lengo lako ilikuwa tu kuwaponda hawa jamaa bas........ changanya na wakinga wa kariakoo
This is true! Ethiopian is the cheapest buy the woest!Duh...utakua mhaya tu ww....
Ubahili huo...Wakinga wamezoea mafuso toka huko kwao Makete 2 Dar
Fanya hivyo mkuu...Duhh..aise I believe hao jamaa wa ET wanapita humu. Kuna la kujifunza.
I always use Emirates, lakini in two weeks time nataka nitumie ET kwa sababu ya connection. Kufika Dar nasave almost masaa kumi na mbili! I will see whether the sacrifice will be worth it. By the way kwa ticket mfano Dubai-Dar.....both Emirates and ET...tofauti ni ndogo sana (kwa ticket niliyonunua haikuzidi $30)..
Nikishapanda hii ndege nitaleta mrejesho hapa!
Masanja! tofauti ya Ethiopian na Emirates ni 30 USD? unakatia wapi mkuu? mi kuna wakati inabid nikapandie NAIROBI kwa ajili ya ku-save!! na ukweli tofauti ya kupandia DAR na NAIROBI kwa Ethiopian naiona maana na-save kati ya 250 mpaka 300 USD. Naona NBO-JHB na NBO-DXB pia NBO-DELHI/MUMBAI nako ni cheap sana kwa Ethiopian japo siti (economy) zao zimejibana kama NGORIKA kwa safari za muda mrefu toka ADD ni tabu sana hata ukisema ulale ni shida tu.
Mtaongea nao?Sawa
Leta takwimuKuwa na uchumi mkubwa haijalishi sana kama umefungwa au la!
Katika top 10 ya biggest economies (macro economy) za Africa Ethiopia imo.