Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,227
- 3,532
JPM alikuwa na akili ya kijanja janja sana. Aligundua ni vigumu sana kuwadanganya/ kuteka akili ya watu wengi kwa pamoja, alichokifanya kwa sababu alikuwa na agenda zake za Siri ili aweze kupitisha maamuzi yake kwenye halmashauri kuu ni rahisi sana kufanikiwa ukiwa na wajumbe 150 kuliko wakiwa 300. Ni rahisi kuhonga wajumbe 80 kati ya 150 kuliko wajumbe 160 kati ya 300. Tena baada ya kuwapunguza akaanza kuchagua watu wake mf mtoto wa pinda, makongoro Nyerere nk. JPM alikuwa na mikakati yake tushukuru tu Mungu ni wa huruma