Ila hapo angekosea kidogo tu akakutanisha macho hali ingekuwa tofautiWanyama wana tabia ya kukadiria hatari , na kama hawana njaa hawana sababu ya kushambulia kama hakuna hatari , mda mwingine hata simba humpita swala bila kumshambulia kama ameshiba .
Hivyo ningetulia tu kama mwamba hapo na kuepusha hofu na macho kugongana.
Camera man alijuajeHapana labda kama huzijui vema features za akili mnemba! Hii ni halisi
Upumbavu wa kiwango cha juu kabisa!Wengine ni wachawi achana na ivo vitu uyo jamaa waweza kuta ana madawa yake hapo ss ww jichanganye mm nishashuhudia wasukuma wanasafirisha kundi la ng'ombe kama mia 8 ivi wanapita hifadhini usiku tena kuna simba na chui wa kutosha ila wanatoboa hakuna ng'ombe anaeliwa wala mtu anaekufa na wanafika salama so ivo vitu vingine sio vya kujaribu ka uko empty