Kati ya Rais Samia na Hayati Magufuli nani aliona vizuri kuhusu idadi ya wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM?

Samia amerudi enzi ya Kikwete, Magufuli aliondoka enzi ya Kikwete.

CCM ya Kikwete na CCM ya Magufuli ipi ilikuwa imara zaidi?? Jibu unalo mwenyewe.
CCM ya JPM ilikuwa imara kwa sababu watu wallipenda toka moyoni. Heshima ilikuwepo kwa wenye nacho na wasionacho.
Ukitaka kujua waulize wauza kadi na wauza sare za chama.

Wakati wa JP watu walijivunia chama.
Waliunda umoja bila shuruti!
Lakini sasa hivi kimekuwa ni chama cha mammbuzi, yanakula tu kwa urefu wa kamba!
 
Nguvu ya dola ndio umeisahu katika uchambuzi wako
CCM ya JPM ilikuwa imara kwa sababu watu wallipenda toka moyoni. Heshima ilikuwepo kwa wenye nacho na wasionacho.
Ukitaka kujua waulize wauza kadi na wauza sare za chama.

Wakati wa JP watu walijivunia chama.
Waliunda umoja bila shuruti!
Lakini sasa hivi kimekuwa ni chama cha mammbuzi, yanakula tu kwa urefu wa kamba!
 
CCM ya JPM ilikuwa imara kwa sababu watu wallipenda toka moyoni. Heshima ilikuwepo kwa wenye nacho na wasionacho.
Ukitaka kujua waulize wauza kadi na wauza sare za chama.

Wakati wa JP watu walijivunia chama.
Waliunda umoja bila shuruti!
Lakini sasa hivi kimekuwa ni chama cha mammbuzi, yanakula tu kwa urefu wa kamba!
Itabidi tukaongee na Gwajima amfufue
 
Enzi za Dkt Magufuli wajumbe wa NEC na Kamati kuu walikuwa bata balaa. Sasa hivi Rais Samia hawamuelewi kabisa. Kibaya kabisa kibaya kuna vijanaa vinamzunguka Rais Samia
Kuwafanyia mbaya wajumbe ndiyo Maana JK alitoa ile kauli. Kwa ufupi Rais Samia 2025 kama ana chake basi ni 25% maana wajumbe wapo mguu pande wakisubiri muda wowote kumtosa. Na siku akitoswa aisee Rais Samia atatukanwa zaidi kuliko kiongozi yeyote kuwahi kutokea. Anachopaswa kufanya sasa ni kuzia matusi kwa Dkt Magufuli na vijembe, yaani kadri anavyoendeleza vijembe ndiyo anazidi kujiumbua. Huwezi kusema eti wajumbe walikuwa hawashirikishwi kutembelea miradi hahahaha so shameful sijui nani kamuandalia hiyo hotuba na waliomfanyia hivyo ni hao wabaya wake wakiwa na lengo la kumfanya aonekane Rais Samia hajui.
 
It doesn't matter. Kila mmoja amefanya mabadiliko kwa malengo yaleyale, kuweka watu wake na kujihakikishia awamu ya pili ya uongozi.
 
CCM ni kubwa kuliko mtu. Wenyeviti wote wanafuata katiba ya chama na sio wanavyoona wao. Maamuzi yote ni kupitia vikao rasmi. Hayati Nyerere alipenda Salim awe rais lakini ilishindikana kwasababu katiba ya chama haikumruhusu kujiamulia. Hii ni tofauti na Mbowe alivyobadili gia angani na kumteua EL kuwa mgombea urais kupitia CHADEMA bila kujali maoni ya chama chake. Hata hivi juzi akiwa USA alijiita supreme leader.
 
Nguvu ya dola ndio umeisahu katika uchambuzi wako
Nguvu ya dola isingefua dafu kama hakuna political legitimacy, nguvu hiyo ilikuwa dhidi ya mafisadi waliokuwa wame consolidate power and wealth yet walikuwa wameshafikisha tentacles zao ndani ya hazina ya nchi, ingekuwa wewe ungewadhibitije?

