Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,240
- 44,485
Tunamkumbuka: Ni mahali pa kukumbuka maneno, vitendo na maisha ya Wangwe. Focus ni Zakayo Wangwe, maisha yake kwa kukumbuka wema wake na si mapungufu yake.
HABARI ZA KIFO CHA WANGWE - CLICK
Baadhi ya nukuu zake za kukumbuka:
ongeza unayokumbuka....
HABARI ZA KIFO CHA WANGWE - CLICK
Baadhi ya nukuu zake za kukumbuka:
Mzigo wa hoja za wananchi wa jimbo langu naubeba mwenyewe kwa kuwa kila mtu kachaguliwa mwenyewe jimboni mwake na kila mtu ana uhuru wa kutoa hoja yake, hivyo hili halinibabaishi, nitaendelea kutetea watu wangu wa Tarime ambao wanatambua mchango wangu kwao - Wangwe (akizungumza wiki mbili zilizopita)
Namtaka aachane na mambo ya CHADEMA na badala yake ajiulize ya CUF kwa nini haina wabunge Bara na aone upungufu uliopo - Akielekeza kwa kiongozi wa Upinzani Bungeni
Nami kwa kuwa nimesimama katika misingi ya haki na ukweli na wananchi wananiunga mkono, sitaogopa kupambana na maovu ndani ya chama. - Kuhusu msimamo wake ndani ya CHADEMA
ongeza unayokumbuka....