The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Leo kumejitokeza utata mwingine tena mahakamani kwa shahidi No. 8 wa Jamhuri Askari Polisi aitwaye Jumanne.
Kwamba, alipowakamata watuhumiwa na kuwapekua aka - seize [akachukua] mali za watuhumiwa kinyume cha sheria inayoongoza tendo hilo.
Sasa upande wa utetezi ume - OBJECT tendo hilo na kuitaka mahakama isiupokee ushahidi wa shahidi huyo kwa sababu umepatikana kinyume cha sheria.
Yaani utaratibu unamtaka aongozwe kutenda tendo hilo kwa sheria au kifungu cha sheria A yenye akatumia kifungu au sheria B. Hii kisheria inaitwa "wrong citation of the law"
Jaji amepata home work nyingine tena. Je, atawabeba Jamhuri tena kama Jaji Siyani alivyofanya katika pingamizi la kwanza na kumpelekea ajitoe kusikiliza kesi hii...?
NINI KITATOKEA IWAPO UAMUZI UKAWA KINYUME CHA SHERIA?
Mnaukumbuka wito wa Godbless Lema wa kutaka mawakili wa M/Kiti Freeman Mbowe kujitoa ktk kesi ili Jaji ahukumu apendavyo yeye kwa kadiri ya kile kinachodaiwa kuwa "kupokea maelekezo toka juu?"
Nadhani maamuzi ya Jaji kwenye OBJECTION hii yanaweza KUTIMILIZA HILI KESHO...!
Let's see and wait...
Kwamba, alipowakamata watuhumiwa na kuwapekua aka - seize [akachukua] mali za watuhumiwa kinyume cha sheria inayoongoza tendo hilo.
Sasa upande wa utetezi ume - OBJECT tendo hilo na kuitaka mahakama isiupokee ushahidi wa shahidi huyo kwa sababu umepatikana kinyume cha sheria.
Yaani utaratibu unamtaka aongozwe kutenda tendo hilo kwa sheria au kifungu cha sheria A yenye akatumia kifungu au sheria B. Hii kisheria inaitwa "wrong citation of the law"
Jaji amepata home work nyingine tena. Je, atawabeba Jamhuri tena kama Jaji Siyani alivyofanya katika pingamizi la kwanza na kumpelekea ajitoe kusikiliza kesi hii...?
NINI KITATOKEA IWAPO UAMUZI UKAWA KINYUME CHA SHERIA?
Mnaukumbuka wito wa Godbless Lema wa kutaka mawakili wa M/Kiti Freeman Mbowe kujitoa ktk kesi ili Jaji ahukumu apendavyo yeye kwa kadiri ya kile kinachodaiwa kuwa "kupokea maelekezo toka juu?"
Nadhani maamuzi ya Jaji kwenye OBJECTION hii yanaweza KUTIMILIZA HILI KESHO...!
Let's see and wait...