KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Mtu anasinzia halafu anaona kasi ya gari haikufika 120!
"Tulianza safari kama majira ya saa moja hivi, sasa wakati tuko njiani kilomita kama 20 kutoka Kisasa, mimi nilianza kusinzia nikiwa seat ya mbele (kiti), marehemu akaniambia hapo huko safe (salama), hama rudi nyuma kalale kwenye kiti."
Huu ni mwanzo wa simulizi wa ajali hiyo mbaya ya gari ndogo aina ya Toyota Corolla Limited, ambayo imesababisha kifo cha Wangwe na kushtua taifa na kusababisha majonzi makubwa kwa Watanzania, wa kada mbalimbali.
Malya anasema wakiwa njiani kabla ya ajali, marehemu alisimama sehemu kununua muda kwa maongezi ndipo yeye akarudi kiti cha nyuma kama alivyokuwa ametahadharishwa na marehemu Wangwe.
"Baada ya kusimama, mimi nikarudi nyuma huku nasinzia, lakini nikiwa nimefunga mkanda, kisha akawa anaendesha gari akiniambia tungelala Morogoro ili leo (jana), tuanze safari ya Dar es Salaam kuwahi msiba wa mzee Boke Munanka," anasema na kuongeza:
"Yeye akiwa anaendesha katika mwendo wa kasi lakini haikufika 120, sasa ghafla tukiwa eneo la Pandambili, nilisikia mshindo mkubwa huku gari ikiwa imefunikwa na vumbi jingi kiasi kwamba sikuweza kujitambua mara moja."
"Wakati nikijiangalia, nikamkuta marehemu ametoka kiti chake cha mbele akatupwa hadi nyuma kwangu nilikokuwa nimekaa, kichwa chake kikawa katika miguu yangu akapasuka eneo la kichwa na kifua kisha akatokwa na damu nyingi sana."
source: Mwananchi Communication
"Tulianza safari kama majira ya saa moja hivi, sasa wakati tuko njiani kilomita kama 20 kutoka Kisasa, mimi nilianza kusinzia nikiwa seat ya mbele (kiti), marehemu akaniambia hapo huko safe (salama), hama rudi nyuma kalale kwenye kiti."
Huu ni mwanzo wa simulizi wa ajali hiyo mbaya ya gari ndogo aina ya Toyota Corolla Limited, ambayo imesababisha kifo cha Wangwe na kushtua taifa na kusababisha majonzi makubwa kwa Watanzania, wa kada mbalimbali.
Malya anasema wakiwa njiani kabla ya ajali, marehemu alisimama sehemu kununua muda kwa maongezi ndipo yeye akarudi kiti cha nyuma kama alivyokuwa ametahadharishwa na marehemu Wangwe.
"Baada ya kusimama, mimi nikarudi nyuma huku nasinzia, lakini nikiwa nimefunga mkanda, kisha akawa anaendesha gari akiniambia tungelala Morogoro ili leo (jana), tuanze safari ya Dar es Salaam kuwahi msiba wa mzee Boke Munanka," anasema na kuongeza:
"Yeye akiwa anaendesha katika mwendo wa kasi lakini haikufika 120, sasa ghafla tukiwa eneo la Pandambili, nilisikia mshindo mkubwa huku gari ikiwa imefunikwa na vumbi jingi kiasi kwamba sikuweza kujitambua mara moja."
"Wakati nikijiangalia, nikamkuta marehemu ametoka kiti chake cha mbele akatupwa hadi nyuma kwangu nilikokuwa nimekaa, kichwa chake kikawa katika miguu yangu akapasuka eneo la kichwa na kifua kisha akatokwa na damu nyingi sana."
source: Mwananchi Communication
CHADEMA hao wanataka kujivua wao lawama na kupeleka kwa wengine.
Waacheni polisi wafanye uchunguzi wao bila kuingiliwa na wanasiasa.
Hiyo ni ajali tu na sidhani kama kuna mkono wa mtu yeyote.
Kuna mambo mengi sana ya kujifunza hapo, je dereva alifunga mkanda? Kwanini madereva TZ hawapendi kufunga mikanda?
Tutaendelea kutafuta wachawi kwenye vifo vya ajali na kuacha sababu za msingi ambazo zinajulikana na tunashindwa kuzifanyia kazi.
Malya alikuwa ni dereva wa Wangwe au alikuwa ni rafiki tu ya karibu? Nani aliyepiga simu ya kwanza kutambulisha kuwa Wangwe amepata ajali na kufariki papo hapo?
...duuuh!
huyo jamaa (Malya) akiyasikia yanayosemwa na wananchi 'naona' atawish tu bora naye angekufa kuliko anavyoonekana amekula njama za kumuua Mheshimiwa!
scenario 2; Hivi angekufa Malya, Chacha Wangwe atoke unscathed, hadithi ingekuwaje?
Kumbe ndio maana VIPs Mh.Mudhihir, na Mh.Prof Kapuya hawana hatia kwenye ajali zao eeh?
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Mtanzania naelewa concerns zako ulizokuwa nazo kuhusu chadema walivyo-handle mgogoro wa kiuongozi. Unasema hii ni ajali tu na hapohapo unasema "chadema hao wanataka kujivua wao lawama..", ni lawama gani hasa?
Na je,pamoja na kwamba tunajua Wangwe kafariki katika ajali, huoni kwamba mpaka sasa hatujui mazingira ya ajali hii? Katika mazingira ambayo hata dereva wa gari lililopata ajali hajulikani na aliyeshuhudia ajali hajulikani mahusiano yake na marehemu, yaani huoni umuhimu wa uchunguzi wa kina? Huoni kwamba haya ya kukataa uchunguzi ndio yanasababisha hizi conspiracy theories kusambaa?
Kulikuwa na fununu nyingi kuhusu mazingira ya ajali ya Salome Mbatia, tukalumbana, tukabuni na kutoa kila aina ya hisia, na ikaishia hivyohivyo, sasa huoni kwamba kuna haja ya kuachana na hizi conspiracy theories kwa kuweka ukweli sawasawa?
Above all, wewe unajua vizuri sana kwamba tatizo likitokea ndio huwa mara nyingi ni mwanzo wa kutatua tatizo hilo in the long run. Sasa hizi ajali zinatokea kila siku, tunapiga kelele na kutoa kila aina ya utabiri na kisha yanapita, huoni kwamba wakati umefika kufanya uchunguzi wa kina wa chanzo cha ajali kama hizi ili tuweke mikakati ya kujaribu kuzizuia?
Kwa mfano, ni nani anayejua ni kwa kiwango gani hizi ajali zinasababishwa na kutofunga mikanda, kunywa na kuendesha, ubovu wa magari, ubovu wa barabara, n.k. Hizo zote ni sababu tunazoweza kuzibuni kadri ya uzoefu (anecdotal evidence) lakini hatujui kipi ni kipi hasa. Sasa katika mazingira haya huoni kwamba ni muhimu pakawa na a thorough investigation?
I'll tell you one thing. Anayedhania Polisi are willing, able, and determined to find out the truth anaota njozi. Tukubali tu yaishe. Believe me, "mapenzi ya Mungu" yataimbwa kama wimbo wa "Kasuku". You know what, I'm so done, sitoingia zaidi ya nilivyoingia, it is very dangerous.
Anayeamini ajali aendelee asiyeamini lwake!
Malya the Mysterious Crook.
Sasa hapa tunaweza kuona this was very clearly planned.I have maintained a very strong stand kumuhusu huyu mtu na sasa naona my speculations were pure and true.Sasa tuone kama polisi watafanya kazi yao ama watakuwa vibaraka.IGP Mwema waonyeshe Watanzania you can do it even if you have to intervene and question him personally?Electrecute him if you have to and slice bits of him until he confesses who ordered him to do such a merciless thing.
Mwema prove to us you are not among the dirtiest but a servant of the people and a real patriot.Get the names and have them prosecuted maliciously.