gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,285
- 17,759
Pale kwao kuna camera nyingi,watuoneshe picha za wapigajiKwanini walimpiga Katibu wao?
Pale kwao kuna camera nyingi,watuoneshe picha za wapigajiKwanini walimpiga Katibu wao?
Duh,
Kwa nini kila Rais Mkristo huwa ni mkatoliki?Aisee, na Waislamu watakuja kutoa waraka kuhusiana na uchaguzi.
Wahindu nao watakuja na waraka.
Wapagani nao watakuja na waraka nk.
Kama wako 26 mil basi tambua na wengine nao wako zaidi 34mil.
China hakuna Catholic, Russia hakuna Catholic, India hakuna Catholic, Japan, South Korea hakuna Catholic, Indonesia, Malyasia, Singapore, Thailand nk. Lakini wanaishi na wana maendeleo na chumi zao ni kubwa.
Tuache kuinvolve sana haya mambo ya dini na siasa siasa hizi, Serikali inapaswa kuchukua maamuzi magumu sana, juu ya haya masuala.
Piga marufuku kabisa kuongelea masuala ya siasa na wanasiasa misikitini na makanisani, Piga marufuku viongozi wa dini kwenye siasa,wabaki huko huko makanisani na misikitini, Piga marufuku wanasiasa kwenye harambee za makanisa na misikiti waende tu kama waumini wa kawaida na wachange kama watu wa kawaida.
ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
Wameshindwa kung'amua logic kwenye imani yao waje waongee logic kwenye siasa!?Difference ni kwamba wao wanaongea wa logic ila mashehe wenu wakishiba ndio wanaongea,maana wengi ni vichwa wazi.
Mkumbuke pia nini kilitokea mwembe chaiMaandamano ya kanisa tarehe 29/10
Tuleeteeni vitu vya kulikomboa taifa hiili!Heshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Unaweza?Wachukue hatua Ili tuwachukulie hatua
TISS hu-recruit kila sehemu,nimesoma islamic school na wengi tu walikua recruited na TISS, nothing special,membe alikua mmisionari lakini kanisa halikumpenda,hao TISS missionari ndiyo wanaoyatoa ya ndani ya church kwa TISS,taifa kwanzaKawakamateni muwafungie Sasa hivi unajua nguvu ya kanisa Katoliki wewe manzi au unaropoka ropoka unadhani ni hicho genge lenu la wahalifu la Sa100 kama huamini Hilo mbona huyo Mzee wa Msoga au huyo Sa100 na washirika wake hawawajibu😂😂 Hujui mpka TISS wanapikwa ndani ya Seminary za Kikatoliki nachomaanisha wanaanza kufanya recruitmet kwa hawa vijana na taarifa zao wanaomba nyie hamjui Siri ya hili Kanisa na ushawishi wake na Hata kimataifa kama huamini tafuta mtu uulize uambiwe mengine ni mazito yako nje ya madam kukujibu watoto kama nyie wanaonuka maziwa
Never retires means he'll be on the side of the army foreverUnaweza?
Hili siyo kanisa la mtu mmoja. Hadi CDF mstaafu aliye simamia Katiba anasali humo. Tena kuimba kwaya kabisa.
Kumbuka a military General never retires...
Especially a Four star General.
Naunga mkono hoja,..Nyaraka zimepitwa na wakati, na zimezoeleka.
..Wachukue hatua, kwa kufanya jambo jipya.
Kwani hawana haki ya uTanzania wao?
Kwa nini uangalie dini inayowahusu na kuacha kuona uTanzania wao. Hao wengine wamekatazwa na nani?
Leo hii hata shetani akisimamia HAKI ya waTanzania, nitakuwa upande wake bila kujali yeye ni shetani.
Hujui unalosema wewe. Viongozi wakisema waumini wetu hakuna kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi hakuna mkatoliki atapiga kura.
Influence inapata no.1 akiwa mwenzao, au kama si mwenzao basi wale wasiojiamini.Nenda kasome historia ya hiyo Taasisi na influences zake kwenye Siasa za Nchi hii
Umewaza sahihi, hao watu wapo hapo tangu Nyerere akiwa anafundisha SekondariInfluence inapata no.1 akiwa mwenzao, au Kama si mwenzao basi wali wasiojiamini.
Kwa nini kila Rais Mkristo huwa ni mkatoliki?
Wakisema itakuwa inakoleza moto zaidii japo ni kweli watu wengi hawatashiriki huu uchafuzi..hawawezi kusema.
..Watz tayari tunajua chaguzi zetu ni boshen.
..tukienda kupiga kura itakuwa ni ujinga wetu wenyewe, tusilaumu viongozi wa dini.
Sisi tutapiga kuraHujui unalosema wewe. Viongozi wakisema waumini wetu hakuna kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi hakuna mkatoliki atapiga kura.