Tarime]

Kwahiyo sioni haja ya kuendelea kujibizana naye. Haisaidii.
 
Kama nilivyoahidi ni kua pole pole tunaanza kusogelea ukweli, kwa kweli ninaandika haya bila kuangalia wengine huko nyuma wamesema nini ya hjii topic wamesema nini, samahani kama kuna mabayo nitakuwa ninayarudia iwapo yamesemwa tayari, huu ni uchnguzi wangu binafsi ninaendelea nao, so far nimepata yafuatayo:-

1. Familia ya marehemu ikiongozwa na kaka wa marehemu, imekataa kabisa kuzikwa kwa mwili wa marehemu leo, imedai wasubiriwe wataalamu wa binafsi kutoka Kenya, ambao wako njiani kuwasili huko Musoma.

2. Mallya ni kijana aliyewahi kuwa Mwanajeshi, na mwenye ujuzi mwingi wa kijeshi, kutokana na mafunzo mbali mbali aliyowahi kuyapata, akiwa jeshini, katika siku za mwisho za uhai wa marehemu, ndiye aliyekuwa karibu naye sana.

3. According to the dataz, Wangwe made a big political mistake, kwa sababu akifikia mahali akawa isolated na all the politicians, ambao ndio hasa aliokuwa anawahitaji katika kipindi cha kuelekea mwisho wa maisha yake, hata uwe shujaa namna gani, katika siasa za bongo sasa hivi huwezi kuji-isolate kabisa kama alivyokuwa marehemu, alikuwa haelewani na wote, kuanzia Chadema, mpaka CCM,

As the results ni kiongozi mmoja tu mkubwa wa taifa aliyejua kuhusu safari yake, naye ni Spika tu, aliyekwenda kumuaga kabla ya kuondoka. Now hata Spika, pia hakuwa na uhusiano mzuri naye kwa sababu nina video, moja ambayo Wangwe alimtukana sana Spika bungeni, ikabidi wazee wengi ndani ya bunge yaani wa upinzani mpaka wa CCM, wamuombe Wangwe aombe radhi kwa Spika pale pale kwa yale matusi kwa Spika, Wangwe akagoma na kusema kuwa yuko radhi kuiomba radhi CCM kwa kupitia kwa Mzee Malecela, lakini sio Spika binafsi,

4. Kwa kifupi, according to the dataz no body bungeni liked him, kwa sababu kuogopa matatizo kama yaliyompata, siku hizi wabunge wote wa high profile au waandishi wa habari wa high profile, pia hawasafiri betweeen Dodoma na Dar, bila ya kushauriana,

Kwa mfano, wewe ni high profile person katika siasa za bongo kama Wangwe alivyokuwa, sasa hivi, unataka kusafiri kati ya Dodoma na Dar, kwanza unawarifu wabunge muhimu sana, wao wanakupa ushauri what to do, ikiwa ni pamoja kulichukua gari lako linalojulikana sana na kuliegesha kwa kiongozi mmoja mzito, halafu unapewa shangingi kutoka Shinyanga au mkoa wowote usio karibu na pale Dodoma au Dar, ndio unasafiri nalo tena kwa kusindikizwa na magari mengine mpaka nusu ya safari, lakini huondoki tu bila kushauriana na wakulu, hili ni kosa kubwa sana lilofanywa na marehemu aliflkia mahali hakuwa na rafiki, zaidi tu ya handlers kutoka nanihiii..........!


Nitaendelea Sooon!...........

Kama ni kweli ni siasa gani hizi sasa
Yawezekana hatuendelei kwa sababu kila mwasiasa ana ubia na shetani na nchi kuendeshwa kishetani shetani ,maana shetani hapendi watu wafurahie hapa duniani.
 
I couldn't agree more with you Kibiti. this Mkamap guy hajui anachokiongea.

Nimepitia replies zake nikagundua kuwa either anajaribu ku-politicise kifo cha Mhe.Wangwe or he just lacks enough brain kuelewa kuwa Tarime is a complex distric ambayo [ukiacha wilaya zingine zilizolewa na uongo wa CCM]-- wananchi wake ni waungwana, wanao think big, na wasiotaka kuburuzwa buruzwa kwa kukubali mambo kirahisi rahisi pasipo kuhoji. As a matter of fact, ndio walikuwa watu wa kwanza kuionyesha nchi kuwa mageuzi sio kitu kibaya [Ref. uchaguzi mkuu wa kwanza '95/hotuba ya Mchonga kwenye viwanja vya sabasaba/Tarime]

Kwahiyo sioni haja ya kuendelea kujibizana naye. Haisaidii.

wewe naye yani duuuuuuuuu
angalia post za mwanzo nilizopost nimewaelezea je watu wa tarime. kifupi tu
nilikwambia wana taarime niwana mageuzi na wana utashi na nikakueleza wanachagua mtu wampendae .
dawa yako ngoja nikopi nilichoandika toka awali ili ni udhibiti unafiki wenu.
 
wewe ndio unachochea na staili yako ya uchochezi inaonekana wazi.

