Kazi na dawa

Kazi na dawa

Ywezekana ni kweli lakini kulikua hkuna haja y kuposti ,who knows km ni servants of Jesus ,pia wapo wanaovaa kanzu kuchafua uislam ,au pia untka pia nao wakiona waliovaaa kanzu pia nao wawaposti sio vxr bwana
 
Ndio maana mimi nilikiambiaga Utumishi nikahamia dini ya haki...

View attachment 596071
08f0735f2ca761a2addb27027c5baab1.jpg
nyumba yako ya vioo unafanya mchezo wa kurushiana mawe
 
Mi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.

Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.

Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.

Hatarious.
Mbona kuna familia baba na mama wote wanakunywa pombe na wanalea watoto.
waacheni bwana.
 
Mara paaaaaaaaaaap...


Sadaka za waumini zileeeeeeeee
Ni haki yake kwani anatakiwa kula madhabahuni.
Siyo mtalaam wa graphics but I have a feeling kwamba wataalamu wame temper na hizo picha.Inawezekana kabisa comments na judgments ziko based on wrong premise, if my feelings are correct.Karibuni watu wa graphics kwa professional inputs.
 
Kuna vitu common kwa dini na madhehebu yote acha kutetea ujinga
Hilo suala la imani ya mwenzako kuiita ujinga ndipo penye tatizo. Mimi haikua suala kutetea. Ilikuwa kufahamisha ya kuwa kwa imani RC pombe sio tatizo kama wengi wetu humu tunavyofikiri. Kama ni ujinga sio ujinga mimi simo cha msingi ni kuheshi imani ya mwenzako. Kwa sababu kama ni ujinga na yeye anakuona wewe mjinga kwa kuharamisha pombe. Na labda nidokeze hapa kwamba RC ndio kanisa kogwe kuliko makanisa yote duniani na ndio kanisa lenye wafuasi wengi duniani dhidi ya madhehebu zote duniani. Kwa hiyo hao unaowaona wajinga ndio wengi duniani vile ndio kanisa mama duniani ambayo kwake hayo madhehebu mengine unayoyasema yameibuka. Kama upo katika madhehebu ya Kikristo na kuona kuwa RC ni wajinga ni sawa na mtoto, awe amekua au bado mtoto kuwaona wazazi wake wajinga. Pamoja na yote common factor inayo determine au kuunganisha madhehebu za Kristo sio pombe.
 
biblia imetamka kuwa ulafi na ulevi ni dhambi.haijasema kula na kunywa ni dhambi !!!
 
Na biblia inasema usimpe Jirani yako kileo. Pombe ni dhambi ni sawa na mtu afanye zinaa kisha aseme lakini sijafumaniwa au sijapatwa na ugojwa was zinaa. Biblia ikisema ulevi ni dhambi ni dhambi hakuna cha askofu, nabii, mtume, mtume na nabii, mchungaji, mchungaji Kiongozi, padre, kadinari , Papa, babu wa loliondo au malaika anayeweza kubadilisha hilo. Na walevi hawataingia ktk uzima was milele period.
Kwa hiyo kwako wewe kileo ni pombe tu, mnapoimba madaraka ya kulevya napo huwa mnamaanisha nini? Mtu anaweza kulewa chochote, ilimradi amezidisha kiasi.
 
08f0735f2ca761a2addb27027c5baab1.jpg
nyumba yako ya vioo unafanya mchezo wa kurushiana mawe
Nilikuwa nafuatilia mada ila ukija kitu ambacho ni cha kizushi sitokaa kimya, huu ni uongo na ni upumbavu. Kama unatafuta njia ya kuweza kushawishi watu wajiunge na imani unayoifuata, jaribu kuhubiri na kuonesha umuhimu wa neno lako si kusambaza uzushi.



Kutumwa hiyo picha usikute kaweka mkristo mwenzenu, nani asiyejua kama RC na Sabato mna ugomvi. Usikimbilie kukashifu wasiyohusika.


Mbona waislamu wenye huwa hawatumii nguvu nyingi hivyo hadi kuunda picha za kizushi au kutia uongo kuhusu dini yenu. Heshimu imani ya mtu, hiyo picha usikute hajaweka mwislamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom