JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,324
- 17,911
Hayo mbona madogo,Nina jamaa yangu,alikuwa anampelekea faya msista,
Akitoka ibadani,anakuja gheto,anavaa kanga moja,anapika,arafu anachakachuliwa kama makinikia,
Kilichoniacha mdomo wazi,ni kwamba kanisa na gheto LA jamaa ni mkabala tu,vimetenganishwa na miti ya mazingira ya kiuzunguni,yaani ukiwa gheto,unaona shughuri zote zinazoendelea church
Akitoka ibadani,anakuja gheto,anavaa kanga moja,anapika,arafu anachakachuliwa kama makinikia,
Kilichoniacha mdomo wazi,ni kwamba kanisa na gheto LA jamaa ni mkabala tu,vimetenganishwa na miti ya mazingira ya kiuzunguni,yaani ukiwa gheto,unaona shughuri zote zinazoendelea church