Katika hali hii ungekuwa wewe ungefanyaje

Katika hali hii ungekuwa wewe ungefanyaje

🤣🤣🤣 yaani hapo ndugu chui anasikia harufu ya hewa chafu tu zinatoka mfululizo..... Kwenye mazingira kama hayo hapo ndio binadamu unajua tofauti na roho nafsi na mwili😂😂😂
Nakazia hoja. Tena ukijua kwamba huyo hajaja hapo kirafiki -anatafuta riziki ya kila siku.
 
Wanyama wana tabia ya kukadiria hatari , na kama hawana njaa hawana sababu ya kushambulia kama hakuna hatari , mda mwingine hata simba humpita swala bila kumshambulia kama ameshiba .

Hivyo ningetulia tu kama mwamba hapo na kuepusha hofu na macho kugongana.
Nanukuu: "Hivyo ningetulia tu kama mwamba hapo na kuepusha hofu na macho kugongana." Lakini huko down "maji tiririka" yakiendelea kumwagika.
 
Back
Top Bottom