Hivi kusema uchunguzi uanze kupigwa toka CHADEMA ni uchochezi ?? wewe waja kweli kweli b

ama jana ile baada ya kusikia fununu kua hawamtaki MBOWE na mimi nikamshauri MBOWE kua kama mambo ni hivyo bora asiende ndio uchochezi huo?

Asume kama akina ZITTo wasingeomba polisi ?Na wao waliomba baada ya kunusa kitu fulani.Wewe kunihusisha na uchochezi wewe ndiyo unayasema na unajidai eti mimi ndio nayasema.

Acha unafiki wako,mimi ninayongelea toka mwanzo hasa ni
1.kama kuna fununu taarime kua hawamtaki mbowe ni bora asiende
2.Uchunguzi lazima uanzie chadema.
3.Nikagusia tofauti ya pemba na taarime.
HUO unafiki wako wakunihusisha na uchochezi ni wa kwao wewe mwenyewe na USHINDWE.

Katika Tanzania yetu, hakuna sehemu yoyote ile ambayo watu watazuiwa kwenda na hata kama hiyo sehemu ipo basi sio Tarime (unakosea kila mara kwa kuiita taarime na wakati ukidai kuwa wewe ni mkazi wa huko). Haya mengine uliyosema sio mapya na wakazi wa kweli wa Tarime tunayajua.

Mambo ya kuzuia watu eti wasiende Tarime ni dharau kubwa sana kwa wakazi wa Tarime. Ushindwe kwa jina la yesu kwa kuchochea vurugu zisizo na maana.
 
Kama nilivyoahidi ni kua pole pole tunaanza kusogelea ukweli, kwa kweli ninaandika haya bila kuangalia wengine huko nyuma wamesema nini ya hjii topic wamesema nini, samahani kama kuna mabayo nitakuwa ninayarudia iwapo yamesemwa tayari, huu ni uchnguzi wangu binafsi ninaendelea nao, so far nimepata yafuatayo:-

1. Familia ya marehemu ikiongozwa na kaka wa marehemu, imekataa kabisa kuzikwa kwa mwili wa marehemu leo, imedai wasubiriwe wataalamu wa binafsi kutoka Kenya, ambao wako njiani kuwasili huko Musoma.

2. Mallya ni kijana aliyewahi kuwa Mwanajeshi, na mwenye ujuzi mwingi wa kijeshi, kutokana na mafunzo mbali mbali aliyowahi kuyapata, akiwa jeshini, katika siku za mwisho za uhai wa marehemu, ndiye aliyekuwa karibu naye sana.

3. According to the dataz, Wangwe made a big political mistake, kwa sababu akifikia mahali akawa isolated na all the politicians, ambao ndio hasa aliokuwa anawahitaji katika kipindi cha kuelekea mwisho wa maisha yake, hata uwe shujaa namna gani, katika siasa za bongo sasa hivi huwezi kuji-isolate kabisa kama alivyokuwa marehemu, alikuwa haelewani na wote, kuanzia Chadema, mpaka CCM,

As the results ni kiongozi mmoja tu mkubwa wa taifa aliyejua kuhusu safari yake, naye ni Spika tu, aliyekwenda kumuaga kabla ya kuondoka. Now hata Spika, pia hakuwa na uhusiano mzuri naye kwa sababu nina video, moja ambayo Wangwe alimtukana sana Spika bungeni, ikabidi wazee wengi ndani ya bunge yaani wa upinzani mpaka wa CCM, wamuombe Wangwe aombe radhi kwa Spika pale pale kwa yale matusi kwa Spika, Wangwe akagoma na kusema kuwa yuko radhi kuiomba radhi CCM kwa kupitia kwa Mzee Malecela, lakini sio Spika binafsi,

4. Kwa kifupi, according to the dataz no body bungeni liked him, kwa sababu kuogopa matatizo kama yaliyompata, siku hizi wabunge wote wa high profile au waandishi wa habari wa high profile, pia hawasafiri betweeen Dodoma na Dar, bila ya kushauriana,

