jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
Kama ni kweli aliwasiliana na yule msimamizi wa bunge aliyeingia humo na Chenge...Halafu sijui na Mudhihir...Huku ukweli ukiwa ni fununu za yeye kuwa na mawasiliano na RA.
Ni jambo la kusikitisha sana...Alikuwa mwansiasa machachari...Lakini sijui ni kwanini kulikuwa na mvutano na watu kuwa kama vinyonga na huku wakisema wanayapigania maslahi ya wananchi.
Mimi siko bongo...Ila hapa mtizamo wangu ni huu...Kama kuna uwezekano ameuwawa..Basi inaweza ikawa ni either ccm ama chadema.
Kwasasa siwezi kukisia ni nani kati ya hivyo vyama viwili vinahusika endapo hoja ya mkono wa mtu ni ya kweli.
Kwanza tuwekewe wazi kuhusu umaarufu wake...Kwasababu kama umaarufu wake ulishuka...Na kama ni kweli alitumwa na mafisadi...Basi mafisadi wangeweza kumwua pia kwani in order kwa yeye kurudisha umaarufu wake kwa wananchi...Basi ni wazi asingekuwa na budi kuwageuka mafisadi hao.
Kwa kweli ni bora ukweli wote uwekwe hapa kwani licha ya sisi kumpinga Wangwe kwa nguvu zote..Hilo lilikuwa ni kwa yeye kuonekana kuwa badala ya suluhu yeye alitaka kuwafanya wachagga wote waonekane ni wabaya...Na hata pia kuhusu yeye kuendelea kukutana na RA kwa siri...Na pia ni yeye aliyekuwa chadema...Akaenda nccr...Akarudi chadema...Na kabla ya hapo alikuwa TANU.
Siasa za chuki hatuzitaki kabisa!
Labda huo haukuwa msimamo wake lakini juhudi za Mgaga hazikuwa na wema...Juhudi zilizopolekea MKJJ kuanzisha thread iliyoleta uhasama mkubwa sana!
Pia kwa kumalizia..Kazi yake ya u supervisor wa kampuni ya dhahabu ya Afrika Mashariki na mara baada ya hapo kuingia kwenye siasa ni dalili nyingine kuwa inawezekana makampuni nayo yana watu wengi wa aina nyingi kwenye siasa.
Ni maoni yangu hayo kwa sasa.
Ni jambo la kusikitisha sana...Alikuwa mwansiasa machachari...Lakini sijui ni kwanini kulikuwa na mvutano na watu kuwa kama vinyonga na huku wakisema wanayapigania maslahi ya wananchi.
Mimi siko bongo...Ila hapa mtizamo wangu ni huu...Kama kuna uwezekano ameuwawa..Basi inaweza ikawa ni either ccm ama chadema.
Kwasasa siwezi kukisia ni nani kati ya hivyo vyama viwili vinahusika endapo hoja ya mkono wa mtu ni ya kweli.
Kwanza tuwekewe wazi kuhusu umaarufu wake...Kwasababu kama umaarufu wake ulishuka...Na kama ni kweli alitumwa na mafisadi...Basi mafisadi wangeweza kumwua pia kwani in order kwa yeye kurudisha umaarufu wake kwa wananchi...Basi ni wazi asingekuwa na budi kuwageuka mafisadi hao.
Kwa kweli ni bora ukweli wote uwekwe hapa kwani licha ya sisi kumpinga Wangwe kwa nguvu zote..Hilo lilikuwa ni kwa yeye kuonekana kuwa badala ya suluhu yeye alitaka kuwafanya wachagga wote waonekane ni wabaya...Na hata pia kuhusu yeye kuendelea kukutana na RA kwa siri...Na pia ni yeye aliyekuwa chadema...Akaenda nccr...Akarudi chadema...Na kabla ya hapo alikuwa TANU.
Siasa za chuki hatuzitaki kabisa!
Labda huo haukuwa msimamo wake lakini juhudi za Mgaga hazikuwa na wema...Juhudi zilizopolekea MKJJ kuanzisha thread iliyoleta uhasama mkubwa sana!
Pia kwa kumalizia..Kazi yake ya u supervisor wa kampuni ya dhahabu ya Afrika Mashariki na mara baada ya hapo kuingia kwenye siasa ni dalili nyingine kuwa inawezekana makampuni nayo yana watu wengi wa aina nyingi kwenye siasa.
Ni maoni yangu hayo kwa sasa.