Time is a good friend, tutaelewana tu huko mbele ya safari; hata sasa kama mtu ni mkweli wa nafsi yake matunda ya uovu yameshaanza kuzaliwa...Soon watu watakosa pakuficha nyuso zao kwakua hakutakuwa na kisingizio chochote...
 
Unafahamu hizo ni enzi afisa mwenezi wa chama kutoka katani alikuwa anamfokea na kumtishia daktari afanye kazi katika zamu isiyokuwa yake siku ya sikukuu??
Nguvu ya dola isingefua dafu kama hakuna political legitimacy, nguvu hiyo ilikuwa dhidi ya mafisadi waliokuwa wame consolidate power and wealth yet walikuwa wameshafikisha tentacles zao ndani ya hazina ya nchi, ingekuwa wewe ungewadhibitije?

Time is a good friend, tutaelewana tu huko mbele ya safari; hata sasa kama mtu ni mkweli wa nafsi yake matunda ya uovu yameshaanza kuzaliwa...Soon watu watakosa pakuficha nyuso zao kwakua hakutakuwa na kisingizio chochote...
 
CCM ya JPM ilikuwa imara kwa sababu watu wallipenda toka moyoni. Heshima ilikuwepo kwa wenye nacho na wasionacho.
Ukitaka kujua waulize wauza kadi na wauza sare za chama.

Wakati wa JP watu walijivunia chama.
Waliunda umoja bila shuruti!
Lakini sasa hivi kimekuwa ni chama cha mammbuzi, yanakula tu kwa urefu wa kamba!
Mimi moja wao...I was proud of chama changu, hivi sasa nakiteteaje kwa mfano?

Infact before, sikuwahi kuwa mwanachama wa chama cha siasa japo nimezaliwa na waasisi wa chama. I did join the party actively because of the expectations I had, ya maendeleo ya kweli ya nchi na watu wake na siyo yale ya mwanzo ya kisiasa na yasiyo na economic values wala hayakuleta spcial gains zenye impacts kwa jamii pana zaidi ya individuals tena wenyewe wakiwa wanabadilika kila wanapoachia nafasi nakubakiwa kuwa fukara hata miradi yao kufa; hata sasa bado sijakata tamaa but will never bless what is not right, my integrity goes first before anything else!

As for me sincerely, JPM aliniathiri sana in person kwa maendeleo ya carrier yangu kupitia wapambe wake ambao wali take advantage ya kuaminiwa (few ambao to me are just sycophants) na pia kuvuruga biashara zangu nyingi tu; yet I had nothing in person na nilikubali kwa moyo moja bila kisasi wala grudge kwakua alionyesha kubeba national agenda, ambayo ni muhimu kuliko my personal gains....Sasa hivi gharama yote ile naibebaje kisha eti nisi simame kuusema ukweli?

Mungu na asimame kuona dhamira yangu, I wont compromise my integrity a minute for material gains!
Na kwasababu hiyo ninaujasiri sana wa kumwendea Mungu na kumwambia look here God, do what is unexpected and righteous, naye atajibu hakika, very sure indeed, this wont last long kabla Mungu hajatu reward tuliobeba gharama za kweli kwa taifa letu!
 
Unafahamu hizo ni enzi afisa mwenezi wa chama kutoka katani alikuwa anamfokea na kumtishia daktari afanye kazi katika zamu isiyokuwa yake siku ya sikukuu??
Huyo daktari aliyetokewa yeye alikuwa na integrity yeyote? Mbona unaangalia upande moja tu wa coin? Kwa ubinafsi ule wa wafanyakazi wa sekta ya umma, uzembe, uvivu na ubadhirifu uliochagizwa na rushwa kila mahali, ungerekebishaje hizo attitudes? Ofcourse kuna ma sycophants ambao wali take advantage, but in general dhamira yake ilikuwa imelenga nini? Watanzania tujifunze kuwa critical na open minded...Sisi siyo honest wala hatupo objective tunapenda sana mob psychology!
 
Back
Top Bottom