Huyo jamaa nilisha-mla block siku nyingi sana. Anachoandika siwezi kukiona. Nlimtumbumbukiza kwenye kapu la ignore list.Saikolojia ya "hater" inajikita zaidi katika matatizo ya ndani ya mtu anayechukia kuliko mitazamo ya mtu anayechukiwa.
View attachment 3587624Mara nyingi, chuki ni njia ya kisaikolojia ya kukabiliana na maumivu ya ndani, kutojiamini, au hisia za kushindwa.
Miaka kama mitano nyuma kuna ID iliniandama mno kwa kila nilichopost .. Nikawa nishangaa sana.. Ikabidi niingie mzigoni ... Akaletwa tukaa kijiwe kimoja hivi kuna pub tukanywa tukala bila kunitambua kabisaHuyo jamaa nilisha-mla block siku nyingi sana. Anachoandika siwezi kukiona. Nlimtumbumbukiza kwenye kapu la ignore list.
Unatoa furaha wapi na nakudaiš¤£š¤£š¤£Shee umeanza lini elimu ya unajimu?ššš Na ramli chonganishi?š¤£
Mpaka unilipe.
Ngoja nami nianze kukuandama ili nije kula bia.Miaka kama mitano nyuma kuna ID iliniandama mno kwa kila nilichopost .. Nikawa nishangaa sana.. Ikabidi niingie mzigoni ... Akaletwa tukaa kijiwe kimoja hivi kuna pub tukanywa tukala bila kunitambua kabisa
Kwakweli nilijisikia vibaya sana maana alikuwa kijana tu fulani mchovu
Mbona jukwaa la mapishi silioni au limefutwa
Mambo ya dizongaHii picha ni Afrika hii hii au nchi za watu?
Hizi sasa dharauš¤£š¤£Miaka kama mitano nyuma kuna ID iliniandama mno kwa kila nilichopost .. Nikawa nishangaa sana.. Ikabidi niingie mzigoni ... Akaletwa tukaa kijiwe kimoja hivi kuna pub tukanywa tukala bila kunitambua kabisa
Kwakweli nilijisikia vibaya sana maana alikuwa kijana tu fulani mchovu
Dah! Apa Mbaga Jr uliandika ukiwa kwenye utulivu balaa.Anyway, naiweka kwa ufupi kama ifuatavyo.
Mshana ni mtu maarufu humu JF, ila watu wengi hawamueshimu bali wanamuogopa. Pia wapo wanaomuheshimu.
Mfano, mara nyingi jamaa hua ana-quote au ana copy and paste maneno Kutoka Kwenye Mada na kuyaweka kama comment yake (sio mbaya) ila tatizo linakuja kwamba watu wanakuja kufurahia paste aliyoifanya Mshana Na kuacha ya mtoa mada wakati pia wameisoma hy point kwenye mada.
Pia aina ya mada zake baadhi, mada hizo hizo ziliandikwa na wengine ni upuuzi ila ziliandikwa na Mshana bc pipoz mnajaa, tusiende Mbali, angalia tuu h mada, the compare Na heshima mnayompa Mshana.
N Sawa na msanii mkubwa anatoa mziki wa kipuuzi unaenda mbali mana n msanii mkubwa.
Siwez kuwa na chuki na yeyote Humu JF
Kuna muda nilikuwa nataka kutumia, ila nilisita.Kumbe hii ndio sababu aisee noma sana Sikujua
Ila nikushauri tu watu hatufanani na Haiwezekani kabisa cha muhimu ukiona mtu huendani na mitazamo yake una muacha tu kuliko kuonesha chuki za wazi wazi
Mfano wewe unavyoongelea nyeto unadhani kila mtu anapenda sio kweli sasa wewe umeona watu wakikuonesha kua hawapendi ?
Na sio kwamba wanakuogopa ila wanaheshimu maoni yako
Pengine upo kwenye ignore list za watu
Na wewe fanya hivyo ukiona mtu humuelewi mtupie huko ili uwe happy
Wewe tumia utajua mwenyeweKuna muda nilikuwa nataka kutumia, ila nilisita.
Ngoja tu niseme,
Umdhaniae ndiye, kumbe sio.
Wewe ni chawa wa nani?Mtu akiwa chawa wa Mshana hawezi kuelewa nilichoandika.
Kwahiyo kijana alikua amechoka sana wakuhurumiwa š¤£š¤£Nimeandika uhalisiaš
Ndio. Na kuna watu walikuelewa na wakajibu kabisa, ila post zao zinaonesha walijawa aibu na woga baada ya kuona post yako.Mtu akiwa chawa wa Mshana hawezi kuelewa nilichoandika.