Kariakoo na Dar es Salaam: Wanahistoria tendeeni haki Historia za majina hayo

Sijagadhibika ila umepta elimu, ishikilie.
Kobello,
Ninapokusoma naona hujapendezwa na niandikayo.

Nami nakueleza haya upate kunifahamu kuwa sifurahi kuona mwenzangu kaumizwa na sababu ni kalamu yangu.

Kuhusu elimu hiyo uliyoweka ni kitu kidogo kinahifadhika kirahisi sana.

Mimi nimekuwekea historia ya vizazi vitatu vya ukoo wangu hapo Kariakoo kuanzia Bi. Debora 1890 - 1995.

Huyu bibi yetu alisoma na alifanya kazi kwa gavana na wanae wote walipata elimu nzuri mmoja alifikia kuwa ofisa balozi baada ya uhuru na wengine walishika nafasi za maana baada ya uhuru.

Hawa wote wamezaliwa Swahiili Street nyumba no. 88 kona na Narung'ombe karibu sana na soko la Kariakoo.

Hii nyumba bado ipo ingawa sasa imejengwa upya na si nyumba ya makazi bali ni godown imepangishwa kwa wafanyabiashara tofauti wenye maduka Kariakoo.

Jirani na hapo ziko nyumba nyingine mbili Mtaa wa Sikukuu na Narung'ombe na nyingine Sikukuu na Makisi Mbwana zamani Stanley.

Nyumba hii imepeana ubavu na nyumba ya Abdul Sykes.

Nyumba zote hizi zimejengwa upya lakini kumbukumbu ya zile nyumba za asili bado zipo kichwani mwangu.

Nimeishi na kucheza utotoni katika nyumba hizi zote.

Hiyo picha hapo chini ni soko la Karikaoo kwa upande wa Mtaa wa Swahili na soko hapo lipo mkono wa kushoto.

1646325580903.png
 
Kobello,
Ninapokusoma naona hujapendezwa na niandikayo.

Nami nakueleza haya upate kunifahamu kuwa sifurahi kuona mwenzangu kaumizwa na sababu ni kalamu yangu.

Kuhusu elimu hiyo uliyoweka ni kitu kidogo kinahifadhika kirahisi sana.

Mimi nimekuwekea historia ya vizazi vitatu vya ukoo wangu hapo Kariakoo kuanzia Bi. Debora 1890 - 1995.

Huyu bibi yetu alisoma na alifanya kazi kwa gavana na wanae wote walipata elimu nzuri mmoja alifikia kuwa ofisa balozi baada ya uhuru na wengine walishika nafasi za maana baada ya uhuru.

Hawa wote wamezaliwa Swahiili Street nyumba no. 88 kona na Narung'ombe karibu sana na soko la Kariakoo.

Hii nyumba bado ipo ingawa sasa imejengwa upya na si nyumba ya makazi bali ni godown imepangishwa kwa wafanyabiashara tofauti wenye maduka Kariakoo.

Jirani na hapo ziko nyumba nyingine mbili Mtaa wa Sikukuu na Narung'ombe na nyingine Sikukuu na Makisi Mbwana zamani Stanley.

Nyumba hii imepeana ubavu na nyumba ya Abdul Sykes.

Nyumba zote hizi zimejengwa upya lakini kumbukumbu ya zile nyumba za asili bado zipo kichwani mwangu.

Nimeishi na kucheza utotoni katika nyumba hizi zote.

Hiyo picha hapo chini ni soko la Karikaoo kwa upande wa Mtaa wa Swahili na soko hapo lipo mkono wa kushoto.

View attachment 2137667
Mwaka 1900, Hayo maeneo yalikuwa yanaitwaje?
 
Ni sahihi kwa Waislam na wengine wasio na elimu na waliozoea kuburuzwa tu na wao wanaburuzika.

Huyu ni MWONGO na MZUSHI kama tu alivyo Mohamed Said anavyoletaga uzushi kuhusu historia ya Tanzania

Ikulu ilijengwa na Wajerumani.

Kariakoo asili yake ni kiingereza kama inavyofahamika wala si kiarabu

Wanatapatapa ili nao waonekane

Kunguni wahed
Unapata faida gani kwa mfano iwe kweli ni kiingereza au kiarabu kuna lolote unafaidika bwa mdogo?mbona mnakua hamna busara namna hii matusi ya nini sasa kijana jiheshimu japo kidogo maalun shaitwan weye
 
Tafsiri yako ya "Kariakoo" sio tafsiri rasmi hivyo haiwezi kuwa sahihi kwa namna yeyote

Aidha umeshindwa kuweka vyanzo vya tafsiri yako ili uthibitishe usahihi ulichoandika na pia uthibitishe kuwa tafsiri ya sasa siyo sahihi


Inaweza kuwa sahihi kwa wale wanaoamini hivyo ili kuwafurahisha tu
Yangu sio tafsiri, nimeleeta maana halisi ya jina lilipotokea ki "anthropology".

