Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 2
Wanatumia mbinu hizi chafu ili kupata jimbo, wenzetu akili yao iko kwenye ruzuku wanajua kuondoka kwa wangwe ruzuku imepungua. wampeleke TUNDU LISSU akagombee kwani ndiye alisema kuwa alimsaidia Wangwe kuwa Mbunge.
Sasa nimeamini kuwa wewe sio tu unaukabila mkubwa unakusumbua moyoni bali pia unadharau kubwa sana kwa watu wa Tarime. Yaani Tarime hakuna mtu bali Tundu Lissu pekee ndiye anaweza kugombea?
Kuwa na heshima kwenye msiba wa wenzako. Hii sio kitu kikubwa cha kuuliza toka kwako.