YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,258
- 137
Mimi kifo hiki nakichukulia kama Suicide bila kukusudia kwa upande moja kwa upande mungine najiuliza maswali.. Mtoto wake alieleza vizuri kilichotokea. Baba yake alikua anaumwa, amemeza dose ya malaria, gari bolt or whatever za tyres mbovu, safari usiku kweli tusilaumu mtu hapa. Mtoto alijaribu kumzuia baba yake asisafiri aka insist pamoja nahuyo ambaye hakuumia sana akasema shuguli zinalala!!!!!Ila chakusangaza huyo jamaa mungine anasema alikaa kiti cha nyuma (why) damu zilikokutwa. Mh aligongwa kichwa before overturning??? Ni mawazo tu!!!
CHACHA WANGWE...RIP!!
sasa wewe hapo juu unataka kusema Dennis Mallya ndio hitman mwenyewe? Mallya ni jina la Kichagga..so watakusema kwamba huyu bwana katumwa nani??
Chadema ala ala, hii kitu ipo delicate kama 'ashkrim' kwenye jua la darisalamu..mpira mnao ninyi, sie tupo kwenye sidelines tunapiga 'konoli' kwa ukaribu, hii ni PR ya ninyi ku-lose tafuteni msemaji kabisa juu ya suala hili..lakini haya mambo ya Gobole a.k.a Slaa karopoka nini mara Nyepesi bin Zitto nae atakuja hapa na domo nyenga lake, mara ooooh tafrani tupu na ka-chama kenu katapolea kwenye Bermuda Triangle ibaki historia tu ya kwamba kulikuwa na chama cha nanilii....too late.
Chacha alikuwa kipenzi changu kwa wanasiasa wa bongo...nchi imeoza sana, yaani nimesikitika kuona kwamba hata wabunge tena kwenye mji mkuu bado wanaoga kwa maji ya ndoo! na hii ni karne ya 21, li-Tanzania bado lina jikongoja ktk karne ya 18. Bila hata haya yule mama anasema mambo ya maji ya kuoga kwenye luninga..oooooooops, labda najisahau! OK, ndio hali halisi..wakina Marehemu Chacha wakiwapa ukweli mnanuna, haya tutafika.
Aibu kuendesha SUV kuuubwa wakati unaoga kwa kata!! huu ni upuuuzi...