Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 167
TBC ni Bango la Mafisadi na serikali inaongeza nguvu TBC kuwafumba macho wadanganyika, dalili zimeshaonekana na wadanganyika wameshashtuka. Asante Mola wetu kwa hili.
Wananchi wa Tarime komaeni vilivyo lakini msilete ugomvi, mlivyowafukuza viongozi wa serikali (chama tawala) mmefanya jambo la maana, wanafiki wakubwa hao watakuzuieni kufanya mtakalo.
Wapeni upinzani kama ccm muda wa kujitetea, watakuwa na mengi ya kuwaambia. Nawshukuruni mumemsikiliza Zitto Kabwe.
Hapa mnaona CCM tu?
Wkati kuna watu waliomsimamisha uongozi Bwana Chacha Wangwe baada ya kuwaambia kuwa wao wankura pesa ya Ruzuku?mambo ya ukabila na mambo mengine waliyompakazia,Rejea kauli ya Mpaka Kieleweke aliyesema kwamba Chacha aliongea na Rostam pale Kempski?mambo mengi sana yalizunguzmwa yakiwa ya Chuki,nani mwenye chuki zaidi ya hawa watu wa chama chake?Mbowe aliaanza ugombvi na Chacah wakati wa uchaguzi kwa kuwa alikuwa akimtaka alfu awe Makamau Mwenyekiti
NCCR na wao walikuja Mbele wakiwataka CHADEMA wamtimue Chacha wangwe,Yote haya Mmeshasahau?hayo yalisemwa naKaimu katibu mkuu wa NCCR,Jose.. Wanasiasa wa Bongo ni watu wa ovyo sana na ndiyo sababu upinzani huwa unashindwa.
Hapa kuna mambo mengi na magumu tuyategemeee kama ni kweli alipigwa Risasi,Je ni nani alihusika?kwani wale wataalam wa mambo hawawezi kujua ni nani alihusika?
tusubiri tuone nani alihusika