Qariah Kuu.
 
Ni sahihi kwa Waislam na wengine wasio na elimu na waliozoea kuburuzwa tu na wao wanaburuzika.

Huyu ni MWONGO na MZUSHI kama tu alivyo Mohamed Said anavyoletaga uzushi kuhusu historia ya Tanzania

Ikulu ilijengwa na Wajerumani.

Kariakoo asili yake ni kiingereza kama inavyofahamika wala si kiarabu

Wanatapatapa ili nao waonekane

Kunguni wahed

Una lingine zaidi? Kama huna sasa kanisome tena vizuri uipinge hoja.

Sikushangai unapodai kuwa Waislam hawana elimu, kweli kabisa hatuna, ikiwa elimu yenyewe ndiyo hiyo yako ya kuandika namna hiyo, Waislam hatuna kabisa hiyo na wala hatuihitaji.
 
Shukrani, kwa upeo wangu binafsi hoja yako ni ya msingi ukizingatia na kiarabu unakifahamu. Labda binafsi najiuliza kwanini walipotosha tafsiri ya hilo jina?!! Hawakuwa na uelewa wake?!
Swali lako zuri sana, labda ni kujikweza kwa wazungu au labda kwa Mwafrika kuonekana ana mila za Kizungu ndio maendeleo.
 
Tafiti ndogo tu, yangu binafsi na isiyo na shaka kabisa niliyoifanya kuhusu jina la jiji letu kuu "Dar Es Salaam" na jina la soko letu kuu "Kariakoo" ninaihitimisha kwa ufupi (summary) hapa chini kwa kusema wanahistoria hususan wa hapa Tanzania hawayatendei haki hayo majina kwa kutuaminisha maana ya majina hayo isiyo halisi na isiyo ya kweli.

Dar Es Salaam

Kila ninapokutana na maana ya jina Dar Es Salaam naona makosa ya wazi kabisa au ya wanaotoa maana kutokufanya tafiti japo kidogo au kuwaamini sana wanahistoria ambao au wao kuwaamini waliowafundisha au waliyoyasoma bila kuyafanyia tafiti na kuiamini tu maana inayotolewa. Au ni makusudi inafanyika ili kuifuta maana halisi ya jina hilo na lilipoanzia kihistoria.

Mara nyingi, kama si zote, tumeaminishwa kuwa maana ya neno Dar Es Salaa ni "bandari ya Salama", na wanatuaminisha kuwa historia yake ni Waarabu waliotoa jina hilo kutokana na kuwepo bandari hapo Dar Es Salaam. Huo tunaoaminishwa sio ukweli.

Ukweli ni kuwa neno Bandari halimaanishi bandari kwa Kiarabu bali neno Bandar ni neno la Kiajemi (Persia) linalomaanisha bandari. Na ipo miji maarufu ya Kiajemi (Persia) yenye jina hilo.

Jina Dar Es Salaam halina neno "Bandar" la Persia au Kiarabu hata maana yake iwe ni "Bandari". Jina hilo lina neno la Kiarabu"Dar" linalomaanisha Nyumba au "dari" kwa maana "haven". Kwa akirefu chake ni Dar Es Salaam ni Nyumba ya Amani au vile vile Dar Es Salaam ni "haven of Peace". Ambayo ni maana halisi ya jina la lililokuja kuwa jiji letu pendwa.

Neno Dar Es Salaam linatokana na neno la Kiarabu fasaha "Dar Us Salaam" linalopatikana ndani ya Qur'an Tukufu, utalipata katika sura ya 10 aya ya 25 na sura ya 6 aya ya 127 likimaanisha jina la pepo (Abode or Haven of Peace).

Kwa maana hizo, jina la jiji letu la Dar Es Salaam lilianzia kilipojengwa chuo cha kwanza cha Kiislam (Madrassa) hapo ilipo sasa Ikulu ya Dar na jengo hilo la la chuo hicho ndio likaitwa Dar Us Salaam (Nyumba ya amani) na ilipo Hospitali ya Ocean Road ndipo palikuwa mabweni ya chuo hicho. Mjerumani ndiye akja kukifanya chuo hicho kuwa nyumba ya gavana baada ya kukitengeneza upya lakini aliacha mjengo ule ule wa asili kwa kiwango kikubwa. Athari za majengo ya Kiarabu na Kiislaam kwenye Ikulu yetu ipo mpaka leo. Haipingiki kwa aijuae Ikulu hiyo.

Kama hiyo haitoshi, pia kuna nchi, Brunei, jina la jiji lake linaitwa Dar us salaam kama jiji letu Dar Es Salaam, lakini kwenye jiji hilo hilo bandari yake inatwa Bandar Seri Begawan. Hiyo inaonessha tofauti iliyopo katika maana ya maneno "Bandar" na "Dar".

Baadhi ya miji yenye jina hilo na maana yake ikielezewa Kiingereza...


