Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 304
- 518
Salaam Wakuu,
Kumekuwa na malalamiko mizigo kichelewa kutoka Bandari ya Dar es Salaam. Hali hiyo imeboreshwa kwani hivi sasa Meli kubwa zinaingia Bandari ya Dar es Salaam hata kama usiku wa Manane. Wqnafanyakazi muda wote iwe Jumamosi au Jumapili.
TPA imeelezwa kwamba, Mwezi wa 11 na 12 mizigo inakuwa mingi sababu ya sikukuu.
Hivyo jitihada zimeongezeka kuhakikisha mizigo inatoka haraka kwa kufanya meli ziingie na kutoka bandarini muda wote
Hii hali itaongeza tija katika payo la Taifa.
TPA wameanza kuonesha ubora wao wa utendaji. Hata utoaji Mizigo sasa hivi kasi limeongezeka.
Vipita hii Video uone kazi zinavyo fanyika
Pia, soma: DOKEZO - Bandari ya Dar kuna Urasimu, mizigo inatoka taratibu sana. Serikali, nini kinaendelea?
Kumekuwa na malalamiko mizigo kichelewa kutoka Bandari ya Dar es Salaam. Hali hiyo imeboreshwa kwani hivi sasa Meli kubwa zinaingia Bandari ya Dar es Salaam hata kama usiku wa Manane. Wqnafanyakazi muda wote iwe Jumamosi au Jumapili.
TPA imeelezwa kwamba, Mwezi wa 11 na 12 mizigo inakuwa mingi sababu ya sikukuu.
Hivyo jitihada zimeongezeka kuhakikisha mizigo inatoka haraka kwa kufanya meli ziingie na kutoka bandarini muda wote
Hii hali itaongeza tija katika payo la Taifa.
TPA wameanza kuonesha ubora wao wa utendaji. Hata utoaji Mizigo sasa hivi kasi limeongezeka.
Vipita hii Video uone kazi zinavyo fanyika