KATIBA MPYA: Umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30

Kwa hiyo busara sasa zimehamia kwa watoto chini ya miaka 30, wazee 45+ busara zinashuka kwa kasi ya 5G..........au mimi ndo sijaelewa bandugu.
 
Naunga mkono hoja with Great Pleasure.

Hivi raisi wa Ufaransa ameingia madarakani akiwa na miaka mingapi.

2035. Nikachukue Fomu ya Urais.
 
Habari Tanzania!

Kwakuwa taifa tunakwenda kutengeneza mifumo mizuri na sio watu au chama imara katika nchi. Nashawishika kwa kutoa wazo la umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30 na kuendelea kwasababu zifuatazo;

1. Vijana ni wengi sana kuliko idadi kundi rika lolote Tanzania kwa umri tajwa.

2. Wazee kuanzia umri 45+ wapumzishwe wabaki kuwa washauri kwenye mambo yanayohitaji busara tu.

3. Uchama na Umaarufu hautakuwa maana; maana tutaangalia uwezo, ubora, namna unavyolifahamu taifa na mambo ya zingatio.

4. Umri ni kiashiria kizuri cha uwezo, juhudi, maarifa na uwezo wa kuishi kwa haki.

NB

Wazee mkalime na kulea wajukuu . Urais sio sehemu ya kupumzika au kujiegesha baaada ya kulitumikia Taifa.
hii sio sawa,
 
Mimi napendekeza hata awe na miaka 21. Mbona waombea ubunge wanatakiwa kuwa na umri wa miaka 21?

Inadaiwa waliweka 40 kwa madai kwamba mtu anakuwa na hekima na busara kwenye maamuzi ktk umri huo. Sasa niwaulize Magufuli aliyekuwa na miaka 60 alikiwa hekima na busara?

Kwa taarifa yenu hekima na busara hazitegemei umri. It si an inborn character.

Tusinyimqne fursa kwasabb ya umri. John Mnyika ana busara mara 200 ya Magufuli
Kuwa na PHD sio uwezo wa kufikiri au kuongoza,uongozi ni malezi bora
 
Habari Tanzania!

Kwakuwa taifa tunakwenda kutengeneza mifumo mizuri na sio watu au chama imara katika nchi. Nashawishika kwa kutoa wazo la umri wa Rais uwe kuanzia miaka 30 na kuendelea kwasababu zifuatazo;

1. Vijana ni wengi sana kuliko idadi kundi rika lolote Tanzania kwa umri tajwa.

2. Wazee kuanzia umri 45+ wapumzishwe wabaki kuwa washauri kwenye mambo yanayohitaji busara tu.

3. Uchama na Umaarufu hautakuwa maana; maana tutaangalia uwezo, ubora, namna unavyolifahamu taifa na mambo ya zingatio.

4. Umri ni kiashiria kizuri cha uwezo, juhudi, maarifa na uwezo wa kuishi kwa haki.

NB

Wazee mkalime na kulea wajukuu . Urais sio sehemu ya kupumzika au kujiegesha baaada ya kulitumikia Taifa.
Sio kwa vijana Hawa wa sasa, CCM wamejaa wa hovyo CHADEMA wamejaa wa hovyo mtaani ndio wapo kwenye mitandao kutukana tu.

No aisee.
 
Kwa hiyo busara sasa zimehamia kwa watoto chini ya miaka 30, wazee 45+ busara zinashuka kwa kasi ya 5G..........au mimi ndo sijaelewa bandugu.
Unajua unapoweka utaratibu unapaswa uupime kwa muda, aina na uwezo uutakao.

Tanzania tunahitaji akili safi isio na mambo mengi; yenye nguvu na uharaka kwa kukabiliana na maendeleo tuyatakayo.

Kiukweli Death Rate ya huo Umri wa Rais ni Mkubwa na pia inachochea hasara kwa taifa kwa kutuchukua muda mrefu.

Sasa Umri 45+ hautakiwi kabisa. Yaani haufai kabisa.
 
Ndio upambanie sasa KATIBA MPYA kitengo cha Umri wa Rais.

Hatutaki mzaha na Taifa letu kabisa. Hii nchi inawahitaji wazee sio kwa sana kama zaidi ya vijana.
Kama ni hivyo basi JF mtegemee Rais mwaka wa uchaguzi 2025
 
Sio kwa vijana Hawa wa sasa, CCM wamejaa wa hovyo CHADEMA wamejaa wa hovyo mtaani ndio wapo kwenye mitandao kutukana tu.

No aisee.

Vijana waaminifu wapo, wachapa kazi na wasio na mawaa. Tatizo taifa hili wajinga wachache wameaminisha viongozi bora eti lazima watoke taasisi moja ambayo ni vyama vya siasa. Jiulize kuna taasisi ngapi zenye watu waungwana na welevu.

Juzi Rais kateua vijana ni jambo zuri na sawa; Ila wale vijana wote ni wanasiasa (wanatokea taasisi moja tu ambayo ni vyama vya siasa) hakuna hata mmoja anayetokea makundi maanani hata mmoja, yaani hakuna. Sasa hapo unahisi unapunguza tatizo au unachochea tatizo katika Utawala mzuri?

Tunataka Rais Kijana na KATIBA MPYA full stop.
 
Back
Top Bottom