Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Status
Not open for further replies.
Kuna mazungumzo yanaendelea Kati ya Kanisa (Rc) pamoja na Serikali

Wanamtumia Mseminari aliyepewa una namba 2 Mwezi January

Hivyo sio rahisi kuja na Waraka kwasasa unless washindwe kukubaliana
 
Kwakuwa kanisa linapaswa kuelekeza waumini wake kutotenda dhambi bila ya WOGA Wala kutishwa na binadamu yeyote mwanamke ama mwanaume...
na kwakuwa kushiriki wizi ama vitendo viovu ni dhambi...
Kunawatu wameuwawa, wamepotezwa na wengine kufungwa mpaka sasa bila uhalali wowote na kumeibuka vitisho na kupigwa kwa padri,waumini huku wenyedhamana wakijibu kwa kebehi na dharau...
tunaomba kanisa lisimame na litamke kwa kauli thabiti...
Kushiriki uchaguzi huu ni kushirikiana na waovu,wauwaji,watesi,watekaji,wezi na wahuni achache wanaohatarisha amani ya watu na nchi yao.
TUSISHIRIKI UCHAGUZI MPAKA MUAFAKA WA KITAIFA UTAPOFIKIWA!!
AMEN
 
Yafuatayo yanfurahisha,usijali wewe sikiliza hali si hali hadi wakuu wa mikoa yote Tanganyika wameitwa Dar si mchezo kwa hakika uchaguzi mkuu utakuwa katika shaka kubwa.
Uchaguzi hauwezi kuwa kwenye shaka kubwa,wakuu wa mikoa wasimamizi wakuu usalama wakati wa uchaguzi
 
Kwakuwa kushiriki wizi ama vitendo viovu ni dhambi, kwakuwa wapo waliopotezwa na wengine kufungwa bila maelezo na kwakuwa vitisho na kupigwa Kwa padri kumejibiwa Kwa kebehi na dharau tunaomba kanisa lisimame na liseme...
Kushiriki uchaguzi huu ni kushirikiana na waovu,wauwaji,watesi,watekaji,wezi na wahuni wanaohatarisha amani ya nchi. TUSISHIRIKI UCHAGUZI!!
2020 walikua wapi?
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Binafsi nafikiri tupo pazuri sana , kuliko jana ni haki ya kila mmoja wetu kupambania taifa hili, tuko pazuri sana
 
Kuna mazungumzo yanaendelea Kati ya Kanisa (Rc) pamoja na Serikali

Wanamtumia Mseminari aliyepewa una namba 2 Mwezi January

Hivyo sio rahisi kuja na Waraka kwasasa unless washindwe kukubaliana
RC ni taasisi ya dini au siasa?..hayo mazungumzo madhehebu mengine hufanya?
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
..Nyaraka zimepitwa na wakati, na zimezoeleka.

..Wachukue hatua, kwa kufanya jambo jipya.
Wachukue hatua gani na wameshamtoa Nchimbi?
Hizi nyingine ni ngonjera tu mchezo ushakamilika.
 
That's what we're getting rid of..kimsingi siyo ushawishi bali kudekezwa
Waliopo kwenye hivyo viti wanajua zaidi kuliko wewe mpiga zumari

Tuwaombee wakubaliane katika kujenga umoja kabla ya Uchaguzi Mkuu, ila kama itashindikana huo Uchaguzi unaweza kupelekwa mbele hata Kwa miezi kadhaa
 
Waliopo kwenye hivyo viti wanajua zaidi kuliko wewe mpiga zumari

Tuwaombee wakubaliane katika kujenga umoja kabla ya Uchaguzi Mkuu, ila kama itashindikana huo Uchaguzi unaweza kupelekwa mbele hata Kwa miezi kadhaa
Nakwambia hakuna kitu zaidi ya kuzowea kudekezwa,sasa mama hadekezi akitiwa ujasiri na jk, ndiyo unaona povu kwa JK
Walidekezwa tangu awali, huwezi kuwa na taifa la hivyo, kesho madhehebu mengine yatataka huko kudekezwa,mtakua na nchi?..wanachotegemea ni wafuasi wao kupiga kelele kama uonavyo sasa,na labda wagomee serikali kwa nyadhifa/nafasi zao,huo utii haupo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom