Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

90% ya wanaJF ni CHADEMA, na 90% ya WanaJF ni wajinga, wapuuzi, brain damaged.....their minds are remotely controlled....wako tayari kuuona ukweli, na kuufumbia macho kama unawaumiza wao au chama chao, na kuukataa, na kutafuta sababu nyingi sana kuupinga, ikiwemo kubrowse kwenye internet, kupata links mbalimbali zinazoweza wasaidia kuuupinga ukweli huo...kuna mpuuzi mmoja anasema eti imerekodiwa bar, seriously?? that video is 19 minutes long....tafadhalini emu jaribuni kugoogle kama kuna mtu ashawahi kufabricate video yenye urefu huo?? tumieni akili, hata kama 90% ya akili zenu ziko kwa babu slaa, hizo 10% zilizobaki zinatosha kabisa kuuona ukweli kwenye hii video....msifikirie viongozi wa CDM ni malaika, na hawana makosa, na hawanuii mabaya....ni watu kama wa CCM tu, na wanaweza fanya mabaya kama wale wa CCM tu....
 

Sound man:
The soundman may be one or more people. Dialog needs to be recorded either inscene, or looped in later during production. Sound effects, likelasers zapping and helicopters exploding, all need to be created;music needs to be sourced, recorded, and mixed; and foley (footsteps,leather creaks, plates broken, doors slamming) all the needs to begenerated.
Candid Scope
Uliyosema ni sahihi kabisa...hakika hayo yanawezekana pasipo na shaka yoyote ile. Pamoja na hayo, kazi kubwa ni kutengeneza real voice...yaani, at civilian level, ni ngumu kutengeneza sauti sauti ya mtu....kwamba mtu atengeneze sauti iwe exactly kama ya mtu mwingine. Hili la ku-link a similar voice ni la kijasusi zaidi na hata wao wenyewe wanapata shida sana katika ku-link real voice ya yule wanayemtaka! Wataweza ku-manipulate only few seconds or a minute lakini sio kwa madakika mengi kama ilivyo kwa hii ya Lwakatare! Mara nyingi watakachoweza kufanya ni kuunganisha few audio clips ili ku-match sauti ya mtu kitu ambacho ni ngumu sana kukipeleka beyond 5 minutes!
 
Nazidi kupata hasira na idara zoote za usalama na ccm kwa ujumla!itawa cost sana hizi mbinu chafu wananchi watapiga kura za hasira dhidi yao...subiri tu maana wamemlisha maneno Rwakatare wanaogopa pia kupoteza jimbo la Bukoba!Nape,Nchemba na Riz1 watafute kwa kujificha maana Mungu atawaumbua na udhalimu wao na uchawi wao!
 
Hii video jamani imetengenezwa na ni rahisi sana kutengeneza ni mambo ya Computer hayo wananchi msipumbazwe kama ni kweli mlikona wapi muuji au wauaji wakapangaa ujinga kama huu hadharani tena kweupe kabisa kama ionyeshavyo hii video Lol kama na Police wamemkamata kwa hii video kweli hapo hakuna Police kuna Policeuniform na mijikanda kuzunguka mwli mzima lakini hakuna wataalamu teh teh teh.
Kuna mtu mmoja nilimuomba lakini bado hananisaidia....labda nikuombe wewe ambe umeshasema wazi kwamba, ni kazi nyepesi sana kufanya video manipulation. Kama ndivyo, naomba ile video ya Lwakatare i-manipulate halafu muhusika awe mtu mwingine kabisa bila kuathiri sauti ya huyo mtu. Please, iwe na the same length or at least iende beyond five minutes.

Hilo la kwamba wamefanya hadharani ni porojo ambazo mara kwa mara mnazisema. Tangu lini ndani mkawa hadharani?! Kama waliomzunguka wote ni team members wana sababu gani ya kuogopana?! Kwani hujasikia yule mwingine wakati anamwita mtu aitwae Rich kuonesha kwamba wote ni wamoja?!
 
Candid Scope
Uliyosema ni sahihi kabisa...hakika hayo yanawezekana pasipo na shaka yoyote ile. Pamoja na hayo, kazi kubwa ni kutengeneza real voice...yaani, at civilian level, ni ngumu kutengeneza sauti sauti ya mtu....kwamba mtu atengeneze sauti iwe exactly kama ya mtu mwingine. Hili la ku-link a similar voice ni la kijasusi zaidi na hata wao wenyewe wanapata shida sana katika ku-link real voice ya yule wanayemtaka! Wataweza ku-manipulate only few seconds or a minute lakini sio kwa madakika mengi kama ilivyo kwa hii ya Lwakatare! Mara nyingi watakachoweza kufanya ni kuunganisha few audio clips ili ku-match sauti ya mtu kitu ambacho ni ngumu sana kukipeleka beyond 5 minutes!

Hilo lawezekana, lakini jambo moja muhimu ujue kazi kama hiyo huwa haichukui dakika, ni kazi ya pengine miezi hata mwaka nijuavyo utengenezaji wa filamu. Watu wanaweza kuigisha sauti ya mtu ambaye alishakuwa marehemu lakini ikaakisi kiwango kikubwa.

Hoja yako kama sound record ifanyike kwa wakati mmoja hilo lawezekana, lakini kiufundi kwa kazi kama hii huchukua muda mrefu na wataalamu watengenezaji huhakiki muda mrefu na kujiridhisha pasi na shaka wamefanikiwa kuweza kuwa published. Unakumbuka utengenezaji movie pengine huhitaji kurudiwa kupiga picha zaidi ya mara mbili tatu ili kuhakikisha mtiririko mzuri unaoakisi audience.

Kasoro kubwa polisi walitakiwa kumfuatilia kwanza aliyetundika movie hiyo, maana wameanza matawi badala ya shina.
 
Polisi wa Tanzania hawana uwezo wa ishu kama hii. Hapa ukweli mpaka FBI.
 
Hilo lawezekana, lakini jambo moja muhimu ujue kazi kama hiyo huwa haichukui dakika, ni kazi ya pengine miezi hata mwaka nijuavyo utengenezaji wa filamu. Watu wanaweza kuigisha sauti ya mtu ambaye alishakuwa marehemu lakini ikaakisi kiwango kikubwa.

Hoja yako kama sound record ifanyike kwa wakati mmoja hilo lawezekana, lakini kiufundi kwa kazi kama hii huchukua muda mrefu na wataalamu watengenezaji huhakiki muda mrefu na kujiridhisha pasi na shaka wamefanikiwa kuweza kuwa published. Unakumbuka utengenezaji movie pengine huhitaji kurudiwa kupiga picha zaidi ya mara mbili tatu ili kuhakikisha mtiririko mzuri unaoakisi audience.

Kasoro kubwa polisi walitakiwa kumfuatilia kwanza aliyetundika movie hiyo, maana wameanza matawi badala ya shina.
Candid Scope,
Ile teknolojia ya kwenye filamu iko tofauti na hii ambayo tunataka kuaminishwa. Hili la Lwakatare linawezekana lakini kwa short clips lakini si kwa clips yenye urefu wa madakika yote hayo. Kuigiza sauti ni tofauti na ku-link sauti. Ile ya Lwakatare sio ya kuigiza bali ni sauti yake rasmi hivyo uwezekano wa kufanya vile kuunganisha different audio clips za Lwakatare...hapo ndipo teknolojia inapokuja kufanya kazi! Sasa hilo la kutafuta clips nyingi na kutengeneza mtitiriko unaoeleweka kwa zaidi ya dakika 10, CCM jeuri hiyo hawana; msiwape sifa wasizonazo! Na ndio maana nikakuambia, mara nyingi video za aina hiyo haziwezi kwenda beyond 5 minutes...tena hata hiyo 5 minutes nimeweka hesabu ya mbali sana!!
 
Last edited by a moderator:
Candid Scope,
Ile teknolojia ya kwenye filamu iko tofauti na hii ambayo tunataka kuaminishwa. Hili la Lwakatare linawezekana lakini kwa short clips lakini si kwa clips yenye urefu wa madakika yote hayo. Kuigiza sauti ni tofauti na ku-link sauti. Ile ya Lwakatare sio ya kuigiza bali ni sauti yake rasmi hivyo uwezekano wa kufanya vile kuunganisha different audio clips za Lwakatare...hapo ndipo teknolojia inapokuja kufanya kazi! Sasa hilo la kutafuta clips nyingi na kutengeneza mtitiriko unaoeleweka kwa zaidi ya dakika 10, CCM jeuri hiyo hawana; msiwape sifa wasizonazo! Na ndio maana nikakuambia, mara nyingi video za aina hiyo haziwezi kwenda beyond 5 minutes...tena hata hiyo 5 minutes nimeweka hesabu ya mbali sana!!

Ungejua kwamba kazi kama hiyo hufanywa na wataalamu ungeweza kunielewa kwa kiwango fulani. Kazi kama hiyo haiwezi kufanywa na mtu wa kawaida ila kwa kuajiri wataalamu katika fani hiyo. Elewa kwamba idara za kijasusi, usalama wa taifa na polisi hali kadhalika jeshi la wananchi wanavyo vitengo kama hivyo, na pengine pale wanapohitaji msaada wa kitaalamu zaidi kuna wataalamu wa kimataifa ambao ni wajuzi zaidi katika hilo, pale kwenye mlo mfuko ukiruhusu hutakosa watekelezaji.

Jambo ambalo wewe na mimi tunaloweza kulianalia na kubaini angalia lips vibration na maneno yanayotamkwa kuna ukinzano fulani kwa baadhi ya mengi tu.

Halafu kama unaweza kugundua haionyeshi watu anaozungumza nao wa uwazi wala mazingira na makandokando alipokuwa taped.
 
Mkuu wangu Bill,
Mtu pekee mwenye uwezo wa kulikanusha kwa sasa, ni Lwakatare mwenyewe! Inakuwaje mtu mwingine akanushe suala linaloonekana kufanywa na Lwakatare wakati mtu huyo hatembei na Lwakatare?! Mkuu wangu wewe unafahamu hivi sasa Lwakatare anafanya nini na yupo wapi?! By the way, hakuna anayebisha kwamba hamna video manipulation technology, lakini uwepo wa teknolojia hiyo kusitufanye kuzikataa video zote zilizo na side effect kwetu wakati hakuna uchunguzi wowote ambao ume-prove otherwise!! What you all do hapa ni ku-paste online tutorials on how to fabricate videos.....hiyo peke yake haiwezi kuwa ushahidi tosha kwamba Lwakatare's video is also ni fabricated!

Ok na hapo Obama anaapa sawa eh! A Bad Lip Reading of Barack Obama's Inauguration (Legendado PT-BR) - YouTube
 
Ungejua kwamba kazi kama hiyo hufanywa na wataalamu ungeweza kunielewa kwa kiwango fulani. Kazi kama hiyo haiwezi kufanywa na mtu wa kawaida ila kwa kuajiri wataalamu katika fani hiyo. Elewa kwamba idara za kijasusi, usalama wa taifa na polisi hali kadhalika jeshi la wananchi wanavyo vitengo kama hivyo, na pengine pale wanapohitaji msaada wa kitaalamu zaidi kuna wataalamu wa kimataifa ambao ni wajuzi zaidi katika hilo, pale kwenye mlo mfuko ukiruhusu hutakosa watekelezaji.

Jambo ambalo wewe na mimi tunaloweza kulianalia na kubaini angalia lips vibration na maneno yanayotamkwa kuna ukinzano fulani kwa baadhi ya mengi tu.

Halafu kama unaweza kugundua haionyeshi watu anaozungumza nao wa uwazi wala mazingira na makandokando alipokuwa taped.
Candid Scope,
Nimeingalia kwa makini sana hiyo clip...si mara moja wala mara mbili. Na nimejitahidi sana kuangalia lips vibration. Nakubaliana kabisa na wewe kwamba kuna vitengo kama hivyo, particularly kwenye idara za intelejensia. Na ninakubali kabisa kwamba hiyo ni kazi inayofanywa na wataalamu. Lakini kama nilivyokuambia, kazi ya ku-link similar voice si kazi ndogo ambayo mtu inaweza kumfanya kutengeneza video ndefu kama hii ya Lwakatare! Am telling you, endapo CCM/Serukali wangekuwa na ubavu wa kutengeneza video ndefu kama hii basi wangetengeneza a more damaging video kuliko hii yenye ujumbe mwepesi mwepesi!! CCM hawawezi kutumia mamilioni ya fedha waishie kutengeneza video inayosema "mtekeni lakini msimdhuru....bali kamtupeni tu mbali ili akiamka ajikute sehemu tofauti na ile aliyokuwapo!" Am telling you, kama CCM/Serikali wangekuwa na ubavu huo, content ya hiyo video ingekuwa ni very dangerous kuliko hii!

Hilo la kutokuwepo watu anaozungumza nao wala lisikupe tatizo! Wenzake walim-set up bila mwenyewe kufahamu!! In short, amekuwa set-up na watu ambao aliwaamini!
 
Last edited by a moderator:
Kuna Mkuu mmoja hapa katoa maoni haya:

Analysis ya video:

1. Je, Rwakatare alikuwa anatoa mafunzo kwa kuruta mpya au alikuwa anatoa maelekezo kwa mtendaji mzoefu? Hebu sikilizeni kwa makini aina ya mazungumzo yanayoongelewa, it is confusing. Mwanzoni anaanza kwa kuelezea aina mbalimbali za uuaji, halafu katikati anakuja kumkumbusha "the to be killer?" matukio waliyotenda sehemu mbalimbali (ni mzoefu?). Au labda ilikuwa ni refresher course?

2. Mandhari ya tukio ni kichekesho kingine. Honi na miungurumo ya magari, watu wakiendelea na maongezi yao (background noise). Halafu the master killers ambao wanajaribu kupanga mipango yao kwa ustadi mkubwa, wanaendelea na plan zao bila wasiwasi, huku mdada anaonekata kukatiza hovyo, mhudumu analeta vikombe (chai?) story zinaendelea tu. Yaani kila mwanadamu aliyemo ndani ya nyumba ile ni part of the mission? Impossible. U wapi huo usiri?

3. Tena njemba (Richie) inaibuka kwa nyuma ya master Rwakatare na kusalimia, huku akimpa mgongo anaitikia bila hata ya kugeuka kuhakiki ni nani? Then story zinaendelea! Everybody in the house is a killer!

4. Halafu katikati ya mazungumzo yanatajwa matukio ya mauaji ya kisiasa yaliyotekelezwa katika harakati za CHADEMA na kupelekea serikali ya CCM kuhusishwa nayo! What a way kwa serikali kutua mzigo na kung'aa tena mbele ya watanzania waliolala!

5. Master Rwakatare anaonekana ni mzoefu wa mbinu mbalimbali za mauaji kiasi kwamba anaonekana kutaja toka kichwani na kuandika notice! Jasusi la hatari hili.

Mtazamo wangu:

Tukio zima linaonekana kuwa staged kwa sababu zifuatazo:-

1. Eneo liliporekodiwa tukio hili hapa-support uhalisia kwamba kuna mipango ya mauaji inapangwa. Mipango hatari kama hiyo inayohusu maisha ya high profile figures haiwezi kupangwa kipuuzi namna ile. Security iko wapi hapo? Mhudumu wa chai, karani, Richie wanapita tu. Huwezi kumwamini kila mtu, big no! Unless ni movie za kina Ray ili condition fulani itimie!

2. Matukio ya mauaji ya Morogoro, Igunga, Mwangosi na Kubenea yalipangwa makusudi yatajwe kwenye tamthilia hii ili kuisafisha serikali dhidi ya shutuma ambazo zimekuwa zikielekezwa huko. Na ndio maana hakuna mtiririko unaoshawishi kwamba kulikuwa na jambo linapangwa kutekelezwa bali kuwaibia siri ndugu watazamaji kwamba mchawi wenu si serikali bali ni CHADEMA. Lengo kuu ni kuiunganisha CHADEMA na vifo hivi vya kutisha! Halafu mengine yaliyobakia (Ulimboka na Kibanda) tutajenga taswira automatic na kuwaunganisha humo, na mengine yatakayofuata jicho letu kwanza itabidi lianze kuimulika CHADEMA!!!!! Na ndio kisa cha swali ambalo hata si la kimbinu la anayedhaniwa muuaji kuihusisha CCM ili ionewe huruma. Ni mchezo wa kijinga kweli huu.

3. Kwenye ile karatasi Lwakatare alikuwa anaandika nini? Wewe unadhani alikuwa anaandika? NO way! Alikuwa anasoma dondoo alizoziandaa (script) kuhakikisha mambo ya msingi hayaachi. Alikuwa anasoma kwanza kisha anaongea huku akijifanya kuandika. Mwangalie vizuri tu (mfano kuanzia dak. 8 na sek. 33 mpaka dak. 8 na sek. 45--- angalia macho kisha angalia kalamu. Anaangalia straight wakati kalamu inaandika pembani kulia!!!)

Who did this?

Maoni yangu:

Lwakatare is behind all of this bullshit! Yes, I said it! Huyu bwana ametumika kuiangamiza CHADEMA. Angalia kwa makini ku-determine position ya kamera. Pale hakuna ujasusi wala nini, kamera iko kati ya actor wa uuaji na Lwakatare! Huyu bwana alijua kabisa kuwa anarekodiwa, wala si mkakati wa siri! Kuanzia dak.19 na sek. 21 muuaji anaanza kustruggle na kamera kwani scene inatakiwa iishe abruptly. Upuuzi kabisa huu.

