KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

Niliwahi panda Lufthansa airline inaishia hapo then nikaunga to DSM. Nilisema kwa hakika siji kupanda ndege yeyote inayopita Addis Ababa, ni airport mbaya kuliko zote bora hata DSM.

Airport chafu, inanuka, security officers wamekaa kwenye viti na virungu vyao kama nao wasafiri. Usiku Hakuna services kama internet na simu. Kuna hallway ilikua haina taa kifupi ni airport hovyo sana simshauri mtu apite Ethiopia.
 
Tatizo la ndege za Ethiopian wengi wanalolizungumzia hapa lipo kwenye aina ya abiria wanaopanda ndege zao. Japo sijasafiri nao mara nyingi lakini nimegundua ndege zenye matatizo zaidi ni zile zinazosafiri within African continent na zile zinazoruka kutoka Addis Ababa kwenda kwenye miji ya kibiashara China. Na wanaosababisha haya matatizo ni aina ya abiria wanaopanda hizi ndege. Wengi wao ni watu local na wasio na elimu, wanaofanya uchuuzi wa bidhaa kati ya Afrika na China. Wengi ni type ya wafanyabiashara wa Kariakoo ie. wengi hawana elimu ya kutosha, hawana exposure kubwa ya ustaarabu, waliopata fedha kwa uchuuzi wa bidhaa na wanafikiri wanajua na wamemaliza kila kitu kumbe sio.
Hii inaitwa jicho la tatu
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.
NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Nilijuta.... Kuna kero kuanzia foleni za ku check in hasa China, Bangkok.mapopo na wakongomani huwa na mifurushi kama ya mitumba ya soko la kibororoni. Kero mbayaa zaidi ni pale airport kuna Choo kimoja mna share zaidi ya watu 500 kibaya zaidi ukishuka muda wa karibu na swalah ya mchana watu wanakanyaga kwenye masinki ya na Kuosha miguu yao. Basi floor hujaa maji na mikojo kama siku ya mechi ya stendi United na simba kwenye vyoo vya uwanja wa Kambarage.
Sitarudia tena it doesn't matter how cheaper they are
 
Katavi- sasa safari ya DAR-ADDIS unasinzia siku unaenda SYDNEY si ndio utasahaulika kabisa ndugu!
Hahaah mkuu ni jirani ila niliunga safari tena hiyo ya mwanzo ilikuwa kwa roli...!
 
Duuhh!! Afadhali uwanja wa Qatar ila daah kwenye upande wavyoo kama uko transfer nishidaa wapikistani na wahindi wanatematema wate ovyo kwenye sinki hadikinyaa
Wanamumunya sana ule ugoro wao ndo maana
 
Japo wadada wa kihabeshi si haba kwa sura ila Mauno na Wezere ndo hamna.
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.
NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Badilisha ndege mkuu pale sio pa kupita kabisa labda tu uwe na dharula
 
ethiopian ni watu wa ajabu kuanzia kwenye ndege kwenyewe, yaani vile vidada vichoyo balaa vinakupa chakula kiduchuu, hakuna kinywaji cha maana zaidi ya maji, maza fanta na cocacola abiria wa safari ndefu ukifika basi pale uwanjani kwao DUTY FREE shops zao wametandaza ile mitandio tu ya ki-ethiopia tu, sisi tunataka pombe tupotezee muda safarini mnatuuzia mitandio, ya nn sisi?
NB: WIFI mpaka kununua 10 USD dakika 30 tu. ***** wallahi!!
Hapana, wanazo pia bia na wine
Ila huduma zao ziko chini sana huwezi hata kujaribu kulinganisha na ndege zingine
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.
NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Tatizo la ndege za Ethiopian wengi wanalolizungumzia hapa lipo kwenye aina ya abiria wanaopanda ndege zao. Japo sijasafiri nao mara nyingi lakini nimegundua ndege zenye matatizo zaidi ni zile zinazosafiri within African continent na zile zinazoruka kutoka Addis Ababa kwenda kwenye miji ya kibiashara China. Na wanaosababisha haya matatizo ni aina ya abiria wanaopanda hizi ndege. Wengi wao ni watu local na wasio na elimu, wanaofanya uchuuzi wa bidhaa kati ya Afrika na China. Wengi ni type ya wafanyabiashara wa Kariakoo ie. wengi hawana elimu ya kutosha, hawana exposure kubwa ya ustaarabu, waliopata fedha kwa uchuuzi wa bidhaa na wanafikiri wanajua na wamemaliza kila kitu kumbe sio.
 
hiyo ndege ETHIOPIAN (ambapo bila kutaka utatumia uwanja tajwa) ni kwa ajili ya waafrika & wachina wabahili-bahili wenye akili wanajipambanua na EMIRATES, QATAR, SWISS na KLM

Mkuu Ethiopian airlines sio bei rahisi.Bei zao zinalingana sana Na Emirates or KLM.
Vilevile ukichukua ndege ya Emirates lazima ubadilishie Dubai kadhalika KLM Amsterdam
Halafu sio ubahili Au ujinga kuchukua Ethiopia wakati mwingi inabidi Kutokana Na shughuli za muhusika.
 
Tunaotumia stendi ya mabasi ya Dodoma kusema ukweli hali si nzuri kidogo naomba serikali iangalie hapo vilevile vyoo ni vichafu na hamna free WiFi abiria tunapata shida kwelikweli

Mkuu vyoo vya kulipia ni visafi hapa stendi ya Dodoma Na free WiFi tembea Hatua kumi
Mpaka Jamatini hapo utapata WiFi.
 
Travelled through Addis Ababa to Bangkok from Cape Town and return. Remarkably the person operating the X-ray machine leaves his post to search individuals causing the queue at security to simply stop moving. Other staff member indifferent to the needs of those with connecting flights. Flight took off late. On return trip experienced 4 hours in the overcrowded facility serving gates 12-17. Flies, mosquitos, bird droppings on the seats, dirty, exposed wiring and conduits, poorly patched cement. Filthy toilets.
 
Back
Top Bottom