Kifo cha jukwaa la celebrity

Kifo cha jukwaa la celebrity

Unahangaika kutafuta umbea Kwa nguvu zote hakuna reward ya maana unapokea zaidi ya kufurahisha genge, mwisho wa siku mtu anaona ujinga huu ngoja nifanye mambo yangu, ishu nyingine lile jukwaa lilikaa kiumbea Sana kuwaongelea wasanii wa Bongo wakati ilitakiwa tuhame huko tujadili Celebrities wenye mafanikio ya kuigwa Kwa jamii (sio hawa wadangaji) jinsi walivyofika may be inaweza kuwa chachu Kwa vijana wa baadae, Yani ilibidi jukwaa libadili uelekeo na hata hivyo watz wanapenda Sana umbea ndio maana bila umbea jukwaa linakufa hasa umbea ule wa kuongelea mambo machafu.
 
Kudorora

Kudhoofika na hatimaye kupotea kwenye ulimwengu wa umaarufu wa wasanii wa wa mziki wa kisasa Tanganyika ndiko kulikosababisha mauti ya jukwaa la celebrity

Hili jukwaa kuna kipindi lilikuwa maarufu mno kiasi cha kuifunika vilivyo chitchat. Huku likiwa na magwiji wake kama marehemu warumi na nifer

Je marehemu anaweza kufufuka? Celebrity lilikufa natural death halikufutwa! Pengine kuna siku mzimu wake utarejeaView attachment 3587605
Uyo pichani ndio warumi au niffer?
 
Back
Top Bottom