From Wikipedia, the free encyclopedia

Darussalam
(Arabic: دار السلام) is an Arabic word which means "abode of peace" and is the name of one of the layers of Jannah (Paradise in Islam). It may refer to:

Post ijayo ntawaletea maana ya jina Kariakoo.
Shukran kwa elimu nzuri.
 
Mpaka sasa utafiti wa FaizaFoxy haujapata mpinzani hasa kuhusu asili ya neno Dar Es Salaam. Bado ni ujinga kukataa evidences alizotoa kwa sababu nyepese za kiimani..
Yote mawili ndugu yangu ndiyo ukweli, Dar na Kariakoo vyanzo vya majina hayo ndivyo hivyo, asikwambie mtu.


Hii pwani yote ya Mashariki ya Afrika kuitenganisha na Uarabu na Uislam ni ngumu sana.

Msome Ibn Batuta aliyekuja pwani hii kabla ya wazungu, utanielewa.
 
Ni sahihi kwa Waislam na wengine wasio na elimu na waliozoea kuburuzwa tu na wao wanaburuzika.

Huyu ni MWONGO na MZUSHI kama tu alivyo Mohamed Said anavyoletaga uzushi kuhusu historia ya Tanzania

Ikulu ilijengwa na Wajerumani.

Kariakoo asili yake ni kiingereza kama inavyofahamika wala si kiarabu

Wanatapatapa ili nao waonekane

Kunguni wahed
Kama ikulu ilijengwa na mjerumani, kwanini kuna sehemu pale ikulu, mpaka leo ina maneno ya kiarabu?

Aina ya majengo yaliyojengwa pale kwanini yana aina ya usanifu wa majengo ya kiarabu?
 
Historia ya nchi hii imepindishwa pindishwa na hakuna anaesema kweli. Ni kama vile tunavyodanganywa Rais wa kwanza wa Zanzibar na mwanamapinduz alikuwa ni Mzee Karume wakati sisi tunajua ni uongo alikuwa John Okelo. Utasikia cjui Nyerere na akina Sheikh nan na kundi lao ndio walipigania Uhuru wa nchi hii wakati sisi tunajua ni uongo. Sisi tunajua tunajua wapigania Uhuru halisi walikuwa akina Kinjikitile ngwale, Mkwawa,Mirambo Mangi Sina, Songea na wengine. So hakuna msema kweli. Kila mtu anavutia kwake.
 
Tafsiri yako ya "Kariakoo" sio tafsiri rasmi hivyo haiwezi kuwa sahihi kwa namna yeyote

Aidha umeshindwa kuweka vyanzo vya tafsiri yako ili uthibitishe usahihi ulichoandika na pia uthibitishe kuwa tafsiri ya sasa siyo sahihi


Inaweza kuwa sahihi kwa wale wanaoamini hivyo ili kuwafurahisha tu
Vyanzo ni lugha ya Kiarabu kama nilivyoelezea. Qariya ni mji au kijiji kwa Kiarabu, kuu sina uhakika wa Kiarabu chake lakini kwa Kiswahili ni wazi kabisa, inajulika maana ya "kuu".

Kariakuu kuwa kariakoo inaleta maana zaidi kuliko "carrier cops"
 
Dar es salaam hujulikana kama "Heaven of Peace" hiyo inajulikana sana na imeandikwa sehemu nyingi mno.

Bandar means port, port city or city by the sea kwa kiarabu; Hata mji ulio pembeni ya bahari huitwa Bandar lexchangeably kwa sababu miji mingi iliyo pembeni mwa bahari hutokana na bandari. Kwa hiyo siyo kosa kuita huu mji bandari ya salama.

"Carrier Corps" ni kikosi maalum cha wabeba mizigo wa KAR na hata Nairobi kuna kariakor, Dar es salaam pia kutokana na makaazi au kambi za vikosi hivyo. Babu yangu mzaa upande wa baba yangu alikuwa KAR na alipewa space mtaa wa Muheza waliporudi kutoka Sri Lanka (mwenyewe alipaita Ceylon) na alikuwa karibu na kea wenzake wengi.
Kikosi hiki kilikuwepo hata kenya. Kariakoo jina limetokana na waingereza.
"bandar" ni Kiajemi, siyo Kiarabu. Kaiarabu bandari ni "Mina". Usichanganye lugha.

Dar Es Salaam ni wazi kabisa kwa Kiararabu, Dar ni nyumba au Kingereza unaweza pia kusema "abode au "haven" lakini siyo "bandari".

Pia nimeona juu "argument" yako ya Kariakoo kuwa haipo kwenye ramani. Ramani siyo kielelezo cha lugha na jina la sehemu, hususan miji au vijiji vya zamani.

Tafiti yangu ndogo ime "base" kwenye lugha siyo maandiko ya zamani au ramani za zamani.

Kiswahili Qaria kuu inaleta maana zaidi kuwa ni kariakoo ya leo kuliko Kingereza "courier cops".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom