KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

SHERIFF unasema OR Tambo ni ya kawaida ukilinganisha ni airport ipi Afrika? au pale Mwanza Int'l Airport?
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.
NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
horrible experience
 
pia hata wale dada zao wanaofanya biashara kongwe wengi si watamu halafu bei ghali sana...100USD/shindo?
 
Addis Ababa Beibii! mimi nilichelewa connection wakanipeleka hotelini DREAMLINER daah wadada kibao wanakukonyeza kama unataka KIPOCHI MANYOYA. Wana njaa hatareee japo weupe lakin ukwimi umeshamiri
Kwani weupe ndio prevention ya HIV?
Mazungumzo mengi ya vijana wa kitanzania ni mashudu 99%
 
Tatizo la ndege za Ethiopian wengi wanalolizungumzia hapa lipo kwenye aina ya abiria wanaopanda ndege zao. Japo sijasafiri nao mara nyingi lakini nimegundua ndege zenye matatizo zaidi ni zile zinazosafiri within African continent na zile zinazoruka kutoka Addis Ababa kwenda kwenye miji ya kibiashara China. Na wanaosababisha haya matatizo ni aina ya abiria wanaopanda hizi ndege. Wengi wao ni watu local na wasio na elimu, wanaofanya uchuuzi wa bidhaa kati ya Afrika na China. Wengi ni type ya wafanyabiashara wa Kariakoo ie. wengi hawana elimu ya kutosha, hawana exposure kubwa ya ustaarabu, waliopata fedha kwa uchuuzi wa bidhaa na wanafikiri wanajua na wamemaliza kila kitu kumbe sio.
Aisee kumbe na wewe umegundua hili swala me naona hawa wote ni wale wa cheap flights bargaining specialists sasa wanapewa what's within their limited grounds wanakuja kujilinganisha na business class huku hata complain zao huku utawajua tu ni tabularasa.
 
Mwaka Jana nimepanda hiyo kwenda Addis Ababa nikapitiwa usingizi katikati ya safari. Niliposhtuka humo ndani ni kelele tupu utafikiri tunaenda mkoa. Kumbe kama robo tatu ya abiria walikuwa wafanyabiashara wa kariakoo wanaenda China.!
Kuongea kwenye ndege mbona ni jambo la kawaida hata flights za mbele.
Aiseee
 
Kwahiyo mnashauriana kubadili flight bila kujali destination wala durability sababu tu kuna free Wi-Fi airport???

Aiseee
Tanzania ya vuwanda.
yeye ndie atajiongeza kuona kama QA ipo kwenye route anayoenda acha kujifanya mjuaji, sio kila anachoshauriwa atafanya vingine vinamsaidia kufikia maamuzi sahihi
 
yeye ndie atajiongeza kuona kama QA ipo kwenye route anayoenda acha kujifanya mjuaji, sio kila anachoshauriwa atafanya vingine vinamsaidia kufikia maamuzi sahihi
Hivi inachukua muda gani kusubiri kuboard au kutoka airport mpaka Wi-Fi iwe important that way labda kama kunadelay ya mwezi.
Cancellation mtu yupo busy to find out alternative way.
 
Tatizo la Ethiopian airlines ni kuwa unakutana na "MIPOPO" kibao toka West Africa mingi mijizi na imefungasha sembe ukizubaa ama wakuibie ama wakubebshe hiyo misembe yao bila kujua
Haha haha haha haha haha haha
 
Duuhh!! Afadhali uwanja wa Qatar ila daah kwenye upande wavyoo kama uko transfer nishidaa wapikistani na wahindi wanatematema wate ovyo kwenye sinki hadikinyaa
Hawa watu ni wachafu sana
 
Kuna ndege inaitwa American Airline aisee hio flight wale wahudumu wako rude rude hasa kwa wanaokaa economy daah shida tupu sijawahi panda Ethiopian airline ila huduma za Qatar airline aisee zaukweli kinoma ataukikaa coch unapewa huduma utasema first class
 
Back
Top Bottom