Ni kwanini stori za umbea na udaku zinapendwa sana na vijana masikini kuliko maendeleo na fursa?

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,638
Sijajua sababu haswa nini ila nimegundua vijana wengi wa kimasikini, waliokwama kimaisha , hawana issue ya kufanya stori nyingi wanazojadili ni umbea na udaku kuhusu maisha ya watu yaani unaweza kukuta tangu asubuhi hadi jioni wapo kijiweni wanajadili maisha ya watu na kushare Habari umbea na udaku.

Tofauti na wakishua wao mara nyingi stori zao kwenda mbele, kushare fursa, m.k ambapo kijana wa kimasikini hapendi hizo Habari.

Je, sababu nini vijana kimasikini kupenda stori na udaku kuliko maendeleo?
 
Huhitaji kutumia akili kubwa kuelewa umbeya

Ni matukio ya kawaida, sema yamewapata watu maarufu

Kuelewa habari za maendeleo inahitaji kiwango flani cha akili
 
live your life my Nigga kila mtu amechagua sehemu ya kuipata furaha yake as long as hakuvunjii heshima we komaa na maendeleo yako na wao waache wakomae na umbea wao WE CAN'T BE THE SAME iko hivo yan and YOU CAN'T CHANGE IT.
 
Back
Top Bottom