palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
akamuoneshe na MKEWE,,,,WAMNYOEOFOE NA NYAMA YA MASABURI KIDOOGO
Mkulu kapita nje ya ofisi yetu, anaelekea magogoni! I hope kaleta tende na halua! Puuuuuuuuuu!
si bure kuna jambo la muda lilikuwa linatafutiwa pakuaanzia
Ngoja vitu vya moto vianze kuwaingia, hamjifunzi ya wenzenu wa syriaTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr................Allah Akbarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Halafu mseme tena mfumo kristo wakati dawa mnaitafuta wenyewe...
Msitishwe na JWTZ nyie ni wengi kuliko wao, wapopoweni mawe,niko njiani kuja kuwaunga mkono!
Naona Jeshi la wananchi wanaanza kusahau majukumu yao!
Mlivimbiwa sana vichwa walipowaacha muandamane kidongo chekundu/wizara ya mambo ya ndani. Kama mngekuwa na chembe ya busara mngejua watu waliwastahi tu lakini badala yake ndiyo mkajiona mko juu ya sheria. Hii kitu itawarudisha kwenye reality...Nyinyi ni watanzania tu kama watanzania wengine na hakuna aliye juu ya sheria. Sioni kama kuna udini wowote hapo.
amri imetoka kwa watu.imesahau kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia,na demokrasia ni serikali ya watu iliyoundwa na watu kwa ajili ya watu?na pia umesahau kua jeshi letu ni jeshi la wananchi?nani katoa amri hiyo? Amiri jeshi mkuu yupo nje