Takiyya inawezekana ni hili la Makamu wa Rais Mteule...Hiyo ilikuwa Takiyya tu, raia watamsamehe tu.
Ni kweli tunaambiwa tusiwaamini wana siasa, ila kufanya hivyo, CDM itazidi kujichimbia kaburi lake.Hiyo ilikuwa Takiyya tu, raia watamsamehe tu.
CHADEMA wana mengi ya kupoteza kwa kucheza hiyo karata, historia hujirudiaNchimbi hana cha kupoteza tena wala fursa yoyote ndani ya CCM au serikali. Kilichobaki ni kwenda CHADEMA tu na anapaswa kupokelewa na ikiwezekana hata apewe fursa ya kugombea Urais ikiwa Lissu atahukumiwa adhabu ya kunyongwa mpaka kufa.
Nchimbi hana cha kupoteza tena wala fursa yoyote ndani ya CCM au serikali. Kilichobaki ni kwenda CHADEMA tu na anapaswa kupokelewa na ikiwezekana hata apewe fursa ya kugombea Urais ikiwa Lissu atahukumiwa adhabu ya kunyongwa mpaka kufa.
Ndo tatizo la chadema, hawana watu kila siku kuvizia makombo toka CCM.Nchimbi hana cha kupoteza tena wala fursa yoyote ndani ya CCM au serikali.
Kilichobaki ni kwenda CHADEMA tu na anapaswa kupokelewa na ikiwezekana hata apewe fursa ya kugombea Urais ikiwa Lissu atahukumiwa adhabu ya kunyongwa mpaka kufa.
Kosa kubwa sana ...watu wenye akili finyu mnashida sana ya upeoNchimbi hana cha kupoteza tena wala fursa yoyote ndani ya CCM au serikali.
Kilichobaki ni kwenda CHADEMA tu na anapaswa kupokelewa na ikiwezekana hata apewe fursa ya kugombea Urais ikiwa Lissu atahukumiwa adhabu ya kunyongwa mpaka kufa.
Wapi umeona chadema wamevizia makombo ya CCM au unajitia kidole mwenyewe Kisha unanusa?Ndo tatizo la chadema, hawana watu kila siku kuvizia makombo toka CCM.
Nchimbi hawezi kudhuriwa kirahisi tena na CCM, itakuwa wazi mno na too toxicityMosi nasema na nashauri CHADEMA wasimpokee.
Pili usije kutarajia Nchimbi ataweza kuja kufanya siasa huru za kiushindani nje ya CCM alipokuwepo
Kwa katiba hii atapotezwa mapema mno kama ilivyokua kwa Polepole.
Kenya hilo limewezekana kwa sababu ya katiba yao bora, Gachagua aliondoka UDA akaunda chama chake cha DCP na umeona anavyofanya siasa za ushindani ground hata chama hakina miaka 2 kimeshinda kiti cha ubunge kule Ol Kalau hiyo yote imewezekana sababu ya ubora wa katiba ambao hata Nchimbi ndio aliuongelea kabla hajawekwa kitimoto.
Nchimbi huenda hata asiwahi kuonekana kirahisi public sababu vyama vya kidikteta kama CCM vilivyorithi mifumo ya kikomunisti huwafuatilia na kuwadhuru watu waliowahi kuwa miongoni mwao wakionekana wanatakua kuwa tishio nje ya walipokuwepo.