Miguel255
Member
- May 13, 2020
- 35
- 113
Leo nimetimiza siku 54 bila kupiga punyeto naamini hii ndo itakuwa safari yangu ya mwisho katika kutimiza lile nililokuwa napigania muda mrefu. Nimeanza hii shughuli 2012 nikiwa bado nasoma, ilifika mahali kwa siku napiga hata mara 3 mpaka 5.
Kila nikisema niache nitakaa wiki baada ya hapo narudia. Ukawa ndo mchezo wangu mpaka nimekuwa mtu mzima sasa, sio kwamba sikuwa napata madem yaan madem ninao na nyeto nikawa napiga.
Hii shughuli imenidhalilisha, imenipotezea muda na nguvu. Unajua hakuna starehe mbaya kama starehe ya bei rahisi. Huitaji gharama kubwa kupiga nyeto ni wewe na privacy tu utelezi ukikosa sabuni hata mate kazi inaendelea.
Kama wewe ni kijana unasoma huu ujumbe na hujawahi kufanya huu mchezo nakusihi usijaribu. Mimi kufikia kutimiza siku zote hizi namshukuru sana Mungu kwani nayaona mabadiliko katika mwili wangu.
Siendeshwi na hisia tena, naweza kushinda ndani peke yangu na nisiguse. Naweza kusoma chombezo au hata kuangalia porno ya lisaa na nisipige nyeto. Yote haya sikuwa naweza hapo kabla. Ilifika mahali naweza stuka usiku kwenda kukojoa kitendo cha kufika chooni tu nastua kimoja.
Hii ni hatari sana, nyeto ina maliza sana nguvu. Sijui kama wapiga nyeto mme'notice ila mara nyingi kama si zote ukimaliza kupiga tu azima utasikia usingizi na kama upo sehemu nzuri basi utalala. Kuna muda kama nilikiwa sipati usingizi basi nakula nyeto sekunde tu nalala.
Nyeto ndo ikawa kama sleeping pill yangu, nilikuwa naelekea pabaya sana. Nimewahi piga mpaka msibani... yaani tumetoka kuzika tu nikaenda chooni sio kukojoa ila intentionally kula nyeto. Kuna kipindi fulani nilikuwa nauza duka, muda wa mchana wateja huwa wakuhesabu basi najificha nyuma ya friji nakula nyeto humo humo dukani
Nyeto si nzuri vijana acheni, nimewahi dhalilika mbele ya pisi. Pisi kali sana ya kihindi mixer mbongo baada ya kuifukizia kwa muda mrefu akaamua kunibariki tunda ila askari kichwa akagoma. Sitosahau ile siku alafu baada ya yeye kuondoka mzigo ukasimama freshi na nikala bao mbili kwa hasira
Yapo mengi mabaya yaliyonikuta kupitia hii kitu japo sikuwa napenda kufanya ila nimepata changamoto sana kuacha. Namshukuru sana Mungu.
Kama mimi nimeweza wewe pia unaweza. Fanya maamuzi
Kila nikisema niache nitakaa wiki baada ya hapo narudia. Ukawa ndo mchezo wangu mpaka nimekuwa mtu mzima sasa, sio kwamba sikuwa napata madem yaan madem ninao na nyeto nikawa napiga.
Hii shughuli imenidhalilisha, imenipotezea muda na nguvu. Unajua hakuna starehe mbaya kama starehe ya bei rahisi. Huitaji gharama kubwa kupiga nyeto ni wewe na privacy tu utelezi ukikosa sabuni hata mate kazi inaendelea.
Kama wewe ni kijana unasoma huu ujumbe na hujawahi kufanya huu mchezo nakusihi usijaribu. Mimi kufikia kutimiza siku zote hizi namshukuru sana Mungu kwani nayaona mabadiliko katika mwili wangu.
Siendeshwi na hisia tena, naweza kushinda ndani peke yangu na nisiguse. Naweza kusoma chombezo au hata kuangalia porno ya lisaa na nisipige nyeto. Yote haya sikuwa naweza hapo kabla. Ilifika mahali naweza stuka usiku kwenda kukojoa kitendo cha kufika chooni tu nastua kimoja.
Hii ni hatari sana, nyeto ina maliza sana nguvu. Sijui kama wapiga nyeto mme'notice ila mara nyingi kama si zote ukimaliza kupiga tu azima utasikia usingizi na kama upo sehemu nzuri basi utalala. Kuna muda kama nilikiwa sipati usingizi basi nakula nyeto sekunde tu nalala.
Nyeto ndo ikawa kama sleeping pill yangu, nilikuwa naelekea pabaya sana. Nimewahi piga mpaka msibani... yaani tumetoka kuzika tu nikaenda chooni sio kukojoa ila intentionally kula nyeto. Kuna kipindi fulani nilikuwa nauza duka, muda wa mchana wateja huwa wakuhesabu basi najificha nyuma ya friji nakula nyeto humo humo dukani
Nyeto si nzuri vijana acheni, nimewahi dhalilika mbele ya pisi. Pisi kali sana ya kihindi mixer mbongo baada ya kuifukizia kwa muda mrefu akaamua kunibariki tunda ila askari kichwa akagoma. Sitosahau ile siku alafu baada ya yeye kuondoka mzigo ukasimama freshi na nikala bao mbili kwa hasira
Yapo mengi mabaya yaliyonikuta kupitia hii kitu japo sikuwa napenda kufanya ila nimepata changamoto sana kuacha. Namshukuru sana Mungu.
Kama mimi nimeweza wewe pia unaweza. Fanya maamuzi