queen sheba nn?Mi nilishaacha kula kwenye migahawa yao hao watu.
queen sheba nn?Mi nilishaacha kula kwenye migahawa yao hao watu.
ulipotelea wapi mkuu?Mtaongea nao?
Doha ni balaa bonge la airport ila naona hilo ulilosema linatokana na ubize wa airport yenyewe yaani wana ndege nyingi utafikiri mabasi ya pale Ubungo walichonifurahisha karibu zote ni zao oohh nikaanza kuiwazia mama Tanzania na ki terminal chetuDuuhh!! Afadhali uwanja wa Qatar ila daah kwenye upande wavyoo kama uko transfer nishidaa wapikistani na wahindi wanatematema wate ovyo kwenye sinki hadikinyaa
Soma vizuri jamaa alimaanisha person hygiene sio environmentMkuu acha hizo bana, wanyarwanda wasafi sana, hebu nipe utofauti wa usafi wa wanyarwanda na watz? Acha kudhalilisha nchi za watu.. Kwa usafi gani haswa unataka kusema watanzania wamezidi wanyarwanda?? Anzia kulinganisha dar na kigali kwanza.!
Na hapa tunaongelea Bole airport, Ethiopia sio Rwanda eboo.!
Vp nikiboresha iwe Fly KilimanjaroATC hii ya marubani wetu hawa wazee? tuombe mola atupatie hikma na busara katika kuendesha shirika hili pendwa.
** Tubadilishe jina....KILIMANJARO AIRLINES
Naipenda Qatar hasa unapokuwa mnakaribia ku land Doha halafu usiku waooh jiji lao linavutia sana kwa zile taaAaaahaaaa niliacha kupanda Ethiopian airline mwaka2009 Iyo siku nilikutana Na kinyesi live chooni makoozi kwenye sink nikasema shida yote ya Nini khaa nikasema sipandi tena hili kopo kweli cheap is expensive aaaahaaaaaaa nimekimbilia Qatar
HahahahaMwaka Jana nimepanda hiyo kwenda Addis Ababa nikapitiwa usingizi katikati ya safari. Niliposhtuka humo ndani ni kelele tupu utafikiri tunaenda mkoa. Kumbe kama robo tatu ya abiria walikuwa wafanyabiashara wa kariakoo wanaenda China.!
Ndugu unaweza kuwa unafanya connection na ndege unayosubiri inatoka destination nyingine hvyo unasubiri 3hrs airport unafikir bila WiFi hapo maisha yanakuwaje? Utazunguka madukani hadi uchokeHivi inachukua muda gani kusubiri kuboard au kutoka airport mpaka Wi-Fi iwe important that way labda kama kunadelay ya mwezi.
Cancellation mtu yupo busy to find out alternative way.
Hili nalo neno umenikumbusha hv stand ya Dodoma nyie wenye dhamana mmeridhika kabisa? Hebu msitufanyie mambo ya kijinga Dodoma inatakiwa iwe na stand classic ikiwezekana iwe kama terminal ya ndege. Sijui kama kile kipindi cha tbc cha safari ya Dodoma wameeleza stand mpya itakuwa wapi? Mwenye kujua tafadharMkuu vyoo vya kulipia ni visafi hapa stendi ya Dodoma Na free WiFi tembea Hatua kumi
Mpaka Jamatini hapo utapata WiFi.