Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 5,426
- 13,771
Anakufuatilia mkuuUna maana gn kusema kila mada yake?
Umekutana na 🗑️ yangu kwenye mada zake ngapi?
Anakufuatilia mkuuUna maana gn kusema kila mada yake?
Umekutana na 🗑️ yangu kwenye mada zake ngapi?
Kwanini mnajipa umuhimu kwenye maisha ya watu?Ndio. Na kuna watu walikuelewa na wakajibu kabisa, ila post zao zinaonesha walijawa aibu na woga baada ya kuona post yako.
Sorry heshima yako au dharau inapunguza au kuongeza nini kwenye maisha ya mtu 😁Yaani huyu bro Mshana Jr me simheshimu wala simdharau. Lakini "NAMUELEWA SANA".
ufafiti wako ulichukua mda ganiSasa ninachosema ni kwamba, watu wanavomchukulia ni tofauti na alivyo.
Kwanini unasema wanamchukulia mzito sana?Yaani wanamchulia uzito sana, wakati ni wakawaida.
Wachawi wako wanatoka pangoni mmoja baada ya mmoja kaa tayali uone 😅😅Tungekuwa tunatumia picha zetu halisi....!
Huu ni wivuAnyway, naiweka kwa ufupi kama ifuatavyo.
Mshana ni mtu maarufu humu JF, ila watu wengi hawamueshimu bali wanamuogopa. Pia wapo wanaomuheshimu.
Mfano, mara nyingi jamaa hua ana-quote au ana copy and paste maneno Kutoka Kwenye Mada na kuyaweka kama comment yake (sio mbaya) ila tatizo linakuja kwamba watu wanakuja kufurahia paste aliyoifanya Mshana Na kuacha ya mtoa mada wakati pia wameisoma hy point kwenye mada.
Pia aina ya mada zake baadhi, mada hizo hizo ziliandikwa na wengine ni upuuzi ila ziliandikwa na Mshana bc pipoz mnajaa, tusiende Mbali, angalia tuu h mada, the compare Na heshima mnayompa Mshana.
N Sawa na msanii mkubwa anatoa mziki wa kipuuzi unaenda mbali mana n msanii mkubwa.
Siwez kuwa na chuki na yeyote Humu JF, siwezi kuwa na ugomvi na huyu mpare mwenzangu, kwanza tumetoka kijiji kimoja 😂 wote n wana kwangu,
😁😁R.I.P WARUMI NILIKUWA NAMCHARURA KWELI KWELI
Dad nimeambiwa mi chawa please naomba niokote kama kina mwijaku😅🤪Chizi harogwi tena!
😂Ndio. Na kuna watu walikuelewa na wakajibu kabisa, ila post zao zinaonesha walijawa aibu na woga baada ya kuona post yako.
Upo sahihi mkuuHuu ni wivu
Ananifatilia ili iweje?Anakufuatilia mkuu
Sasa hapo muulize yeyeAnanifatilia ili iweje?
....Kwanini mnajipa umuhimu kwenye maisha ya watu?
....Sorry heshima yako au dharau inapunguza au kuongeza nini kwenye maisha ya mtu
....uTafiti wako ulichukua mda gani
na baada ya hapo ni faida gani na hasara umeziona /umezigundua
....Kwanini unasema wanamchukulia mzito sana?
Una uhakika wanamchukulia mzito?
Hawez kukuelewa 😂....
....
....
....
Kunaaa..
"Kumkosoa, kumsema, na kumuelezea". Au
"Kukosoa, kumsema na kuelezea".
Sasa me sijamkosoa. Pia, sijamsema. Ila nimeelezea kuhusu yeye kiujumla. Ndo maana nikasema simheshimu wala simdharau. Ila "NAMUELEWA SANA"
Unajua huwezi kumdharau mtu ambaye humuelewi... Pia huwezi kumheshimu mtu ambaye humuelewi... Kifupi kumheshimu na kumdharau mtu, kunakuja baada ya kumuelewa.
Ww Ndo umesema, sio yeyeSasa hapo muulize yeye
Ngoja niache tu. Kuchati kwe taaabu, afu mtu hataki kuelewa. Napoteza muda kukaa na kushika simu.Hawez kukuelewa
Hivi wewe Mbaga unajikuta nani hasa kijana 😁😁🙌Hawez kukuelewa 😂
Au sio mwanetu akili mingi et 😁😁Ngoja niache tu. Kuchati kwe taaabu, afu mtu hataki kuelewa. Napoteza muda kukaa na kushika simu.
Nakupenda sana mdada wangu ❤️Hivi wewe Mbaga unajikuta nani hasa kijana 😁😁🙌