Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,338
- 1,221
Kwa uelewa wangu mdogo, bunge ni mhimili ambao kulingana na vigezo fulani kuwepo linakuwa bunge. Sidhanii kuwa jengo linakuwa bunge kama jengo, bali kukiwa na 1,2,3....Mkuu kwani tafsiri ya bunge ni nini hasa, je ni jengo au ni chombo?