Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,878
...nadhani hawamtendei haki hata huyo Deus Mallya kumhoji wakati huu. Kama kuna anayebisha basi hajawahi kuiona ajali wala ajali haijawahi kumkumba. Kijana lazima atakuwa kwenye mfadhaiko wa hali ya juu, kwanza kwa kupona kwenye ajali ambayo mwenzake amefariki dunia, pili, lawama, na hukumu ya MAISHA juu yake iwapo itabainika yeye ndiye aliyesababisha ajali ama la!
Sio ajabu unapokumbwa na ajali kupoteza kabisa kumbukumbu wapi ulipokuwa wakati ajali inatokea, na vile vile sio ajabu kabisa baada ya ajali mbaya sana ukatoka bila mchubuko sehemu yeyote ilhali wenzako ni maiti.
mfano; Princess Diana, Dodi na Henry paul walipokufa, mercedes yao ilikuwa nyang'anyang'a, lakini Rhees Jones (Bodyguard) alipona ila kumbukumbu ya tukio ilikuwa 'scrambled' kiasi kwamba ni sawa na ilikuwa deleted kabisa kichwani mwake.
katika kuwatendea haki wanandugu na wanafamilia, badala ya speculations, ni bora tukaukubali tu ukweli, ajali mara nyingi inatokana na poor judgents.
Sio ajabu unapokumbwa na ajali kupoteza kabisa kumbukumbu wapi ulipokuwa wakati ajali inatokea, na vile vile sio ajabu kabisa baada ya ajali mbaya sana ukatoka bila mchubuko sehemu yeyote ilhali wenzako ni maiti.
mfano; Princess Diana, Dodi na Henry paul walipokufa, mercedes yao ilikuwa nyang'anyang'a, lakini Rhees Jones (Bodyguard) alipona ila kumbukumbu ya tukio ilikuwa 'scrambled' kiasi kwamba ni sawa na ilikuwa deleted kabisa kichwani mwake.
katika kuwatendea haki wanandugu na wanafamilia, badala ya speculations, ni bora tukaukubali tu ukweli, ajali mara nyingi inatokana na poor judgents.