Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
Lete sheria hapa acha upoyoyo
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.

Kwa hiyo bafu la Bunge ni Bungeni mkuu??
 
Kama ni hivyo mbona hawajawahi kwenda kuendesha vikao vya bunge bafuni au nje ya ukumbi wakafanya kikao getini pale?? Kwanini wanaingia ndani wakati nje pia kuna nafasi wanaweza weka turubai tu wakafanya vikao vyao.
Sema ukishakua mataga kuna akili pia unapoteza kidogo kwahiyo haishangazi.
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
Kuna tofauti kati ya Ukumbi wa bunge(majengo ya bunge) na bunge. Ni vitu viwili tofauti kabisa.
Bunge ni kikao rasmi cha wawakilishi wa wananchi kinachokaa kikatiba kikiwa na wabunge na spika.

Katiba inasema wabunge wapya wataapa kwenye bunge na sio kwenye majengo ya bunge, garage ya bunge, baraza la bunge, vyoo vya bunge nk.
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
Umehamia lini Chadema comrade?
 
Ila wanasiasa wqnatuchezea saana... yaani kaissue kadogo kama haka mnazunguka mbuyu...

Sio bure hatuendelei... Mdee tumepata baraka za chama.

NEC tumepokea majina kutoka CDM.

CDM hatujawapa NEC majina yoyote.

kuna umbali gani kutoka Mbowe alipo hadi ofisi za NEC!..nenda uliza nani kawapa majina na fanyia press hapo....Nipo NEC na hatujawapa majina.

NEC waseme nani kawapa majina.....

CDM fungua kesi....aliyehand majina ashikiliwe.....

Ila yote haya hayawezi fanyika maana wengi mnachotaka sio maendeleo ya watu....ni mivutano na ubinafsi uliowajaa.
 
Ivi mbowe ni mwanasheria? Naona ametiririka vizuri sana kwenye vile vifungu bila tabu, hotuba yake nzuri sana world class. Akiongea unapata hisia kweli kiongozi wa juu anaongea muda huu

Shida na mateso umpa mwanadamu uzoefu wa kupambana
 
Uelewa wa wanachadema wengi mdogo
Kuapa unatakiwa kuapa mbele ya afisa mwapishaji kwenye eneo husika.Wabunge sio maafisa waapishaji ,Spika ndie afisa mwapishaji kwa hiyo huwezi sema ohh walitakiwa kuapa mbele ya wabunge wenzao kwani hao wabunge wenzao ni maafisa viapo?


Mwapishaji Spika yuko huru kuapisha popote ili mradi ni bungeni kama ilivyo kwa hakimu aweza kuapisha popote sio tu ndani ya chumba cha mahakama aweza kukuapisha hata ofisini kwake mradi ni kwenye eneo la mahakama kama akiona inafaa
Wapinzani si wanatuchelewesha?? Wa nini sasa.
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.


Wewe angu umepata akili umewahi kuona mbunge anaapishwa kwa staili hiyo?????
 
bunge sio majengo wala watu
Bunge ni wabunge
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
 
Daah nimecheka hapo kwenye bafu, mawazo yangu yamejikuta yamefika mbali sana
Haa 😁😂😅😅
Umefika Mbali Sana Kwa Professor Juma Athuman Kapuya
Na Dkt Pius G'wandu
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Screenshot_20201128-092826.png Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
Screenshot_20201128-092826.png

Screenshot_20201128-092826.png
soma kifungu namba 68 ukielewe vizuri
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
Katiba inasema National Assembly kwa maana ya kikao na kiswahili chake ni mbele ya bunge kwa maana kikao na siyo jengo. Tukisema rais anahutubia bunge tuna maana ya kikao "wabunge" likiwa na siwa yake na siyo jengo
 
Tukumbuke kuwa serikali za jumuia ya EU hazitambui matokeo ya uchaguzi wa 2020.

Hatuna maelezo ya pesa zilizotolewa kupigana na COVID-19.

Serikali imefunguliwa kesi ICC.
KWANI EU NDIO WAMEPIGA KURA WATANZANIA WASINGEUTAMBUA UCHAGUZI NDIIO INGEKUWA SHIDA
WATANZANIA RAIS WETU TUNAMCHAGUA WENYEWE HATUCHAGULIWI NA EU, KWA HIYO WATAMBUE WASITAMBUE MATAKEO SISI HAITUHUSU...SISI NI NCHI HURU YENYE MAAMUZI YAKE...TUNAJUA CHADEMA AKILI ZENU ZISHADUMA
 
Kama ni hivyo mbona hawajawahi kwenda kuendesha vikao vya bunge bafuni au nje ya ukumbi wakafanya kikao getini pale?? Kwanini wanaingia ndani wakati nje pia kuna nafasi wanaweza weka turubai tu wakafanya vikao vyao.
Sema ukishakua mataga kuna akili pia unapoteza kidogo kwahiyo haishangazi.
Kama neno bunge kwenye katiba inamaana ya majengo tungetegemea rais alipoenda kulivunja bunge angevunjilia mbali Yale majengo ya bunge
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
Sio suala la kuapa tu, hata namna walivyopatikana, fomu zao zipo chamani azijajazwa eti nimeletewa majina, je, walikutaarifu fomu zimeungua Moto? Tume imetoa fomu zinajazwa na kupelekwa tume, mbona kwa wagombea mliwaengua sababu fomu zilikosewa leo fomu zenu hazina maana?
 
Back
Top Bottom