Kama itapendeza uchaguzi usogezwe mbele na Rais apewe muda ili tupate Katiba Mpya

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
380
763
Kama itapendeza Chaguzi zote zisogezwe mbele kwa muda wa miaka miwili na Rais aendelee kutawala na kumpa muda wa kuandikwa kwa Katiba Mpya ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Mambo yote yanayobishaniwa mfano Rais kumchagua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Rais kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi, watumishi wa Serikali kusimamia uchaguzi mambo haya yarekebishwe na tukirudi kwenye uchaguzi mambo yote yatakuwa yamerekebika.

Nawasilisha.
 
Haiwezekani, subiri 2030
Uchaguzi si lazima ufanyike kama mambo ya msingi hayajafanyika.
Wanaolazimisha uchaguzi ufanyike ni wezi wa kura na mafisadi wanaotaka kujineemesha kupitia chaguzi Haram.
 
Kama itapendeza Chaguzi zote zisogezwe mbele kwa muda wa miaka miwili na Rais aendelee kutawala na kumpa muda wa kuandikwa kwa Katiba Mpya ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Mambo yote yanayobishaniwa mfano Rais kumchagua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Rais kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi, watumishi wa Serikali kusimamia uchaguzi mambo haya yarekebishwe na tukirudi kwenye uchaguzi mambo yote yatakuwa yamerekebika.

Nawasilisha.
Naunga mkono hoja, ili hili lifanyike, lazima katiba ifanyiwe minimum reforms kuruhusu hili.

Sasa kama katiba inaweza kufanyiwa minimum reforms, Kwanini tusifanye minimum reforms tukafanya uchaguzi Mkuu huru na wa haki kisha tukatengeneza katiba taratibu?.
P
 
Magufuli alitawala Awamu yake ya pili Kwa miezi SITA tu na kufariki.

Aliyepo atatawala jumla ya miaka 4 na miezi SITA. Muda huo unatosha kabisa.

Hataongezewa muda, akabidhi, na kupumzika, tukamilishe Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi chini ya vyombo husika, ndipo tuingie uchaguzi mkuu.
 
Naunga mkono hoja, ili hili lifanyike, lazima katiba ifanyiwe minimum reforms kuruhusu hili.

Sasa kama katiba inaweza kufanyiwa minimum reforms, Kwanini tusifanye minimum reforms tukafanya uchaguzi Mkuu huru na wa haki kisha tukatengeneza katiba taratibu?.
P
Kwani uchaguzi una haraka Gani?

Tangu 1977 CCM hawajawahi kupata muda wa kutosha.

Wakabidhi Nchi Kwa vyombo husika, visimamie KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi Kisha tuingie katika uchaguzi Ulio huru na HAKI.
 
Kama itapendeza Chaguzi zote zisogezwe mbele kwa muda wa miaka miwili na Rais aendelee kutawala na kumpa muda wa kuandikwa kwa Katiba Mpya ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Mambo yote yanayobishaniwa mfano Rais kumchagua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Rais kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi, watumishi wa Serikali kusimamia uchaguzi mambo haya yarekebishwe na tukirudi kwenye uchaguzi mambo yote yatakuwa yamerekebika.

Nawasilisha.
Uchoko huo🚮🤕
 
Kama itapendeza Chaguzi zote zisogezwe mbele kwa muda wa miaka miwili na Rais aendelee kutawala na kumpa muda wa kuandikwa kwa Katiba Mpya ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Mambo yote yanayobishaniwa mfano Rais kumchagua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Rais kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi, watumishi wa Serikali kusimamia uchaguzi mambo haya yarekebishwe na tukirudi kwenye uchaguzi mambo yote yatakuwa yamerekebika.

Nawasilisha.
Naunga mkono hoja 💯 kama kutakuwa na nia ya dhati kabisa !!
Ili tuondokane na haya mazonge ya miaka nenda rudi !
 
Yeyote anayetaka kuongeza muda wa rais kukaa madarakani auwawe. Asichekewe hata kidogo.

Tusijaribu kuruhusu uhuni wa aina hii.

CDF na DGIS tumeni vijana wazalendo kumsaka mleta mada.
 
Unamaanisha nchi inajiendea pasi na mipsngo? Yaani muda wote tokea 2020 baada ya uchaguzi ndiyo Leo unaona tatizo? Nchi kama nchi (wahusikao na uchaguzi) hawakufanya tathmini baada ya uchaguzi? Au tathmini ndiyo imekamilika sasa na kuonekana kuna upungufu wa tume huru ya uchaguzi? Kama Hilo lilibainika baada ya uchaguzi, kwa Nini Leo ndiyo lichukuliwe hatua?

Wazo lako halina afya, Lina chembe zote za uvivu.
 
Mnaanzaga hivi mkitaka kuanzisha upumbavu wenu.

Huyu ilipaswa apunguziwe muda kabisa akapumzishwe.
 
Yeyote anayetaka kuongeza muda wa rais kukaa madarakani auwawe. Asichekewe hata kidogo.

Tusijaribu kuruhusu uhuni wa aina hii.

CDF na DGIS tumeni vijana wazalendo kumsaka mleta mada.
Hujaelewa HOJA yake,

Anamaanisha, Si vyema kuingia uchaguzi mkuu bila Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya.

Pendekezo lake la kumuongezea muda aliyepo ndilo Si zuri.

Inawezekana, muda wa aliyepo ukiisha, akabidhi Kwa vyombo husika Ili tukamilishe Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi Kisha tuingie uchaguzi.

Kuuana Si solution, hata HOJA Yako uliyotoa, wapo watakaosema unastahili uuliwe, hii Si sawa.
 
Ccm ilikufa na Mwl Nyerere ,ya sasa inamalizika kwa kifo cha hovyo ndo maana hata wanachama wake wapo wapo tu bendera fuata upepo, fikra zimedumaa
Walijifanya wajanja wakawadharau wahenga wenye IQ kubwa !
Hawakujua wapo watu ni magenius ! 😅😅🙏🙏
 
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI hebu mpe info kijana.
👉Hajui tuna subiri mission iwe executed
Kijana haelewi kuwa ccm chama changu kimeshaikosea Dola na maelekezo tuliyopewa!!

Hapa hakuna uchaguzi na uchaguzi ukitokea tu bas waliochaguliwa hawatakua halali na Dola itashika hatam!!

Hapa tunasubiri TU Yale mambo kabla ya uchaguzi mpya!!
 
Back
Top Bottom