Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,366
- 4,554
nyumba yako ya vioo unafanya mchezo wa kurushiana mawe![]()
![]()
![]()
Huyo aliyepost hivyo asikufanye utumie uongo, unaweza kunionesha ushahidi wa aya au hadithi inaonesha ulichokituma hapo.
nyumba yako ya vioo unafanya mchezo wa kurushiana mawe![]()
![]()
![]()
It's simple. Ukila chakula lazima uvimbiwe? au hata kushiba? Uongo, umbea, usengenyaji nk hunatokana na kusema au kuzungumza. Kwa hiyo kusema au kuzungumza ni dhambi? Hivyo tusiseme wala kuzungumza? Watenda maasi wawe wamelewa au hawajalewa, ( majambazi, waizi, wauaji, waasherati, wazinzi and what have u) wote wanafanya hivyo kwa sababu wana uhai. Kwa hiyo uhai ni dhambi. Tusiishi!!!Sio mtaalam wa pombe,ila hapo kwenye kunywa harafu usilewe hapo ndipo mashaka yangu yalipo
Ukurasa upi wa kitabu chetu umekataza ngano?Hivi vitabu vya dini wanavyo tufundishia sivinakataza yani hapa ndio dini unaona usanii.
Sio Wakatoliki, sema mtu yeyote muelewa. Mbona saula la kula lkn usifikie kuvimbiwa hamtusingizii?Wakatoliki wanaruhusu unywe lakini usilewe
Mbona hizo shule zao ndio zinafaulisha kuliko hizo zenuMi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.
Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.
Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.
Hatarious.
Sio Wakatoliki, sema mtu yeyote muelewa. Mbona saula la kula lkn usifikie kuvimbiwa hamtusingizii?
Mbona hizo shule zao ndio zinafaulisha kuliko hizo zenu
Padre gani huyo ? na hao masister unawafahamu kwa majina ? au unaona mavaz tu, naweza amua kumvisha dada yoyote ilinitimize malengo yanguMi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.
Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.
Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.
Hatarious.






jaman kiu hicho wenzenu kimewabanaHuyo aliyepost hivyo asikufanye utumie uongo, unaweza kunionesha ushahidi wa aya au hadithi inaonesha ulichokituma hapo.
Acha hizo mkuuUkahaba wa masista au Ushoga wa mapadri hauna maana kuwa Ukatoliki unapigia chapuo mambo ya kipuuzi
Dini inayozalisha ugaidi Je???Dini inayoruhusu pombe ni ya kipagani
Matokeo ya pombe ni nini?Pombe sio mbaya. Matokeo yake sasa. Afadhali sisi tunakunywa hadharani kuliko wale wenzetu wanaokunywa kwa kujificha. UNAFIKI HUO!
Astaghfirullah al-azeemKazi kazi
Should be sick in the mindNimesomeshwa na kanisa Katoliki.
Kuanzia Kidato cha tatu mpaka degree yangu ya pili ya Theology.
Nimelitumikia kanisa Katoliki (Parokia ya Ngokolo Shinyanga kama Shemasi) na (Parokia ya Itigi Singida kama Padri)
Miaka yangu zaidi ya 7 katika utumishi nimeshuhudia mambo ya ajabu kishenz...
Masista nao wanagongwa kama Hodi... Huamini nenda Kipalapala Tabora kaulize nini kilifanya masista nane kufukuzwa kwa kutoa siri za Padri alokua anawa gonganisha kwenye Mgegedo....
Sasa hivi nimehamia dini ya haki.
Kila kitu kipo on Straight line.