Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Status
Not open for further replies.
RC ni kitu gani kwani!?.. wanadhani wafuasi wao walioajiriwa serikalini watawatii,never..RC wakitaka wahame hata nchi waende vatican,tz itabaki na itasonga bila wao
Umeshakanyaga mafuta leo? au una maji ya upako?
 
Wasiwasi wenu tu, hakuna waraka wowote... kanisa neno lake ni moja kuhusu uchaguzi na lilitolewa iringa, "wasikilizeni wananchi" hapo hakuna kuongeza wala kupunguza.
 
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Haters wa Samia mtakuwa mna matatizo ya kijinsia. Hivi kwa waraka gani Hadi Samia aogope?!!!!! Mamamamae, wameanza kumuandama tangu muda tu lakini hajateteleka Bado sababu Hana kosa lolote lile alilowatendea.
Watoe waraka, ikiwezekana ziwe nne kabla ya uchaguzi, lakini nchi itaendelea kuendeshwa kwa mujibu wa Sheria na taratibu zilizopo na si kwa matakwa ya kikundi flani Chenye hila zake.
 
Wewe ni Panya mdogo sana usifikiri RC ni Kanisa la Ufufuo na Uzima.
Kaa kwa kutulia.

kila siku ni kujipa matumaini na RC hawahawa waliowaletea ushoga
Wataandika upupu wao, na maisha yataendelea kama kawaida....
Na hakuna kitakachobadilika,
 
Unaweza?
Hili siyo kanisa la mtu mmoja kama la Gwajima. Hadi CDF mstaafu aliye simamia Katiba anasali humo. Tena kuimba kwaya kabisa.
Kumbuka a military General never retires...
Especially a Four star General.
Hata mkulu alienda kuripoti kwa The Pontiff himself at Holy See Vatican City.
Kawaida ni divide and conquer
Wale vichwa pumbus watakao kuwa vimbelembele ndio watakaotofautishwa na kula kibano...
Andamaneni tuone.....
 
..Nyaraka zimepitwa na wakati, na zimezoeleka.

..Wachukue hatua kwa kufanya jambo jipya.
Hakuna jambo kwa viongozi wa dini wanaloweza kufanya, wao wajibu wao ni kuhubiri haki na kukemea uovu. Viongozi wa dini sio kikundi cha waasi kiasi kwamba watashika bunduki kuingia msituni
 
Vyama vya kihuni na wagombea wajinga!?..una akili timamu wewe!?..chama cha kihuni kinapataje usajili!?.. mgombea kufungwa,mgombea gani kafungwa!?..mtu akichukua form ya kugombea kisha akavunja sherii asichukuliwe hatua!?..nyi mna nini vichwani,maji!?
Sawa ,tumekusikia mtoto wa kahaba
 
IMG_1696.jpeg
 
Wewe ni Panya mdogo sana usifikiri RC ni Kanisa la Ufufuo na Uzima.
Kaa kwa kutulia.
Kwani kipya kipi wamewai fanya kipindi cha Jakaya walitoa iyo mikaratasi kila week ili kumuunga mkono Dk Slaa tuambie ww DK Slaa alishinda. Uchaguzi??

Kwenu nyinyi mtabaki kuwaogopa sisi tushawazoea waendelee kula Matembele mpaka 2030+ nawao watakula vidali wasitusumbue. Kwasasa.
 
Kuna mazungumzo yanaendelea Kati ya Kanisa (Rc) pamoja na Serikali

Wanamtumia Mseminari aliyepewa una namba 2 Mwezi January

Hivyo sio rahisi kuja na Waraka kwasasa unless washindwe kukubaliana
Porojo tu waendelee tu kujichanganya watoe mikaratasi ya kutosha lkn October 28 tunatiki kwa wingi sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom