Katibu Mkuu TAMISEMI, kwanini unanyanyasa watumishi wa umma kwa kuwanyima uhamisho wao halali?

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,157
Siku za karibuni Rais alifanya mabadiliko madogo kwa makatibu wakuu ambapo ndg. Adolf Ndunguru alipelekwa Ofisi ya Rais- TAMISEMI.

Huyu bwana tangia aingie katika ile ofisi alikuta tayari kuna watumishi walishapata uhamisho hasa wale wa kubalishana vituo vya kazi. Jambo la ajabu amezuia uhamisho husika kwasababu anazojua yeye.

Mtu anapoomba uhamisho ana sababu za msingi, na hasa kama ametimiza masharti na vigezo vilivyowekwa na serikali kwanini atokee mtu moja kwa maslahi yake na kwa jeuri tu kisa ana madaraka anaamua kuzuia pasipo sababu zozote?

Hii ni roho mbaya ya kikatili, ni matumizi mabaya ya madaraka uliyokasimiwa na mheshimiwa rais. Anapata faida gani kuzuia huo uhamisho. Hivi serikali haifanyi vetting ya kutosha kabla ya kuwapa hawa watu madaraka makubwa yanayoumiza maisha ya watu?

Ndg. Adolf Ndunguru katoe hayo majina maisha ya watu yaendelee kwa furaha na amani, iache hiyo kiburi na jeuri huo ni utumishi wa umma na ni wa muda tu.
 
Acha kuandika ujinga. Nenda ofisi za tamisemi Katoe malalamiko yako, kuandika humu haikusaidii kitu zaidi unaendelea kuwa mjinga na fala
Ukiona kazi ngumu acha.
Mimi naona wewe ndo mjinga,jf imekuwa msaada mkubwa sana katika kuchochea uwajibikaji wa viongozi,mambo mengi yanapigiwa kelele humu serikali huchukua hatua.

Kama wewe ndo Adolf tambua kuwa wewe sio katibu mkuu wa kwanza wa tamisemi,walikuwepo na watakuwepo,usijifanye wewe mungu mtu ,ipo siku utaiacha hiyo ofisi ,utaacha jambo gani la watu kukukumbuka au ubabe ndo itakuwa legacy yako!?

Niliwahi kuachiwa nafasi ya kukaimu sehemu moja miaka ya nyuma,mpaka Leo wananchi hawanisahau kwa namba ya uongozi niliyowaonesha,alipoletwa mhusika wa nafasi hio wananchi walilalamika sana,mbaya zaidi jamaa aliyeletwa alikuwa mbambe sana,

Unapotawala tenda haki na mbinguni zitafunguka,maninguniko ya watu yana nguvu kubwa sana
 
Acha kuandika ujinga. Nenda ofisi za tamisemi Katoe malalamiko yako, kuandika humu haikusaidii kitu zaidi unaendelea kuwa mjinga na fala
Ukiona kazi ngumu acha.
Mpe uhamisho wake ni haki yake ofisi zinapita nyie wanoko huwa mnapigika sana mtaani baada ya ofisi kuisha
 
Mimi naona wewe ndo mjinga,jf imekuwa msaada mkubwa sana katika kuchochea uwajibikaji wa viongozi,mambo mengi yanapigiwa kelele humu serikali huchukua hatua.

Kama wewe ndo Adolf tambua kuwa wewe sio katibu mkuu wa kwanza wa tamisemi,walikuwepo na watakuwepo,usijifanye wewe mungu mtu ,ipo siku utaiacha hiyo ofisi ,utaacha jambo gani la watu kukukumbuka au ubabe ndo itakuwa legacy yako!?

Niliwahi kuachiwa nafasi ya kukaimu sehemu moja miaka ya nyuma,mpaka Leo wananchi hawanisahau kwa namba ya uongozi niliyowaonesha,alipoletwa mhusika wa nafasi hio wananchi walilalamika sana,mbaya zaidi jamaa aliyeletwa alikuwa mbambe sana,

Unapotawala tenda haki na mbinguni zitafunguka,maninguniko ya watu yana nguvu kubwa sana
Huwa hayajui maisha uendelea hata baada ya kustaafu,uliowafanyia ubaya Leo kesho ndio mabosi wako kwenye hatma ya maisha yako kesho baada ya kustaafu
 
Uhamisho wa kubadilishana hauleti gharama Kwa serikali. Hivyo hakuna Sababu za kuuzuia.
Katibu mkuu kama wewe ndiyo unazuia Toka nje utupe sababu
 
Siku za karibuni Rais alifanya mabadiliko madogo kwa makatibu wakuu ambapo ndg. Adolf Ndunguru alipelekwa Ofisi ya Rais- TAMISEMI.

Huyu bwana tangia aingie katika ile ofisi alikuta tayari kuna watumishi walishapata uhamisho hasa wale wa kubalishana vituo vya kazi. Jambo la ajabu amezuia uhamisho husika kwasababu anazojua yeye.

Mtu anapoomba uhamisho ana sababu za msingi, na hasa kama ametimiza masharti na vigezo vilivyowekwa na serikali kwanini atokee mtu moja kwa maslahi yake na kwa jeuri tu kisa ana madaraka anaamua kuzuia pasipo sababu zozote?

Hii ni roho mbaya ya kikatili, ni matumizi mabaya ya madaraka uliyokasimiwa na mheshimiwa rais. Anapata faida gani kuzuia huo uhamisho. Hivi serikali haifanyi vetting ya kutosha kabla ya kuwapa hawa watu madaraka makubwa yanayoumiza maisha ya watu?

Ndg. Adolf Ndunguru katoe hayo majina maisha ya watu yaendelee kwa furaha na amani, iache hiyo kiburi na jeuri huo ni utumishi wa umma na ni wa muda tu.
Uhamisho ni marufuku,kama unataka kuhama ni Mjini to Kijijini not other wise.
 
Back
Top Bottom