Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

polisi hawawezi kitu hawa...dah nchi haina watawala kabisa adi sasa kimyaaaa
 
Rais wao atakuja na ngonjela zake kwamba wapinzani walichochea vurugu,kwanza saa hizi atakuwa anatafuta nchi ya kwenda na bahati mbaya misiba nayo imekata.
 
January Makamba
  • ✔
@JMakamba

I'm a Muslim. My Mom is devout Catholic. She prays for us everyday. She covers herself and participate when we have Dua. We can coexist.



Source: wavuti.com - wavuti
 
nipo hapa Mnazimoja wamepita JWTZ katika magari matano cjui wanapiga doria.
 
Mkulu kapita nje ya ofisi yetu, anaelekea magogoni! I hope kaleta tende na halua! Puuuuuuuuuu!
 
kila mpenda amani apinge waislam kuwekwa kama wakimbizi tz huku wakirsito wakionekana ndio wenye nchi

Naanza kuhisi kama tunabishana na majini siyo watu"
 
Hivi shida ni Kurani au Ponda? Kama Osama wa ki-dunia kashasahaulika itakuwa huyu anayetetea kiwanja Temeke?
 
tanzania ni nchi ya amani .....niliwahi sikia mbunge mmoja wa ccm bungeni akisema cdm ni watu wa fujo lol kumbe hawakujuwa wanapika nini
 
duh. Hii hatari hasa hivi huu si udini tena. Hata jeshi linaingia
yah! Kwa wale wanaofahamu vizuri kazi za jwtz ni sehemu ya majukumu yao kuingilia case kama hizo wanapokaribishwa.wasiofahamu wacheki majukumu yao kwenye web-site yao.
 
mimi nadhani CCM wapime upepo. kuwakumbatia wakiristo na kuwafanya ndio wenye tz na kuwadharau waislam wataningamiza tz ccm. sioni mantiki hadi leo ccm na serekali iliwahi kuwahukumu waliochoma moto quran Mwanza badala yake inabase zaidi na kuchomwa moto makanisa. CCM inajenga chuki za watz ambao wote ni ndugu kuonekana kundi moja ndilo lenye mamlaka ya juu na jengine nothing
Wakritu wa Tanzania ni wastaarabu sana. Nataka kukuambia kama wakritu wangekuwa na akili ya kushikiwa kama waislamu basi baada ya kuchoma yale makanisa ya mbagala, misikiti yote ingekuwa imevunjwa vunjwa kabisa. Lakini kwa ustaarabu wao walikimbia wakati waislam wanapovamia makanisa yao, ili kuepusha shari. Najiuliza, kama kwa kukamatwa sheik Ponda tu, mnahatarisha amani ya nchi kiasi hiki, je wakristu wangevamia misikiti na kuichoma moto kama mlivyofanya ninyi ingekuwaje? Ni dhahiri kwamba ukosefu wa elimu kwa waislam ni tatizo kubwa na kuwa na waislam katika nchi yetu ni mzigo mkubwa maana hamna mchango wowote hata kwenye uchumi wa nchi zaidi ya kututia hasara tu kama mnavyofanya sasa.
 
kama na sisi tukianza kudai makanisa yetu jpili itakuaje ,wao ni msaafu tu je sisi biblia na madhabau zetu na magari waliyo haribu . waache upopo hao
 
Ila la raisi kumpigia kura ya kutokua na imani,sasa hiyo ni siasa,tuache siasa tushughulike na la msingi!issue ni waislam wachache wasio na busara na si raisi,tusitoke kwenye mada!
 
Back
Top Bottom