Kazi na dawa

Kazi na dawa

Kwa damu isiyo na hatia yaani MTU asiyekua na hatia, kufuru ya waziwazi kwa tawala za kiimani lazima utauwawa.
Nani aliye Safi ambaye atajua huyu anayo/Hana hatia? USIUE, USIUE USIUE USIUE USIUE.... Atakaye ua MUNGU hajamtuma
 
Wananifurahisha, nani ajifiche? Hata bwana Yesu alibariki mvinyo wakati wa harusi ya kanan. Piga mvinyo kistaarabu kwani ni raha baada ya kazi
 
Kiingiacho tumboni na kutoka hakimtii mtu unajisi.
Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho mtu unajisi kama
Matusi, husuda, wivu, usengenyaji, uuwaji, wizi, ugomvi, uzinzi, ulafi, ulevi, ukabaji nk.
Kula bila kunawa hakumtii mtu unajisi.
Kuleni chochote kiuzwacho sokoni.

Waacheni wale mema ya nchi.
 
Kiingiacho tumboni na kutoka hakimtii mtu unajisi.
Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho mtu unajisi kama
Matusi, husuda, wivu, usengenyaji, uuwaji, wizi, ugomvi, uzinzi, ulafi, ulevi, ukabaji nk.
Kula bila kunawa hakumtii mtu unajisi.
Kuleni chochote kiuzwacho sokoni.

Waacheni wale mema ya nchi.
Asante Mtumishi msg sent
 
Asante Mtumishi msg sent
Asante mtumishi.
Hakuna kitu najisi kwa asili yake mtumishi.
Vyote tulivyoletewa mbele yetu ni vyema.
Inapaswa tu tuvitumie kwa kiasi na kwa wakati wake, ili tusile ki-ulafi wala tusinywe ki-ulevi bali kwa utukufu wa Mungu.
Kama itaonekana tunamkwaza mwenye imani ndogo, basi ni bora tusivitumie kabisa na sio kwa ajiri yetu, bali kwa ajiri ya kumwinua mwanafunzi wa Kristo.
Asante mtumishi, umepotea kwenye majukwaa siku hizi, karibu tena.
 
Asante mtumishi.
Hakuna kitu najisi kwa asili yake mtumishi.
Vyote tulivyoletewa mbele yetu ni vyema.
Inapaswa tu tuvitumie kwa kiasi na kwa wakati wake, ili tusile ki-ulafi wala tusinywe ki-ulevi bali kwa utukufu wa Mungu.
Kama itaonekana tunamkwaza mwenye imani ndogo, basi ni bora tusivitumie kabisa na sio kwa ajiri yetu, bali kwa ajiri ya kumwinua mwanafunzi wa Kristo.
Asante mtumishi, umepotea kwenye majukwaa siku hizi, karibu tena.
Wabishi walete ushahidi kama sio kweli kwamba chaumbile Imulungu ni cha kumemena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom