Kawaida tu. Au nataka turushe kanzu kwenye noah, acha hizo
Kawaida tu. Au nataka turushe kanzu kwenye noah, acha hizo
Hata kulewa sio dhambi, kwa RC huo ni mzizi wa dhambi, unaweza kukupelekea ukatenda dhambi. Pamoja na ulevi, mizizi mingine ni majivuno, uchoyo, uzinifu, wivu, ulafi, hasira na uvivu.Wakatoliki wanaruhusu unywe lakini usilewe
Siyo mtalaam wa graphics but I have a feeling kwamba wataalamu wame temper na hizo picha.Inawezekana kabisa comments na judgments ziko based on wrong premise, if my feelings are correct.Karibuni watu wa graphics kwa professional inputs.
Usanii wa dini uko wapi? Kama vitabu vya dini vimesema wizi si jambo sahihi akatokea mtu au watu wakaiba utasema dini ni usaniiHivi vitabu vya dini wanavyo tufundishia sivinakataza yani hapa ndio dini unaona usanii.
Una uhakika vitabu vyao hao vinakataza?Hivi vitabu vya dini wanavyo tufundishia sivinakataza yani hapa ndio dini unaona usanii.
Wala haichafui hali ya hewa. Kwa imani yao hicho ni kiburudisho kama kiburudisho kingine, wala usifikiri picha hiyo inawaumbua. Ni kama dini nyingine kitoweo cha nguruwe ni haramu lakini kwa dini nyingine halaliHii picha itachafua hali ya hewa,hata kama ni mavazi tu either wamevaa Kwa lengo fulani lakini hautaeleweka..ngoja waje uone!
Hakuna dini ya kipaganiDini inayoruhusu pombe ni ya kipagani
Kama mnashangaa, sisi ni suala la kawaida. Nenda kwenye paroko zetu hivi vitu vinapatika. Cha kuzingatia ni kiasi
.Kama mnashangaa, sisi ni suala la kawaida. Nenda kwenye paroko zetu hivi vitu vinapatika. Cha kuzingatia ni kiasi