Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Balozi kusema hawana vyuo vya kijasusi ni uongo lol, Mwandishi wa Habari angemuuliza huyo balozi kazi kubwa ya Musa Kousa ilikuwa nini mpaka wakampiga marufuku kwenda Uingereza?

Upande mwingine, kama Malya ni jasusi/assassin then yuko very sloppy na hafai kuendelea na hiyo fani...naanza kuamini Malya kazi yake kubwa ilikuwa ni "kusafisha".
 
Icadon, mimi ninavyomuangalia Malya ni kama mtu mwenye majibu ya maswali yetu mengi; ila hilo la kusafisha reminds me of that movie with Cedric the Entertainer.. nadhani ina jina hilo hilo "The Cleaner"...
 
Icadon,

......kama assumptions zako ni sahihi then........the brain behind Mallya ndio ya kuitafuta na kuiangalia..........kumbuka matukio ya majasusi maarufu na jinsi wanavyokamilisha their business........
 
Icadon,

......kama assumptions zako ni sahihi then........the brain behind Mallya ndio ya kuitafuta na kuiangalia..........kumbuka matukio ya majasusi maarufu na jinsi wanavyokamilisha their business........

Wakumtafuta ni aliyemtuma kufanya hiyo kazi, maana atakuwa na majibu ya kwa nini alimtuma and who else yuko kwenye list kama inexist.

Icadon, mimi ninavyomuangalia Malya ni kama mtu mwenye majibu ya maswali yetu mengi; ila hilo la kusafisha reminds me of that movie with Cedric the Entertainer.. nadhani ina jina hilo hilo "The Cleaner"...

Nakubaliana na wewe kwenye hili la kuwa ana majibu mengi....
 
Icadon, mimi ninavyomuangalia Malya ni kama mtu mwenye majibu ya maswali yetu mengi; ila hilo la kusafisha reminds me of that movie with Cedric the Entertainer.. nadhani ina jina hilo hilo "The Cleaner"...

hahaha Mkjj,
umenikumbusha ile movie, "Code Name: The Cleaner." Mambo ya Boca Raton, lakini Cedric the entertainer alikuwa hajui kama yeye ndio kashika "ufunguo"!? sasa wataka kusema na Mallya ni "jendaheka" au anajitia uzuzu??
Mie naanza kuamini kwamba hii kitu ilikuwa ni assassination ambayo ni sloppy, au mipango ikaenda terribly wrong ktk ku-cover up au ndivyo ilivyopangwa ili ku-inject fear kwa wengine wanaojishau..vyovyote iwavyo namsikitikia sana dogo Mallya, kwani kama alitumwa basi kafanya "suicide mission" bila kujijua!! Sad.
 
YNIM.. I'll tell you this.. Malya alikuwa ni chambo... cha kumuondoa Wangwe... a bait na inawezekana asiwe anajua lolote lile.
 
YNIM.. I'll tell you this.. Malya alikuwa ni chambo... cha kumuondoa Wangwe... a bait na inawezekana asiwe anajua lolote lile.

HUyo mtu wa tatu ambaye aliondoka na laptop, pesa na makabrasha ya Marehemu Chacha ni nani? inawezekana ndiye alikuwa mtendaji, Mallya was bait and the cleaner lakini alichemka.
 
YNIM.. I'll tell you this.. Malya alikuwa ni chambo... cha kumuondoa Wangwe... a bait na inawezekana asiwe anajua lolote lile.

Uuunh, ding diiing! hii kitu inakuwa kama nasoma Novel za Robert Ludlum (rip) hasa ile, "The Ambler Warning."

Kwahiyo mwokozi wa Mallya ni Mallya mwenyewe.....vipi lakini kama alikuwa "hypnotized" and was technically "sleep walking"?
 
YNIM... ningepata nafasi ya kumhoji huyo Malya, kuangalia gari, na eneo la ajali, ningeifunga hii kesi Perry Mason style au mambo ya Sherlock Holmes style wa Arthur Conan Doyle...
 
....wake watatu na watoto 12??????

Mkuu nakuambia we acha tu,sadly unakuta Mbowe au CHADEMA wanasingiziwa na kulalamikiwa kwamba hawakumpatia magari mazuri Makamu Mwenyekiti.It doesnt make sense at all!
 
YNIM, Ndio maana mie tangu mwanzo nasema huyu Mallya ni sloppy assassin...au hakujua magnitude ya business aliyoingia ndani yake....So alikwua chambo...?
 
Alafu sisi waTZ hivi tunakaougonjwa kakusahau nini imekuja hii ishu ya Chacha vyombo vyote vya habari na jamii kwa ujumla vimeamia huko.Ikija mpya tena hivyo hivyo mafisadi wanaendelea kutanua na mashangingi yao.

Fide tena ugonjwa huu mbaya sana na serikali yetu inaufurahia hasa maana ikiona mnashabikia kitu wanatafuta tu kitu cah kutufanya tusahau cha mwanzo.....

Nakumbuka issue ya EPA ilivyozimwa na kifo cha Dalali oppsss Balali.
Then Richmond ikazimwa na Chenge Mzee wa Vijisent
Mafisadi haya inazimwa na kifo cha Wangwe na sasa hivi kifo cha Wangwe kitazimwa na issue ya vyombo vya habari kutaka kuharibu amani ya nchi kwa kuandika habari za uongo juu ya vurugu..........