Msikilize actor anayewakilisha wengine, ni mwandishi zaidi kuliko muuaji. Muda wote yuko kuitikia "mmmh." Haulizi details za kumsaidia kutekeleza jukumu lake? Ni ajabu na kweli.

Kitakachofuata ni either Lwakatare ata-confess, na kuwaunga top layer wa CHADEMA au atatoa maelezo yenye kupelekea watu woooote kuamini ni mpango wa CHADEMA. Halafu atawataja vijana wake wa kazi ambao tayari wameandaliwa. Watakiri kuhusika na unyama huo. Then? There is ana exit strategy kwa hawa, huku wakiwaacha top layer wa CHADEMA wakiwa slowly annihilated!!!!

REMEMBER Wassira alisema nini kuhusu CHADEMA? Wakati mnasherekea kuwaondoa kina Shonza, kumbe kuna mitego mingi tu imetegwa ndani ya chama. Pia nina mashaka sana na kiongozi mmoja ndani ya CHADEMA ambaye anahusishwa humu kutaka kuuliwa na viongozi wenzake! Na watu wa system waliomo ndani ya chama!! Watch out hata kama ni wana sheria wazuri kiasi gani, kumbuka historia zao walikotoka walifanya nini!!

THE ENERMY WITHIN!

Juha Kalulu bin Jangala!
 
Candid Scope,
Nimeingalia kwa makini sana hiyo clip...si mara moja wala mara mbili. Na nimejitahidi sana kuangalia lips vibration. Nakubaliana kabisa na wewe kwamba kuna vitengo kama hivyo, particularly kwenye idara za intelejensia. Na ninakubali kabisa kwamba hiyo ni kazi inayofanywa na wataalamu. Lakini kama nilivyokuambia, kazi ya ku-link similar voice si kazi ndogo ambayo mtu inaweza kumfanya kutengeneza video ndefu kama hii ya Lwakatare! Am telling you, endapo CCM/Serukali wangekuwa na ubavu wa kutengeneza video ndefu kama hii basi wangetengeneza a more damaging video kuliko hii yenye ujumbe mwepesi mwepesi!! CCM hawawezi kutumia mamilioni ya fedha waishie kutengeneza video inayosema "mtekeni lakini msimdhuru....bali kamtupeni tu mbali ili akiamka ajikute sehemu tofauti na ile aliyokuwapo!" Am telling you, kama CCM/Serikali wangekuwa na ubavu huo, content ya hiyo video ingekuwa ni very dangerous kuliko hii!

Hilo la kutokuwepo watu anaozungumza nao wala lisikupe tatizo! Wenzake walim-set up bila mwenyewe kufahamu!! In short, amekuwa set-up na watu ambao aliwaamini!

Mazingira yanayozunguka na watu ambao anaongea nao ni ushahidi muhimu, kama walificha hicho basi aliyetengeneza hii movie amejiangusha kwa vile maelezo hayo ya kukosekana mazingira wazi ya alipokuwa na aliokuwa anaongea nao ambao wangekuwa mashahidi wa movie hii yanakosekana. Hizo ndizo kasoro za wazi ambazo hata kisheria zina uzito stahiki.
 
Mazingira yanayozunguka na watu ambao anaongea nao ni ushahidi muhimu, kama walificha hicho basi aliyetengeneza hii movie amejiangusha kwa vile maelezo hayo ya kukosekana mazingira wazi ya alipokuwa na aliokuwa anaongea nao ambao wangekuwa mashahidi wa movie hii yanakosekana. Hizo ndizo kasoro za wazi ambazo hata kisheria zina uzito stahiki.
Mkuu Candid Scope,
Wewe unafahamu haki na sheria ni vitu viwili tofauti...inawezekana kabisa kutokuonekana kwa hao watu ikaleta tatizo la kisheria(from legal point of view, mie sio mwanasheria) lakini bado hakutaweza kuondoa ukweli wa video yenyewe!!
 
Last edited by a moderator:
Candid Scope,
Nimeingalia kwa makini sana hiyo clip...si mara moja wala mara mbili. Na nimejitahidi sana kuangalia lips vibration. Nakubaliana kabisa na wewe kwamba kuna vitengo kama hivyo, particularly kwenye idara za intelejensia. Na ninakubali kabisa kwamba hiyo ni kazi inayofanywa na wataalamu. Lakini kama nilivyokuambia, kazi ya ku-link similar voice si kazi ndogo ambayo mtu inaweza kumfanya kutengeneza video ndefu kama hii ya Lwakatare! Am telling you, endapo CCM/Serukali wangekuwa na ubavu wa kutengeneza video ndefu kama hii basi wangetengeneza a more damaging video kuliko hii yenye ujumbe mwepesi mwepesi!! CCM hawawezi kutumia mamilioni ya fedha waishie kutengeneza video inayosema "mtekeni lakini msimdhuru....bali kamtupeni tu mbali ili akiamka ajikute sehemu tofauti na ile aliyokuwapo!" Am telling you, kama CCM/Serikali wangekuwa na ubavu huo, content ya hiyo video ingekuwa ni very dangerous kuliko hii!

Hilo la kutokuwepo watu anaozungumza nao wala lisikupe tatizo! Wenzake walim-set up bila mwenyewe kufahamu!! In short, amekuwa set-up na watu ambao aliwaamini!

Hakuna kitu cha namna hiyo! uwezo wako wa kuanalyse ni mdogo sana. Kutengeneza phonology is very easy na is not that expensive kama unavyofikiri. Angalia cartoons zinazotengenezwa wanyama au mimea inapoongea na kuendana sambamba na midomo ya kinachozungumza. Wadhani hilo haliwezekani? kupanga mauaji ktk surroundings zinazoonekana hazina uhalisia.
 
Candid Scope,
Ile teknolojia ya kwenye filamu iko tofauti na hii ambayo tunataka kuaminishwa. Hili la Lwakatare linawezekana lakini kwa short clips lakini si kwa clips yenye urefu wa madakika yote hayo. Kuigiza sauti ni tofauti na ku-link sauti. Ile ya Lwakatare sio ya kuigiza bali ni sauti yake rasmi hivyo uwezekano wa kufanya vile kuunganisha different audio clips za Lwakatare...hapo ndipo teknolojia inapokuja kufanya kazi! Sasa hilo la kutafuta clips nyingi na kutengeneza mtitiriko unaoeleweka kwa zaidi ya dakika 10, CCM jeuri hiyo hawana; msiwape sifa wasizonazo! Na ndio maana nikakuambia, mara nyingi video za aina hiyo haziwezi kwenda beyond 5 minutes...tena hata hiyo 5 minutes nimeweka hesabu ya mbali sana!!
A Bad Lip Reading of Barack Obama's Inauguration (Legendado PT-BR) - YouTube
Na hii je vipi.
 
Mazingira yanayozunguka na watu ambao anaongea nao ni ushahidi muhimu, kama walificha hicho basi aliyetengeneza hii movie amejiangusha kwa vile maelezo hayo ya kukosekana mazingira wazi ya alipokuwa na aliokuwa anaongea nao ambao wangekuwa mashahidi wa movie hii yanakosekana. Hizo ndizo kasoro za wazi ambazo hata kisheria zina uzito stahiki.
Kitu cha kwanza kabisa ilikuwa ni kutafuta source ya video, Aliyeichukua ni shahidi namba moja.
 
Mimi nimejiuliza tu kuwa hivi hujuma nzito kama hizi zinapangwa sehemu wazi hivyo, mpaka na watu wanapita na kutoa salaam kabisa.

I hope polisi watafanya kazi yao ipasavyo, na kama kweli kuna uhusika, basi sheria na ichukue mkondo wake.
 
Hivi sisi tuna Raisi au Hatuna?Hivi na Raisi kabisa anakaa na watu wake wanapanga mikakati ya kipumbavu namna hii eti bacause wanaona CDM is a threat to them?Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu,anajua huu ni mpango wa CCM ambayo kiukweli kwa sasa they have lost vision,they have Myopic thinking,These people are insane currently.Wamekosa mikakati kabisa.Yani kama wanawekwa kwenye fair game na CDM,lazima watoe ulimi nje.You know what CCM wanajua kwa CDM kuingia madarakani,hiyo ndo itakuwa Kiama chao,ofcourse lazima wasulubiwe bila huruma hawa majangili.Mtu mwenye akili yeyote hana haja ya kuumizwa kichwa na hawa watu waliokosa maono,yani mambo mengine hadi yanatia aibu.God Bless You CDM.



Eti wanataka kuuaminisha umma kuwa CHADEMA wanapanga mauaji halafu watekerezaji wa mauaji ni serekali ya ccm kwa kutumia polisi na vyombo vya dola vingine.
 
Back
Top Bottom