FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,226
- Thread starter
- #101
Okelo hajawahi kutawazwa (kuapishwa) kuwa ni Rais wa Zanzibar.Historia ya nchi hii imepindishwa pindishwa na hakuna anaesema kweli. Ni kama vile tunavyodanganywa Rais wa kwanza wa Zanzibar na mwanamapinduz alikuwa ni Mzee Karume wakati sisi tunajua ni uongo alikuwa John Okelo. Utasikia cjui Nyerere na akina Sheikh nan na kundi lao ndio walipigania Uhuru wa nchi hii wakati sisi tunajua ni uongo. Sisi tunajua tunajua wapigania Uhuru halisi walikuwa akina Kinjikitile ngwale, Mkwawa,Mirambo Mangi Sina, Songea na wengine. So hakuna msema kweli. Kila mtu anavutia kwake.
Turudi kwenye madaya Dar Es Salaam na Kariakoo.