Kweli kaugonjwa ketu watanzania ni kabaya
 
Kama Malya hawezi kuwa charged kwa makosa makubwa;
1. Kwanza akipelekwa mahakamani anaweza kuripua na kuzamisha mtandao waote ambao unahusika(kama upo)

2.Na pili sidhani kama atafika mahakamani before they assassinate him too!... If he was an assassin..

......They say "do not judge a book by its cover".......

Yeah he looks young, and not that suspicious. Unafikiri wale wanaokuwa beheaded Iraq ni nani kama sio SPY'S (MI6 na CIA)......Wanaingiaje Iraq? Wanaingia kama contractors, doctors, Journalists etc.... Lakini wanashtukiwa. Halafu wanalia kama wao sio.

For what purpose was he in Libya(asked before)!

If it was an assassination, why is it so imperfect? Do they wanna fool us?........ It an open case, you take either way u want, yaani kila utakavyo ichukulia hii issue basi utapata clues!... Jee hii ndio perfectness(if it was an assassination) yake?.......

Lots of clues............... still NO conclusion!
 
Yes nakubaliana nawe the Napster, kama ni jasusi aliyetumwa na wenye mpango hii kesi waliyomfungulia ni feki kiini macho kwa watanzania. Si ajabu akapotea kimiujiza either wakamwondoa kisha kudai kuwa alikuwa na internal damage iliyosababishwa na ile ajali na bahati mbaya madaktari hawakuigundua mapema na ndio iliyomfarikisha dunia..... mtasikia tu kesi itayeyuka maana akifikishwa kizimbani what if ataamua kueleza ukweli?? wahusika (kama wapo) hawawezi kutake that risk.... watamsilence kinyemela!!..... Atashikwa na kipindupindu jela (peke yake) kisha atafariki !!!
Hawa bwana!
 
mkuu wangu,umechambua na kuainisha hoja yako vizuri sana .Lakini naomba kutofautiana na wewe.Nikuulize swali moja,Je Range Rover analotumia Mbowe ni la kwake ama ni la Chama?

Je,Corrola ya wangwe n i yake ama ni Ya CHAMA?

Tofauti za kimaisha zilitokana na background ya kila mmoja kabla hawajaingia kwenye siasa.Na hilo sio Tatizo hata kidogo
Mkuu mimi nakubaliana nawe katika hoja yako
 
Hivi jamani mnajua hata maana ya Jasusi?

Kwa haya yote mliyosoma, mnaweza kweli kusema huyo kijana ni Jasusi?

Majasusi wangelikuwa hivyo, wote wangenaswa wiki moja tu toka wanaanza kazi.

Huyo kijana ni mlalahoi tu anayetumia ujanja wake wa kuwakaribia wakubwa ku survive. Si mnajua Tanzania wakubwa wanapenda sifa? Inatosha kupiga shikamooh kibao, kukubali kutumwa tumwa hapo tayari waheshimiwa wanakuona wewe ni kijana wao.

Kama Mallya ni Jasusi basi hata mimi itabidi nijunge na hiyo kazi na ninaamini nitakuwa smarter mno kuliko huyo Mallya. Acheni kudharirisha professions za akina RO.
 
Hivi jamani mnajua hata maana ya Jasusi?

Kwa haya yote mliyosoma, mnaweza kweli kusema huyo kijana ni Jasusi?

Majasusi wangelikuwa hivyo, wote wangenaswa wiki moja tu toka wanaanza kazi.

Huyo kijana ni mlalahoi tu anayetumia ujanja wake wa kuwakaribia wakubwa ku survive. Si mnajua Tanzania wakubwa wanapenda sifa? Inatosha kupiga shikamooh kibao, kukubali kutumwa tumwa hapo tayari waheshimiwa wanakuona wewe ni kijana wao.

Kama Mallya ni Jasusi basi hata mimi itabidi nijunge na hiyo kazi na ninaamini nitakuwa smarter mno kuliko huyo Mallya. Acheni kudharirisha professions za akina RO.

May be he is smarter than u!...... coz he acts stupid all the time!..... SPY'S r dump, s2pid, fools, plumbers, mission town( u see em gettin money without knowin where the come from), and they know nothing!...... SPY'S are dangerous!..... a SPY can have 2 to 5 personalities!
 
May be he is smarter than u!...... coz he acts stupid all the time!..... SPY'S r dump, s2pid, fools, plumbers, mission town( u see em gettin money without knowin where the come from), and they know nothing!...... SPY'S are dangerous!..... a SPY can have 2 to 5 personalities!

Tupo ukurasa mmoja mkuu, he is so smart, kwa umri wake kuiteka akili ya Hon Wangwe hadi kumchota na kumbemba mzebe mzebe ucku ucku ili kufanikisha dili, si wa kawaida huyo,

By the way leo nimesikia kwenye news kwamba serikali ya Libya kupitia balozi wao wanamjia juu LIPUMBA kwamba nchi yao haifundishi ugaidi wala Ujasusi, kwahiyo wanasubiri maelezo/uchunguzi wa polisi ili wale naye sahani moja!

Hili jambo naona linazidi zua mambo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom