Ka nzi ka KLH Kamepeperuka...
Nimepatiwa majibu yafuatayo. Bado mengine tunaweza kusahihisha kwa kadiri nzi anavyoruka ruka. So, right now I'll give the following info 80% ya usahihi.
3.Huyu kijana yeye ndio alikuwa wa kwanza kuipigia polisi simu na kuwataarifu kuhusiana na msiba huo. Sasa hapa panaleta utata mkubwa sana ;
a) Alipata wapi number za simu za polisi?Tena hapo hapo?
b)Ni kwanini awapigie polisi wa kwanza ,na je?yeye kama alikuwa na simu za Wangwe aliwezaje kuzipata kwa hali gari lilivyokuwa?
c)Huyu kijana aliwapigia simu watu wa Tarime na kuwafahamisha kuwa Wangwe amefariki ,na mmoja wapo ni aliyekuwa rafiki wa karibu wa Chacha ambaye alikuwa katibu wa CHADEMA wilaya ya Tarime aliyehamia CCM.
D) Alimpigia simu mke wa Marehemu pamoja na ndugu zake marehemu, ila hakupiga simu kwa kiongozi yeyote wa CHADEMA ,ile hali kama alikuwa anatumia simu za Wangwe basi number za simu za viongozi wa CHADEMA zilikuwepo.
e) Mkuu wa wilaya ya Kogwa alienda eneo la ajali in 30 minutes time ,baada ya ajali na ndio alimfahamisha Mkuu wa Mkoa ,then Waziri wa mambo ya ndani na then Spika.....
f) Zitto alipigiwa simu na waziri Masha, na baada ya simu kukatika alimpigia spika na spika akasema hata yeye kayasikia hayo .
4.Huyu kijana Mallya ,kwa taarifa za leo ni kuwa amekubali kuwa yeye ndio alikuwa anaendesha gari ,na hilo kalisema polisi .
5.Huyu Mallya kuna taarifa kuwa ameiharibu simu yake na ameondoa simu card yake pamoja na kingine kikubwa na cha kustaajabisha ni kuwa ameondoa memory card ya simu yake .
Sasa hili la memory card linatupa wasiwasi zaidi na hatujui ni kwanini hilo limefanywa hivyo na hii inaonyesha kuwa aliyefanya hivyo lazima atakuwa ni expert mzuri sana .
6.Kwa taarifa za kiuchunguzi ni kuwa huyu Mallya alikutwa na bastola, na alisema kuwa ni ya kwake ,sasa hatujui kama hili polisi watalisema kwani hilo limesemwa na watu ambao walikuwepo wakati polisi walipokuwa wamefika eneo la ajali na kuanza upekuzi.
7.Huyu Mallya ,inasemekana kuwa alikuwa na mtu mwingine kwenye gari ambaye wanakijiji wa pale hawakuweza kumfahjamu mara moja, na haijulikani alipo.
8,kwenye eneo la tukio mzee wa pale kijijini ambaye alisaidia kumtoa Wangwe kwenye gari anasema kuwa huyu wangwe alikuwa amekaa kiti cha abiria mbele ,na alikuwa amefunga mkanda, na huyu mzee ndio alimtoa huop mkanda na kumtoa nje.
My Take:
- The burden of proof, iko kwa Polisi kumuweka kijana huyo kizuizini. My gut tells me something about assassination. It is just my gut and I probably am very wrong.
- Kama kweli Mallya alikuwa na bunduki, was it discharged for any reason even "accidentally"?
- Kuna mtu aliomba lift aidha walipoenda kununua "voucher" kutokana na ushauri wa Mallya. Huyo mtu wa tatu hakuwepo mwanzo wa safari, na kwa hakika hakuwepo mwisho wa safari. Who is he?