Wana mapinduzi wanaamini
kuwa ukiona mambo kama haya tambua kuwa ukombozi upo karibu. Uhuru na
Ruto walifanya kama haya na sasa wameingia ikulu, aibu kwa ICC na mafia
wao. Nadhani ni muda wa kushangilia ushindi na mapinduzi ya kweli,
watanzania wenye akili, na hasa hawa wanaotumia mitandao ya kijamii na
forum makini kama JF watatumia akili zao kuchambua hili. Maana mengi
yamesemwa kuhusu CHADEMA yameshindwa....walianza na ukanda ukashindwa,
wakaja na dini wakashindwa, wakaja na kadi ya dokta Slaa wakashindwa,
sasa wemeibuka na mauaji...hakika MUNGU ni yule yule jana, leo na hata
milele, ataendelea kutupigania wana CHADEMA.
Tualianza na MUNGU, tunaendelea na MUNGU, tutamaliza na MUNGU
Ikiwa MUNGU, yupo upande wetu, nani atanyanyuka kinyume chetu?
Nimekupata kiongoz, nilijua umeamua tu kuanzisha uzi mpya, kama kuna new findings, endelea tu kiongoz, tupo pamoja!
Hii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya chadema utaishi muda mrefu sana.
we husomeki kweli. eti unajifananisha akina uhuru na ruto na viongozi wa chadema hapo umeingia chaka. ukweli ni kuwa chadema walikuwa wanamsupport odinga na kalonzo musyoka. walipeleka magari, watu na walitoa fedha kumsaidia odinga ashinde. wakachemsha. usijidanganye na mambo ya kenya kwani wenzako walikuwa serious na hawakuwa na viongozi wanafiki kama rwakatare
no need of CDM again in this country!
You can fool SOME people some time, but you can't fool ALL the people all the time.Naapa chini ya Mbingu na Ardhi kamwe Shetani hatamshinda Mungu.
Kama Daudi alimuua Goliathi kwa jiwe katu Mashetani hawa wanaotaka kuichafua Chadema hawatafanikiwa na wataangamia.
Naapa kwa Mungu aliye hai yeyote aliyeshiriki kutunga mpango huu mchafu hatabaki salama.
Naapa kwa Mungu Mkuu muumba kila kitu kwamba kila aliyeshiriki kutunga uchafu huu lazima ataumbuka siku si nyingi na ataiomva radhi hadharani.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Anania akapasuka matumbo mbele ya madhabahu kwamba wahalifu hawa watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Herode akadondoka juu ya kiti cha kifalme na mwili wake kuliwa na siafu kwamba waovu waliotunga mbinu hii watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu wa Abraham,Isaka na Yakobo kwamba watu hawa hawataweza kuendelea kuharibu Taifa letu kwa uchochezi wao bali watakipata sawasawa kile kiwapatacho watu wasiomjua Mungu.
Naapa kwa Mungu ambaye jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO kwamba Shetani kamwe hatajitwalia utukufu.
Wao wana Baali na Chadema wana Mungu kamwe Baali hawezi kumshinda Mungu.
Naapa chini ya Mbingu na Ardhi kamwe Shetani hatamshinda Mungu.
Kama Daudi alimuua Goliathi kwa jiwe katu Mashetani hawa wanaotaka kuichafua Chadema hawatafanikiwa na wataangamia.
Naapa kwa Mungu aliye hai yeyote aliyeshiriki kutunga mpango huu mchafu hatabaki salama.
Naapa kwa Mungu Mkuu muumba kila kitu kwamba kila aliyeshiriki kutunga uchafu huu lazima ataumbuka siku si nyingi na ataiomva radhi hadharani.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Anania akapasuka matumbo mbele ya madhabahu kwamba wahalifu hawa watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Herode akadondoka juu ya kiti cha kifalme na mwili wake kuliwa na siafu kwamba waovu waliotunga mbinu hii watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu wa Abraham,Isaka na Yakobo kwamba watu hawa hawataweza kuendelea kuharibu Taifa letu kwa uchochezi wao bali watakipata sawasawa kile kiwapatacho watu wasiomjua Mungu.
Naapa kwa Mungu ambaye jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO kwamba Shetani kamwe hatajitwalia utukufu.
Wao wana Baali na Chadema wana Mungu kamwe Baali hawezi kumshinda Mungu.
Alaf cha kushangaza ukimuangalia vizuri lwakatare utagundua kama alikuwa ana ongea na waandishi wa habari na alikuwa ana muangalia mchukua video kabisa!
Alaf cha kushangaza kuna msichana ana katiza hapo na wakati mipango inaendelea , hahaha hapa ndio niliona maccm wameishiwa, yani mipango kama hiyo ipangwe sehemu kama hiyo?
Naapa chini ya Mbingu na Ardhi kamwe Shetani hatamshinda Mungu.
Kama Daudi alimuua Goliathi kwa jiwe katu Mashetani hawa wanaotaka kuichafua Chadema hawatafanikiwa na wataangamia.
Naapa kwa Mungu aliye hai yeyote aliyeshiriki kutunga mpango huu mchafu hatabaki salama.
Naapa kwa Mungu Mkuu muumba kila kitu kwamba kila aliyeshiriki kutunga uchafu huu lazima ataumbuka siku si nyingi na ataiomva radhi hadharani.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Anania akapasuka matumbo mbele ya madhabahu kwamba wahalifu hawa watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu aliyemwangamiza Herode akadondoka juu ya kiti cha kifalme na mwili wake kuliwa na siafu kwamba waovu waliotunga mbinu hii watafuata njia hiyo hiyo.
Naapa kwa Mungu wa Abraham,Isaka na Yakobo kwamba watu hawa hawataweza kuendelea kuharibu Taifa letu kwa uchochezi wao bali watakipata sawasawa kile kiwapatacho watu wasiomjua Mungu.
Naapa kwa Mungu ambaye jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO kwamba Shetani kamwe hatajitwalia utukufu.
Wao wana Baali na Chadema wana Mungu kamwe Baali hawezi kumshinda Mungu.