Kwa mfano, wewe ni high profile person katika siasa za bongo kama Wangwe alivyokuwa, sasa hivi, unataka kusafiri kati ya Dodoma na Dar, kwanza unawarifu wabunge muhimu sana, wao wanakupa ushauri what to do, ikiwa ni pamoja kulichukua gari lako linalojulikana sana na kuliegesha kwa kiongozi mmoja mzito, halafu unapewa shangingi kutoka Shinyanga au mkoa wowote usio karibu na pale Dodoma au Dar, ndio unasafiri nalo tena kwa kusindikizwa na magari mengine mpaka nusu ya safari, lakini huondoki tu bila kushauriana na wakulu, hili ni kosa kubwa sana lilofanywa na marehemu aliflkia mahali hakuwa na rafiki, zaidi tu ya handlers kutoka nanihiii..........!


Nitaendelea Sooon!...........

FMES,

Hata Wangwe angeendelea kupangusana mabega na hao waheshimiwa wengine ingesaidia nini kwenye hili?

Sio lazima uwe karibu na hao wanasiasa wanafiki, unatakiwa uwe karibu na wananchi kitu ambacho ni kweli kwa Wangwe.

Mtu yeyote jasiri na asiyependa unafiki hawezi kuwa na marafiki wengi kwenye siasa za TZ. Watu hawajazoea kuambiwa hawajavaa nguo na hilo ndilo tatizo letu.

Tunahitaji akina Wangwe wengi, hata kama watachukiwa bungeni.
 
FMES... mbona unachosema ni kama tunaishi katika nchi ya kidikteta na hatuna amani? Mwanzoni nakumbuka ulitutonya kuwa hata kula siku hizi hakuna cha kuletewa chakula mambo yote ni buffet tu... what is going on; halafu wanatutaka na wengine tufunge virago twende huko huko?

Vyanzo vya Kiusalama vinadokeza kuwa siku chache zilizopita Zitto alikuwa anafuatwa na watu watatu wasiojulikana ambao walimfuata hadi Mombasa, na akiwa Mombasa, sms ilitumwa ikisema to the effect kuwa "mpiganaji mwenzetu Zitto kabwe, hatunaye tena". (ukisoma barua ya Mnyika utaelewa). what is going on in Tanzania?

Nauliza nililoluliza wakati ule; mko tayari?
 
Kama ni kweli ni siasa gani hizi sasa
Yawezekana hatuendelei kwa sababu kila mwasiasa ana ubia na shetani na nchi kuendeshwa kishetani shetani ,maana shetani hapendi watu wafurahie hapa duniani.

Hapa nakubaliana na wewe, na hivi ndivyo nilivyokujua siku zote-a clearly minded person. Sasa sijui huyu shetani kakuingiaje leo kiasi kwamba unaongea ongea so loosely, hebu jirudi haraka tusije tukakuweka kundi moja na akina Magabugabu!!
 
wewe ndio unachochea na staili yako ya uchochezi inaonekana wazi.

Hivi kusema uchunguzi uanze kupigwa toka CHADEMA ni uchochezi ?? wewe waja kweli kweli b

ama jana ile baada ya kusikia fununu kua hawamtaki MBOWE na mimi nikamshauri MBOWE kua kama mambo ni hivyo bora asiende ndio uchochezi huo?

Asume kama akina ZITTo wasingeomba polisi ?Na wao waliomba baada ya kunusa kitu fulani.Wewe kunihusisha na uchochezi wewe ndiyo unayasema na unajidai eti mimi ndio nayasema.

Acha unafiki wako,mimi ninayongelea toka mwanzo hasa ni
1.kama kuna fununu taarime kua hawamtaki mbowe ni bora asiende
2.Uchunguzi lazima uanzie chadema.
3.Nikagusia tofauti ya pemba na taarime.
HUO unafiki wako wakunihusisha na uchochezi ni wa kwao wewe mwenyewe na USHINDWE.

Hivi wewe unaishi nchi gani - kweli ni Mtanzania - ndio maana wengi wanakuona mpuuzi.
 
I couldn't agree more with you Kibiti. this Mkamap guy hajui anachokiongea.

Nimepitia replies zake nikagundua kuwa either anajaribu ku-politicise kifo cha Mhe.Wangwe or he just lacks enough brain kuelewa kuwa Tarime is a complex distric ambayo [ukiacha wilaya zingine zilizolewa na uongo wa CCM]-- wananchi wake ni waungwana, wanao think big, na wasiotaka kuburuzwa buruzwa kwa kukubali mambo kirahisi rahisi pasipo kuhoji. As a matter of fact, ndio walikuwa watu wa kwanza kuionyesha nchi kuwa mageuzi sio kitu kibaya [Ref. uchaguzi mkuu wa kwanza '95/hotuba ya Mchonga kwenye viwanja vya sabasaba/Tarime]

Kwahiyo sioni haja ya kuendelea kujibizana naye. Haisaidii.

Ninaelewa hili bongotz ila nimeamua kuwasimamia hawa wenye stereotype dhidi ya wakazi wa Tarime. Kuna mmoja anajiita Gembe leo alishaanza kusema kuwa watu wa Tarime watagombea rambirambi kwenye msiba huu.

Mambo mengine yanaweza kuachiwa kupita ila huu uchochezi unaofanywa na vyombo vya habari hautaachiwa kupita hata kidogo katika kipindi hiki ambacho emotions za watu ziko juu sana Tarime.
 
FMES... mbona unachosema ni kama tunaishi katika nchi ya kidikteta na hatuna amani? Mwanzoni nakumbuka ulitutonya kuwa hata kula siku hizi hakuna cha kuletewa chakula mambo yote ni buffet tu... what is going on; halafu wanatutaka na wengine tufunge virago twende huko huko?

Vyanzo vya Kiusalama vinadokeza kuwa siku chache zilizopita Zitto alikuwa anafuatwa na watu watatu wasiojulikana ambao walimfuata hadi Mombasa, na akiwa Mombasa, sms ilitumwa ikisema to the effect kuwa "mpiganaji mwenzetu Zitto kabwe, hatunaye tena". (ukisoma barua ya Mnyika utaelewa). what is going on in Tanzania?

Nauliza nililoluliza wakati ule; mko tayari?

Kwa kweli hii inatisha, na unaweza kuelewa kwa nini watu wengine wanaamua kubaki huko waliko. It is just too scary. But all this is a result of incompetence. Kwa kuwa hawawezi ku-deliver, hawana njia ingine ya kubaki hapo walipo zaidi ya kuwanyamazisha wanaofunua udhaifu wao. We are in bigger mess than I thought!
 
4. Kwa kifupi, according to the dataz no body bungeni liked him, kwa sababu kuogopa matatizo kama yaliyompata, siku hizi wabunge wote wa high profile au waandishi wa habari wa high profile, pia hawasafiri betweeen Dodoma na Dar, bila ya kushauriana,

Mkuu,

Hiki kipengele kinatisha na kinanifanya niendelee tu na maisha ya huku kijijini Cyber kwa amani na utulivu.

Je wewe unaridhia hali hio au ndio nawe umeona kwamba ni sawa tu?
 
Katika Tanzania yetu, hakuna sehemu yoyote ile ambayo watu watazuiwa kwenda na hata kama hiyo sehemu ipo basi sio Tarime (unakosea kila mara kwa kuiita taarime na wakati ukidai kuwa wewe ni mkazi wa huko). Haya mengine uliyosema sio mapya na wakazi wa kweli wa Tarime tunayajua.

Mambo ya kuzuia watu eti wasiende Tarime ni dharau kubwa sana kwa wakazi wa Tarime. Ushindwe kwa jina la yesu kwa kuchochea vurugu zisizo na maana.


wewe unajua maana ya ushauri mtu akikushauri amekudharau ama amekuzuia??
Sasa mbona wameondoka wakaenda zao sasa wewe huoni ushauri ulikua na maana kuliko kwenda na kurushiwa mawe ama falsafa yako imekaa je?

Harafu huyo yesu unayemuongelea sio yule aliyesurubiwa msalaabani maana gods hua wanaanza kuandikwa kwa herufi ndogo kama wewe uliyoitumia.Ukitaka kutambua gods na God ni mwanzo wa herufu.Yesu Mungu mwana sio wewe unayemuongelea hapo maana mara zote unaandika kwa kuanza na herufi ndogo.
 
Now According to more dataz ni kwamba:-

1. Waliokwenda na kupaona mahali pa ajali, na gari lenyewe, si kweli kwamba ajali ile ndiyo imesababisha gari kuumia kiasi kile, ninasema kuwa ajali ile haiwezi kuliharibu lile gari kiasi kile, na si kweli kuwa huyu kijana Mallya, alitoka kwenye lile gari akiwa mzima, ninasema sio kweli kwa kuthibitishiwa na independent people walioenda mpaka kwenye sehemu ya ajali, na kuliona gari lenyewe.

2. Je CCM wanaweza kuwa na interest na kifo chake? Hapana, not CCM collectivelly as chama, kwa sababu sio siri ndani ya CCM nzima kuwa jimbo la Tarime ni la wapinzani, ni so bad kwamba CCM as chama inajua kuwa hata vyama vyote vya upinzani vikipigwa marufuku kugombea uchaguzi wa bunge kule, ikaachwa CCM peke yao kwenye ballot, bado wananchi wa Tarime, hawataipigia kura CCM, cha maana sana hawataenda kwenye kupiga kura,

CCM haijawahi kupoteza hata one minute kufikiria jimbo la Tarime, jimbo la Zitto, jimbo la Dr. Slaa na hata jimbo la Ndesamburo, haya ni kwa maneno ya baadhi ya viongozi wa CCM nilioongea nao leo, binafsi ninaiunga mkono hii theory 100%, kwamba CCM as a chama, haiwezi kuwa na interst na kifo cha Wangwe.

3. Chadema as chama, hapana, some individulas ndani ya Chadema may be, lakini kazi iliyofanyika kwenye ajali ni too professional kuwa imefanywa na individiduals wa ndani ya Chadema, hata kama wangekuwa na interest lakini wasingeweza kufanya ile kazi kwa ufundi kama ilivyofanyika,

Now who did it, jawabu so far ndio ninalikaribia kwa sababu japo sijawajua lakini my instinct inaniambia kuwa ni wale wale waliowahi kuhusika na ishu kama hii in the past, sio siri sasa kuwa Wangwe, alikuwa akitumiwa na mikono mizito kutoka ndani ya CCM, lakini sio chama kuleta mtafaruku ndani ya Chadema, hili nimelithibitisha leo,

ninaamini kwa 100%, kuwa kuna-assignment aliyopewa siku hizi za mwishoni na handlers wake, lakini akwa na kigugumizi kuipokea kwa mikono miwili kama ambavyo amekuwa akipokea zingine, yaani marehemu Wangwe, sababu huenda alishashituka kuwa sio nia njema, au hakupewa malipo ya assignment za mwanzoni, haiwezekani yeye binafsi aamue kufanya safari ile tena kwa saa alizo ondoka bila mtu yoyote muhimu zaidi ya Spika tu kujua,

Wakuu hapo ndipo tulipofikia so far, lakini ninaamini kuwa soon tutakuwa na the jibu kamili la nani anyehusika kwa 100%, nimeamua kufupisha hadithi ndefu sana ya niliyoyapata so far na huu uchunguzi, lakini ninaahidi kuwa nimeyavulia nguo haya maji, soon nitayaoga! Tukae mkao wa kula, majbu yanakuja I am working arround the clock yaani 24 hrs, kuapata jawabu!

Ahsanteni Wakuu
 
Hivi wewe unaishi nchi gani - kweli ni Mtanzania - ndio maana wengi wanakuona mpuuzi.

kwa hiyo hapo ulipo mpo kikundi mnajadiliana nani mpuuzi na sio ,ama wewe umechukulia kipimo gani?
 
Ningekuwa Moderator, ningefunga thread yoyote kuhusu Wangwe kwa muda wa siku 3 hadi 5.
 
Hata Wangwe angeendelea kupangusana mabega na hao waheshimiwa wengine ingesaidia nini kwenye hili? Sio lazima uwe karibu na hao wanasiasa wanafiki, unatakiwa uwe karibu na wananchi kitu ambacho ni kweli kwa Wangwe. Mtu yeyote jasiri na asiyependa unafiki hawezi kuwa na marafiki wengi kwenye siasa za TZ. Watu hawajazoea kuambiwa hawajavaa nguo na hilo ndilo tatizo letu.

Tunahitaji akina Wangwe wengi, hata kama watachukiwa bungeni.

Mkuu wangu Mtanzania,

Heshima mbele, nimeufikisha uchunguzi wangu kama nilivyoufanya na kuupata majibu, hizo ndio siasa za bongo sasa hivi, unapokuwa na msimamo unatafuta wenye msimamo kama wewe, hata kama ni wa shetani,

Maneno yako na Mwanakijiji, na Kitila, pia na mkuu Mkamap, ni yakweli kabisa, lakini mazingara ya siasa za bongo sasa sio mchezo mkuu, yaani siku hzizi hata waandishi, nimeambiwa kuwa nao wanajipanga na wakulu wenye misimamo kama yao ili kujilinda,

Mkuu MMJ,

Ya chakula hiyo usiseme, hivi karibuni balozi wetu mmoja mashuhuri huko nje alikuwa anrudi bongo, akanitwangia kuniarifu, nikamuonya kuwa please usiguse chakula cha mtu ukiwa bongo, akanijia juu kuwa what do yo mean? Nikakata simu, majuzi amenipigia siku akinishukuru sana kwa lile onyo lakini hakusema yaliyomjiri!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom