Kazi na dawa

Kazi na dawa

Dini huwa haipimwi kwa matendo ya waumini wake bali hupimwa kulingana na mafundisho yake, kwanza unaweza kunywa pombe na usifanye dhambi, ushawahi kujiuliza matendo ya kinyama na mauaji yanayofanywa na waislamu kwa mwamvuli wa uislamu?! Makundi ya kigaidi yanayojinasibisha na uislamu unayaona ni afadhali kuliko kunywa pombe ?
Akikujibu unitag mkuu
 
Wakatoriki wanaruhusiwa na nini kunywa ila wasilewe? inaana wakatoriki wao wana Mungu wao, na biblia yao, waache usani huo ni uroho tu, hakuna ruhusa yoyote katika Biblia inayomruhusu mkatoriki kifanya vitu ambavyo wanadamu wengine wamekatazwa.
 
Kwanza kwenye amri kumi hakuna inayokataza pombe. Hawa ni watawa ambao kwenye nadhiri zao hakuna kifungu kinasema wasinywe pombe ila wamefunga nadhiri za useja, umaskini na wito. Wakatoliki tunaruhusiwa kunywa hata sherehe zetu zote au shughuli zetu zote dunia nzima hazikosi mvinyo. Yesu alitengeneza mvinyo kama muujiza wake wa kwanza pale Kaanani sasa wewe unatwambia nini?
Mimi naona usipeleke watoto wako huko kwenye shule za kikatoliki, wapeleke kwenye shule za kiislam maana hao ndo pombe ni haram. Tukae tufuatilie wote ni kipindi kipi baa huwa zinakosa wateja je ni kwaresima au Ramadhan?
Wawapeleke za waislam hafu matokeo yakitoka utasikia wakristo wanapendelew
 
Ninachowapenda hawana unafiki kama hawa jamaa wanosema watakuja kunywa mto wa pombe ahera
Huku wanajificha wanagonga mbaya kabisa ukifika kwao wanajifanya hawanywi wanabeba chupa wameandika Olive oil kumbe brand au ukipanda Emirates yao wanakula kinywaji ukifika yakhe haramu hiyo
 
Wakatoliki wanaruhusu unywe lakini usilewe
Na biblia inasema usimpe Jirani yako kileo. Pombe ni dhambi ni sawa na mtu afanye zinaa kisha aseme lakini sijafumaniwa au sijapatwa na ugojwa was zinaa. Biblia ikisema ulevi ni dhambi ni dhambi hakuna cha askofu, nabii, mtume, mtume na nabii, mchungaji, mchungaji Kiongozi, padre, kadinari , Papa, babu wa loliondo au malaika anayeweza kubadilisha hilo. Na walevi hawataingia ktk uzima was milele period.
 
Siyo mtalaam wa graphics but I have a feeling kwamba wataalamu wame temper na hizo picha.Inawezekana kabisa comments na judgments ziko based on wrong premise, if my feelings are correct.Karibuni watu wa graphics kwa professional inputs.
Hata kama mweka picha alikuwa na ajenda hasi, hilo halina madhara yoyote ya kiimani kwa sisi RC. Kama ni haramu huko kwenu. Sisi kama kwa upande wa nguruwe bia na vileo vingine halali sio jambo la kificho. Hizi ni tofauti za kiimani. Wengine kuoa wake wengi ruksa wengine wao ruksa ni mke mmoja tu. Wengine talaka ruksa wengine la. La msingi ni kila mmoja wetu kuheshimu imani ya mwenzake kwa kutokukashifiana. (Awali ya yote haikuhusu).
 
Mtu anaeona pombe ni dhambi hatofautian na anayeona kitimoto haram,wote wako ktk ulimwengu wa kukaririshwa na kutokua na mangamuz ya kutumia akil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom