Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 2
Taarime naijua vizuri
Hakuna mwingine zaidi ya hao atayenufaika na kifo cha CHACHA ,Labda uniambie kama kuna mtu mwingine anataka kuchukua Ubunge wa TAARIME.
Taarime hua wanaamua kumweka mtu wanayemtaka na ndio maana ni halimashauri hiyo tu ambayo CHADEMA inaongoza na kwanini isiwe DODOMA, DAR, Shinyaga,Kigoma,Karatu ,singida ama Moshi?
Ni kwasababu watu wa taarime wameamka na wanatambua nini wanachotakiwa kufanya .Ni bahati ya CHADEMA baada ya RIP chacha kuingia chadema watu waliowapenda nao walienda chadema.
Hivyo nakuambia watu wa Taarime bado wataleta mtu mwingine kama CHACHA ama zaidi,maana wao wanamleta wampendaye hivyo kama kuna mtu anategemea uhauheni ktk hilo amekosea na bahati nzuri kila mmoja analitambua hilo vyema.
Ndio maana % ktk hilo yani mtu aliona kumutosa CHACHA ndio suluhu nalipa 0.1%.
Miguuni kwa CHACHA kulikua CHADEMA lazima tochi hilo lipigwe kuanzia hapo no way out.
Kwa kuanzia tu, jina la record la wilaya yetu ni Tarime na sio Taarime. Wewe unaongelea Tarime ipi?