Alafu eti mdude anakomaa akiamini anamsagia jamaa kunguni.Anaiba mafutaa? Tunaibiwa madini ya mabilioni achana na tumafuta kwenyegari
Mtu anapinga ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha wewe unaleta maneno ya kanga mojaMkuu mdude, nakushauri kama una bifu na mtu, uungwana ni kumtafuta mkayamaliza!
Mbona unaonekana ni mwanaume halafu unaleta majungu ya kike humu, no wonder watu hawakuelewi!!
Wewe Mdude na Luka Mwashambwa, mnauangusha mkoa wa Mbeya na watu wake.
Wanaume wanaotoka Mbeya ni watu wa imara na wenye msimamo, nyie vipi???
Tunzeni heshima yenu binafsi, Tunzeni heshima ya kwenu, Tunzeni heshima ya watu wenu!
Kuvaa Sketi za kike hamziwezi, waachieni wanawake wenyewe wavae!
Kaza buti, usiwaruhusu hawa wanafunzi wa Cyprian Musiba kukuzodoa.Haya tuma salamu kwa watu watatu
Biblia inasisitiza USIIBE kwa maana ya kwamba usiibe chochote.Wachabana! nikikuibia kuku
Biblia hiyo hiyo inasisitiza kutotamani mke wa jirani yako kwa maana ya kwamba usizini.mwingine akakuibia mke wako yoote nisawa eeh!!
halafu wakati unapigiwa story na jamaa mwenye bifu na huyu muungwana wa halmashauri, kuna mambo umesahau kuyaweka humu kwenye hii script ili ilete hisia kali 🐒Taarifa za awali nilizozipata ni kwamba katibu tawala DAS wa Mbongwe ambaye jana niliweka sauti yake hapa akiiba mafuta ya serikali hawezi kuchukuliwa hatua kwa sababu yuko karibu na familia ya Kikwete.
Inadaiwa baada ya DAS huyo aitwayo Jacob Rombo alipomaliza masomo yale familia hiyo ilimuweka kwanza kwenye shirika la mke wa kikwete wakati anasubiri mkeka wa u-DAS. Bw. Jacob alikuwa akitamba Bar na kwa marafiki wake kwamba muda wowote atakuwa ni katibu tawala wilaya yoyote hapa nchini. Bw. Jacob Rombo hakufanyiwa vetting yoyote isipokuwa alichomekwa tu na familia hiyo ya JK .
Inadaiwa baada ya sauti yake akiiba mafuta ya serikali kuvuja aliwasiliana na member wa familia hiyo kumjulisha kama anaweza kunusurika kuliwa kichwa. Member wa familia hiyo alimuhakikishia kwamba asiwe na wasiwasi kwani hawezi kuadhibiwa kwa kuiba mafuta ya laki 2 kila siku wakati kuna watumishi wanaiba mabilioni.
Naendelea kufiatilia jambo hili kwa ukaribu na kila nitakachopa nita-share na nyie hapa.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kusikilikiza sauti ya DAS huyo akiiba mafuta unaweza kufuata link hii hapa chino 👇
View attachment 2942271Nimenasa sauti ya Katibu Tawala (DAS) Wilaya ya Mbogwe, Ndg. Jacob Rombo akiiba mafuta ya Serikali
Ndugu watanzania wenzangu wavuja jasho wa nchi hii, hiyo sauti mnayoisikia ni ya katibu tawala DAS wilaya ya Mbongwe mkoani Geita akiiba mafuta ya serikali kwenye moja ya vituo vya mafuta vilivyopo wilayani hapo. Tukio hili limetokea January 2024 katika kituo cha mafuta kiitwacho Minzingo...www.jamiiforums.com
Kijana unajiamini sana. Hongera kwa mapambano dhidi ya hii serikali iliyooza kwa ufisadi na upigaji.Taarifa za awali nilizozipata ni kwamba katibu tawala DAS wa Mbongwe ambaye jana niliweka sauti yake hapa akiiba mafuta ya serikali hawezi kuchukuliwa hatua kwa sababu yuko karibu na familia ya Kikwete.
Inadaiwa baada ya DAS huyo aitwayo Jacob Rombo alipomaliza masomo yale familia hiyo ilimuweka kwanza kwenye shirika la mke wa kikwete wakati anasubiri mkeka wa u-DAS. Bw. Jacob alikuwa akitamba Bar na kwa marafiki wake kwamba muda wowote atakuwa ni katibu tawala wilaya yoyote hapa nchini. Bw. Jacob Rombo hakufanyiwa vetting yoyote isipokuwa alichomekwa tu na familia hiyo ya JK .
Inadaiwa baada ya sauti yake akiiba mafuta ya serikali kuvuja aliwasiliana na member wa familia hiyo kumjulisha kama anaweza kunusurika kuliwa kichwa. Member wa familia hiyo alimuhakikishia kwamba asiwe na wasiwasi kwani hawezi kuadhibiwa kwa kuiba mafuta ya laki 2 kila siku wakati kuna watumishi wanaiba mabilioni.
Naendelea kufiatilia jambo hili kwa ukaribu na kila nitakachopa nita-share na nyie hapa.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kusikilikiza sauti ya DAS huyo akiiba mafuta unaweza kufuata link hii hapa chino 👇
View attachment 2942271Nimenasa sauti ya Katibu Tawala (DAS) Wilaya ya Mbogwe, Ndg. Jacob Rombo akiiba mafuta ya Serikali
Ndugu watanzania wenzangu wavuja jasho wa nchi hii, hiyo sauti mnayoisikia ni ya katibu tawala DAS wilaya ya Mbongwe mkoani Geita akiiba mafuta ya serikali kwenye moja ya vituo vya mafuta vilivyopo wilayani hapo. Tukio hili limetokea January 2024 katika kituo cha mafuta kiitwacho Minzingo...www.jamiiforums.com
Hivi vizee corona iliviachaje kuendelea kuleta usumbufu?Kikwete kumbuka yuko kwenye kamati ya Wazee wa CCM wa kusafisha wenye tuhuma za reoort ya CAG, kikwete na Pinda ndio viongozi wa kamati hio ya kuwaombea watuhumiwa msamaha kwa Raisi.