TAMISEMI: Hatutapokea barua ya maombi ya uhamisho, watumishi waombe kwa njia ya Mtandao

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
photo_2023-09-16_09-55-55.jpg
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuna changamoto ya Watumishi wanaoomba kuhama kushindwa kutekelezewa maombi yao pamoja na kutengenezewa mazingira ya rushwa, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imesema imebainika kuwa wanaopewa fedha siyo Watumishi isipokuwa ni watu wengine wenye nia ovu katika mchakato huo.

Majibu ya TAMISEMI yameeleza kwa sasa barua zote zilizopitishwa na Wakurugenzi wa Halmashauri na kupokelewa Ofisi ya Rais TAMISEMI kutoka kwa Makatibu Tawala wa Mikoa zimeshasainiwa na zaidi ya nusu zimeshaenda Mikoani, zilizosalia pia wanazikamilisha.

Taarifa hiyo imeeleza “Kuanzia maombi ya Septemba 1 yatafanywa kupitia Mfumo wa Kielektroniki na TAMISEMI hatutakuwa tunapokea barua bali mhusika atafanya maombi yake kwenye Mfumo kwa njia ya mtandao.”

Pia soma: TAMISEMI tufahamisheni, lazima Mtumishi alipie fedha ili apate uhamisho?
 
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuna changamoto ya Watumishi wanaoomba kuhama kushindwa kutekelezewa maombi yao pamoja na kutengenezewa mazingira ya rushwa, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imesema imebainika kuwa wanaopewa fedha siyo Watumishi isipokuwa ni watu wengine wenye nia ovu katika mchakato huo.

Majibu ya TAMISEMI yameeleza kwa sasa barua zote zilizopitishwa na Wakurugenzi wa Halmashauri na kupokelewa Ofisi ya Rais TAMISEMI kutoka kwa Makatibu Tawala wa Mikoa zimeshasainiwa na zaidi ya nusu zimeshaenda Mikoani, zilizosalia pia wanazikamilisha.

Taarifa hiyo imeeleza “Kuanzia maombi ya Septemba 1 yatafanywa kupitia Mfumo wa Kielektroniki na TAMISEMI hatutakuwa tunapokea barua bali mhusika atafanya maombi yake kwenye Mfumo kwa njia ya mtandao.”

Pia soma: TAMISEMI tufahamisheni, lazima Mtumishi alipie fedha ili apate uhamisho?
 
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuna changamoto ya Watumishi wanaoomba kuhama kushindwa kutekelezewa maombi yao pamoja na kutengenezewa mazingira ya rushwa, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imesema imebainika kuwa wanaopewa fedha siyo Watumishi isipokuwa ni watu wengine wenye nia ovu katika mchakato huo.

Majibu ya TAMISEMI yameeleza kwa sasa barua zote zilizopitishwa na Wakurugenzi wa Halmashauri na kupokelewa Ofisi ya Rais TAMISEMI kutoka kwa Makatibu Tawala wa Mikoa zimeshasainiwa na zaidi ya nusu zimeshaenda Mikoani, zilizosalia pia wanazikamilisha.

Taarifa hiyo imeeleza “Kuanzia maombi ya Septemba 1 yatafanywa kupitia Mfumo wa Kielektroniki na TAMISEMI hatutakuwa tunapokea barua bali mhusika atafanya maombi yake kwenye Mfumo kwa njia ya mtandao.”

Pia soma: TAMISEMI tufahamisheni, lazima Mtumishi alipie fedha ili apate uhamisho?
Vp kwawale ambao barua zao zilikuwa Kwa katibu tawala mkoa kabla ya tarehe 1/9/2023 nao wanaanza upya Kwa kutumia mfumo?
 
Sisi barua zetu ziko kule tangu mwezi june bado mnasainigi hizo barua?acheni kujisafisha uongo mengi yaliyosemwa ni ukweli,
 
Back
Top Bottom