Mkuu Kitila,
Maneno mazito sana, ninaomba kuongeza kidogo kwamba ufike wakati Chadema, waamke na kuona kwa macho mawili kwamba as long as huu mjadala wa Wangwe unaendelea kati yao na CCM, ni advantage kubwa sana kwa CCM, kwa sababu kwa mara ya kwanza Chadema nayo inaanza kuwekewa mashaka na wananchi, kitu ambacho ni kawaida kwa CCM,
It is about time sasa, Chadema wakatafuta a new subject ya kuiondoa hii ya Wangwe, kwa sababu the more inasimama na wao kujiingiza kurushiana maneno ya propaganda na CCM, ni the more wana-sink kwenye Public Opinion na ni kwa sababu moja nzito sana ya kumsimamisha Makamu Wa Mwenyekiti wao, in only seven months toka achaguliwe, na hasa kitendo cha baadhi ya viongozi wao wa juu kujiingiza kwenye vita vya propaganda na marehemu, alipokuwa hai, wananchi hupenda the under dog hiyo ni sheria ya siasa na michezo dunia nzima, ingawa hufuraia sana the top dog akishinda, lakini hufurahi zaidi the underdog akishinda, hapa the under dog Wangwe ameshia kutangulia kwenye haki, sasa the top dog viongozi wa juu wa Chadema wamebaki, Wangwe hakuwa na ishus na CCM, bali Chadema, sasa wanashindaje the Public Opinion kwa kurushiana maneno na CCM, kwa ajili ya marehemu the under dog waliyekuwa wamemsimamisha uanachama?
Only kama Chadema wataweza kutoa ushaidi mzito kuwa hawahusiki na kifo cha Wangwe, na kutoa ushahidi mzito wa wanaohusika na hicho kifo kama wapo, otherwise ni kufukuza hewa kushindana na CCM on this ishu, na believe me kuwa kuna wajinga flani ndani ya CCM ambao are having a lot of fun na hii topic,
Chadema, please change the subject now kabla haijawa too late!
Ushauri wa bure na wa binafsi, kwa sababu can you imagine our national politics bila ya Chadema?